Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Inferiority complex Ni ugonjwa sugu kwa wanaume tulio wengi..! Tunahitaji kunyeyekewa na kuheshimiwa hvi vitu vikikosekana ndani tuna Anza unganisha dot..!
Sasa kuhitaji kuheshimiwa na kunyenyekewa ndio inferiority complex? Pole Sana Rudi kwenye dictionary ,ni wajibu wa mwanamke kufanya hivyo ila alishindwa lazima mwanaume alinde status yake kwa gharama yeyote.
 
huwa naangalia harusi za vijana wa kileo kwenye social platforms za ma-MC maarufu wa kibongo.

naangalia vipande vya video zikionyesha maharusi wanavyoingia ukumbini kwa mbwembwe, bashasha na mikogo yote. kimoyomoyo nasema hiiiii(kwa sauti ya marehemu magufuli).
giphy.gif
 
Nataka kusema kitu kimoja

Wadogo zangu mlioolewa na msioolewa ndoa ni sacrifice kwa mwanamke!
Mwanaume ni kiongozi wa mwanamke,tunafeli kutaka kua sawa na wanaume.Hiko kitu hakipo na hakitakaa kiwepo hata usome mpk wapi au uwe na mshahara billions of cash...!!!Labda uolewe na wazungu hukoo au mukubaliane kimkataba b4 hamjaona kua mtaishi kizungu zungu ila hawa wa kitanzania utaenda kazini,utarudi na utamhudumia yeye binafsi uchoke usichoke utajiju.
Ukihisi huwezi kumtake care mwanaume au unapretend ukiolewa unaonesha makucha yako mtashindwana mwisho kutafutiana lawama kuzungushana mahakamani Bure.
Kingine hakuna mwanaume anapenda mkewe amzidi kipato ikitokea ndo hvyo atakubali lakini wengi inakua shida plus mawivu na maugomvi.
So choose wisely mwenza wako,na Mungu awasimamie sana.
Ndoa ni changamoto sana,siku hizi sihukumu wanandoa mmegundua wake na waume wotee vimeo Siku hizi.
100% correct! Hii comment ipelekwe maktaba ya taifa tafadhali. Haina bias kama za wanawake wengi waliocomment, kila mmoja anavutia kwake
 
Binafsi kupenda nilishasahau huwa naishi na mwanamke kwa ajili ya kulea watoto tuu ila in most cases sina mda na mtu ko mwanamke ndio anahangaika maana hata simfuatiliagi [emoji3][emoji3]..

Huyo jamaa anazingua ukikuta yamekushinda si unajitoa sasa usisubirie kesi wewe jitoe mapema mlee watoto.
[emoji23][emoji23] hii yako hatari but you will be free with ur life style
 
Mkuu, pole sanaa...

Ndoa inahitaji moyo wa chuma na uvumilivu wa kipimo cha kujaaa hata kumwagika.
Hii inakuwa sio ndoa, ni mateso sasa. Ndoa is meant to be a safety haven for the couple, changamoto zipo ila sio kwa kiwango hiki, ukiona mmefikia level hii jua hakuna ndoa hapo.
 
Wadau,

Nimekuja kugundua nilikosea kuoa baada ya kukaa kwenye ndoa miaka 15 na kupata watoto wanne. Dah nilijichanganya nikaoa a Corporate lady ambaye alikuwa mwanasheria kule Arusha, alikuwa ana vihela flani na connections za watu wazito ndani ya bongo....duh acha kabisa!!!

Nilikuja kujuta sana manake kazi zoote na mambo yooote ya nyumbani yalikuwa yanafanywa na mabeki tatu kuanzia Kufua nguo zangu, maji ya kuoga, kupika nk alikuwa hana time kabisa na nyumba yake. Hajui chochote kinachoendelea nyumbani kwake kila kitu anabishana na kushindana.

Mtu wa vikao vya dinner karibu kila siku. Miaka ya mwanzoni nilikuwa namdunda sana sana baadaye nikapataga kesi, wakati mwingine ilibidi niingie hasara ya kumpeleka hospitali na kumhudumia manake alikuwa na watoto wadogo.

