[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti uko busy, busy my foot loh, kwa taarifa yako ni naye baby Hadi unililia machozi hivi vitu mnavolalamikia kwake ni ujinga mkubwa hata hawazi ka wanaume wa humu kabisa,cariha miss pablo
Leo Niko busy Sana Jana ilikua holidays tutaonana kesho nyie wachaga toleo la mwisho kabisa.Endelea kubwabwaja maneno ...! We cariha nimeona comment yako kua Jana ulikua unaongea na babe wako aisee nimecheka Sana wewe na Mwanaume wapi na wapi?
Kwahiyo yale ndo aina ya mahusiano mahusiano unayotamani? Halafu mtengeneze familia gani sasaππ.Sikuhizi hata wadada wenye sura personal wanaolewa kwa kasi kisa kazi na hela, kikubwa wanawake wenzangu tutafte hela kwa bidii siunaona shishi baby anaoa na kuacha
Dah jamaa likainuka kabisa kwenda kufuata kikombeπ aisee kuna watu wana maisha magumu sana huku kwenye hizi ndoa!Hilo ndo ninalilolijua mimi, sio swala la kuifanya kazi kwakua wife ametaka nifanye.
Siku moja nipo kwa rafiki yangu tumekaa sebuleni nilipata kuu nikaamua kuomba maji, jagi lilikuwa mezani ila kile kikombe kilikuwa kimetumika bwanaweeeeh... jamaa si akatumwa kikombe eti
"Ba fulani embu nipe hicho kikombe hapo kabatini"
Kabati yenyewe ipo kama mita nne toka tulipokaa, jamaa nae akaamka kufata kikombe....niligadhabika sana moyoni.
Mara paaah, huyo jamaa yumo humu na kwenye uzi kashatia nenoπ.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti uko busy, busy my foot loh, kwa taarifa yako ni naye baby Hadi unililia machozi hivi vitu mnavolalamikia kwake ni ujinga mkubwa hata hawazi ka wanaume wa humu kabisa,
Na ujue ninapendwa mie, kupendwa Raha sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tusi la nguoni[emoji28] hilo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hebu weka picha tuone hicho kitumbua unachojivunia kama ni kiwango cha SGR
Washing machine zimeisha madukani?Mnh hiyo sasa itakuwa dhambi jamani kuwafanyisha kazi za namna hiyo watoto wa watu.
Hata kama mke amejifungua au anaumwa bora kumuomba ndugu yake wa damu amfulie na siyo yaya jamani!
Yani mtu anashindwaje kufua nguo za ndani ?
Unaloweka na sabuni kisha unafikicha kidogo na kusuuza kwa maji mengi na kuanika juani.
Utaratibu ndo unavyotakiwa uwe hivyo![emoji23][emoji23][emoji23]
Kwakweli mkuu hata mimi sikubaliani na hawa Ke!
Mwanamke lazima ufanye kazi zote za ndani hata kama ni boss huko nje na mbususu umtengee mume kila akihitaji, mwanaume ni kichwa cha nyumba bana
cariha
Picha tafadhaliπ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yani naomba maji badala ya kuhudumiwa na shemeji yangu, eti napewa na mshikaji wangu.Dah jamaa likainuka kabisa kwenda kufuata kikombeπ aisee kuna watu wana maisha magumu sana huku kwenye hizi ndoa!
Hapo unakuta mke ameshikilia simu anaangalia umbeya instaπ
ππππππ ikitokea siku mke wangu kafanya hilo mgeni akiondoka nayeye ataenda mapumziko kwao π !!! Im old school type of Dad!Yani naomba maji badala ya kuhudumiwa na shemeji yangu, eti napewa na mshikaji wangu.
Halafu kuna watu wanakwambia sio vibaya kumsaidia mke wangu.
Hilo ndo ninalilolijua mimi, sio swala la kuifanya kazi kwakua wife ametaka nifanye.
Siku moja nipo kwa rafiki yangu tumekaa sebuleni nilipata kuu nikaamua kuomba maji, jagi lilikuwa mezani ila kile kikombe kilikuwa kimetumika bwanaweeeeh... jamaa si akatumwa kikombe eti
"Ba fulani embu nipe hicho kikombe hapo kabatini"
Kabati yenyewe ipo kama mita nne toka tulipokaa, jamaa nae akaamka kufata kikombe....niligadhabika sana moyoni.
[emoji2][emoji2][emoji2]Ndivyo dunia ilivyo mama. Huwa nafikiri ni mgonjwa wa akili japo haonyeshi dalili nyingine za aina hiyo huko nje. Ni mimi ninayekaa naye tu ndiye ninaye mjua.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We ulishindwa kufata hicho kikombe mpaka usumbue watu
Sitaki kujua kama hiki ulichoandika hapa unakiishi, ila atleast unatambua ni ipi nafasi ya mwanamke katika level ya kifamilia.[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwakweli mkuu hata mimi sikubaliani na hawa Ke!
Mwanamke lazima ufanye kazi zote za ndani hata kama ni boss huko nje na mbususu umtengee mume kila akihitaji, mwanaume ni kichwa cha nyumba bana
cariha
π€£π€£π€£π€£Nataka tumnunulie huyu phaller boxa 2 za draft na vest ya spider tumtumie kesho bar anazokunywa huyu mlevi huko sijui chugga[emoji23][emoji23]
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Hayo mambo wafatafanya wanaume wenu mlenda mlenda, mnaowatuma wawafulie hadi vyupi?We ulishindwa kufata hicho kikombe mpaka usumbue watu
Unakuta wala hana tatizo la miguu,miguu yake ipo imara ila anasumbua watu wakamchukulie vikombe.We ulishindwa kufata hicho kikombe mpaka usumbue watu
Naaah! That was facetious qoute to my man Wyatt Mathewson ....sikuwa serious on it!Utaratibu ndo unavyotakiwa uwe hivyo!
Hamna haja ya kujifanya chizi wakati unajua kabisa ukiolewa sharti la kwanza ni kulala bila nguo[emoji28]!
Household management ni jukumu la upili humo ndio utakutana na malezi, kufua,kupika na usafi kwa ujumla!
Kwanza akikutuma mbele yangu, hΓ’ta kama hautafata lazima nikuchane kabla sijaondoka.ππππππ ikitokea siku mke wangu kafanya hilo mgeni akiondoka nayeye ataenda mapumziko kwao π !!! Im old school type of Dad!