Nikaamua kuingia kwenye pombe na michepuko ili nimpuuzie. Nikawa nampuuzia kama vile hayupo na yeye akanikazia, akazidisha kiburi na jeuri nikaanza tena kumdunda nikapata tena kesi kubwa manake ilikuwa nimuulie mbali.

Sasa baadaye nikafikiria sana watoto wangu tukafikia hatua ya kuachana na kukubaliana jinsi ya kuwalea watoto. Sasa tumeweka nguvu zoote katika kuwalea watoto na hali imekuwa shwari kabisa kila mtu anaishi kivyake baada ya talaka.

Najua kuna wale watakaosema tuishi nao kwa akili. Nilijitahidi kufanya hivyo kwa miaka 15 lakini ikashindikana manake ningeishia jela baada ya kumtoa uhai na watoto wangeteseka.

Bora iwe hivi hivi wote tupo wazima wa afya.

ALAMSIKI, DUH USIOMBE KUKOSEA KUOA BORA UKOSEE KUZALIWA

KARIBU NI WADAU WENZANGU MLIOKOSEA KUOA.
Pole sana mkuu. Najaribu kuelewa kitu kilichopelekea mke akabadilika. Wapo wanaofanya kazi maeneo kama hayo na bado wanaishi vizuri tu na waume zao. Dharau au kiburi huanza anapokuwa anatoka na mtu nje ya ndoa, shida huanzia hapo.
 
Siwezi kutoka kazini nimechoka huko eti nianze kuosha vyombo, kupika Hadi saa nne kisa mume never on earth instead ya kutafta mtu afanye nihangaike tu Hadi nizeeke kwa kweli hapana, wote tumetoka tumeenda kazini nirudi nihangaike na yote hayo?
Maisha ni mafupi kujichosha na kazi mara kupika pika jamani Ili kufuraisha binadamu asiye na shukrani
Kwa hiyo hapo atafanya nani?
 
Hakika wewe ni mwanamke shupavu unayetumia vyema akili yako.....ulichoandika ni alama ya ukomavu na uhuru wa fikra......

Ingawa sifahamu hali yako ya kimahusiano ya sasa au ya nyuma lakini bila shaka michango yako na mitazamo yako kwenye Uzi huu unatokana experience yako mwenyewe au kwa watu wako wa karibu.......
Vingi ninavo share vinatokea kwenye jamii yangu na watu ninao wa fahamu maana NAMI ni sehemu ya jamii I must know, pia we came from different backgrounds so kila siku ni lessons Kwa vitu mbalimbali, hata hizi experience ka za mleta mada zipo zinakuta wengi just because ya kushindwa kuelewana ni nini partner wako anataka, na vilevile binadamu kinacho tu cost ni kutaka watu wazima wenzetu waishi kwenye roadmap zetu kilazima lazima misundestanding itokee watu hawataki kuchukulia madhaifu ya wengine ka watu wazima wataka mtu Aishi jinsi mtu anavyo waza yeye something which is difficult.
Above all hamna kitu kinachotesa wanaume sikuhizi ka inferiority complex kwenye mahusiano Yao wao walilelewa kuamini ni provider Sasa akipata mwanamke independent msomi na mwenye kila kitu huua confidence yake, vilevile wanaume bado mnataka turudi zama za maisha ya dark ages while we are in 21 century mie namshangaa mwanaume anayelalamika eti mke wangu yuko busy hanifulii nguo wakati sikuhizi kuna washing machine, sijui haoshi vyombo nowdays Kuna dish washing, why umtese binadamu mwenzako hata asipumzike kisa ndio umuone mke
 
Duuh..pole sana.
Ila hapo kwenye samaki na kuku kuna mbadala.
Sidhani kama kuna ulazima wa yeye kukwarua samaki na kukata vinyeo, unless otherwise mnawavua wenyewe..
Wanaowauzia wanaweza fanya hayo mkipenda
Kukata vinyeo 😂😂😂
 
Back
Top Bottom