Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Dah Yani mimi nimetoka na wewe kazini hunihurumii eti nikupie, sijui nibebe maji huko ni kuchoshana jamani, hyo ya nguo kufua nikununua tu machine hamna namna, hyo ya msosi weekend mtu waweza pika. Sasa mume asiyekuhurumia na kukugeuza kijakazi hafai

Basi endelea kua 40 years old senior single mother na hata hivyo at 40 who the fck wants to marry you ?! Hii mada hata sio kwa ajili yako grandma !!
 
Teh mkuu sisi maandiko tunayajua vizuri sana ila huwa tunaamua kutambaa na beat tu! Mwanaume ukiacha kutimiza majukumu yako nasi tunaacha kutimiza yetu siyo ninyi kujifanya maandiko kuhusu majukumu yenu hamyaoni ila mnataka sisi maandiko ndiyo tuyafuate kikamilifu teh!
Mitizamo yako ya kijinga inakutambulisha ww ni Mwanamke wa aina gani, mwanaume anaye lijua neno la Mungu hana upuuzi kama wenu.
 
Safi sana, wakuu njoo muome wanawake wenye "videgree" vyao hua wanapenda mashindano na wanaume sasa haka kasingle mother eti kanajitunisha kunipiga just imagine ndio kamke kako aloo !!

Na hivi ndivi hawa wanawake wenye vijielimu ushuzi na vijiajira ushenzi walivyo wanadhani wao wana mamlaka sawa na mume aise no wonder huyu mwanadada ni 40 years senior single mother, hakuna mwanaume mwenye chembe ya akili ataoa hii taka.
Teh mkuu na wanaume wenye hivyo "vijielimu ushuzi na vijiajira mshenzi" nao tuwaiteje? Au wanaume ambao hata hivyo tu hawana kabisa na wameoa nao tuwaiteje?
 
Nnavyotamani kuja kuwa na familia ya baba mama na watoto wetu tukiishi kwa upendo, then nikiona hizi shuhuda za kukosea kuoa naona mnaniconfuse sielewi.🤷‍♂️

Mbona simple tu kua na happy marriage boss. Kama wewe ni me usioe a corporate bitch, kama wewe ni mwanamke na ni kicorpate au career woman ooh sorry you messed up your life bitch.
 
Kwa mwanaume lazima uwe na Vielement vya ubinafsi, dharau, roho mbaya, chuki nao kidogoo kwa wanawake na Kuwachukia kidogo ndipo utawaweza...

Umemaliza mkuu...

Sex kwa mwanaume ni trap... Ukiweza Control tamaa ya utelezi... Basi Furaha yako itakuwa kubwa sana Duniani....

Sex imekuwa overrated sana tofauti na miaka ya nyuma. Watu wanafanya vitu hadi vya ajabu ilimradi tu apate utelezi...na ndio haohao huingia kwenye trap hio.
 
Na kama anafanya yote hayo mwanamke anakwenda kwenye kiajira kufanya nini ?! Au ndo umalaya wenu tu, au ndo ufeminist mavi au vyote ?! Shenzi
Si unaona sasa? Mnataka msaidiwe maisha halafu bado mpikiwe mfuliwe!
 
Maana yake mwanamke wa hivyo lazima awe mama wa nyumbani sasa vijana wengi wanataka kusaidiana maisha ndipo shida ilipo!

Nafikiri hii pia ni tatizo kubwa sana kwa sasa...

Vijana wanashindwa ku-handle the so called Empowered women.. At the same time wanataka vitonga...
Ngumu sana hii Dunia ya siku hizi..
 
Kumbe mkuu ulimsomesha kabisa...

Kikao cha mwisho cha wanaume pale Namtumbo,, katibu alisisitiza sana hili jambo kuwa mchumba hasomeshwi...

Wewe ukaona anaimba ngonjera...
Pole sana mkuu..
Wanawake wa sasa hakuna sehemu utaenda na ukashinda... Jamii iko upande wao....
Ukimfumania,,, utaambiwa ulikuwa humkazi vizuri
Asipokuheshimu,, utaambiwa hujaishi nae kwa akili
Akiwa malaya,, utaambiwa hukumridhisha..
Asipotimiza majukumu kama hvo,,,utaambiwa kwasabu huna madusko..

Kila kitu akifanya mwanamke,, lawama zinaenda kwa mume..

soma hiki kitabu kitakusaidia
The subtle art of not giving a F*¢.
Hawa viumbe hawana formula
 
Haya nani apike sasa?

Hebu tupe jibu lako

Mpo wawili...wote mmetoka job,mmechoka,nani apike?

Mtafungua bunge huru,mfanye debate,then mpige kura then mwenye kura nyingi ndio apike?

Then kazi zingine zaidi ya 1000 hapo nyumbani mtakua mnafungulia bunge kwa ajili ya discussions na kupiga kura kama election vile?

Hivi huoni hii madness hapo?
Hivi hamuwezi kusaidiana hizo kazi kwa pamoja huyu ashike hiki na huyu ashike hiki mmalize haraka mambo yaende? Kama mnaona hamuwezi hayo basi ndiyo mkubali wake zenu waajiri housegirls bila kuleta siasa za kijinga eti oo housegirl afanye kila kitu wakati mke yupo nigga are you for real?
 
Swali zuri sana, yaani sijui hawa wenzetu wa jinsia tofauti wana mawazon gani

Ukisoma huu uzi utahundua the way they look down at us, wanashindwa kuelewa hata wao wana mapungufu yao meeengi ila tunayavumilia tu na maisha yanasonga mbele

Yaani wanatujadili hadi wanatukosea heshima, utadhani mwanamke ni perfect human being, kasoro ndogo ndogo tu za kumalizana na wake zao wanakuja kuzianika humu

Nimeshtushwa na idadi kubwa ya wanaume wenye mtazamo kwamba wanawake wameshindikana
Najiuliza hivi ni kweli hawa ndio wale waumini wa imani zetu ambao wengi wao wanajua nafasi waliyopewa Mungu? Mbona kama wanakwepa kuvaa viatu vyao

Ninachoamini mimi mwanaume akiwa mwanaume kwenye nafasi yake haya maneno na lawama zitapungua. Haikanushiki kwamba Mwanaume ni kichwa cha familia na kiongozi wa mke wake...Mwanamke anahitaji kuongozwa, kupendwa na kutunzwa huku akirudisha heshma na shukrani kwa mwanaume

Heshma ya mwanaume inagharamiwa na mwanaume mwenyewe. Haiombwi
 
Kuoa tunaridhika tu na kuvumiliana...hakuna kupatia ndio maana unachepuka kidogo mara moja moja...heheh
 
I totally agree with you.

Corporate jobs sio kama kufungua duka Kariakoo unaweza kumuacha kijana na ukaenda nyumbani kuanza kujipikilisha.

Kuna critical meetings ambazo huwezi kujua siku wala saa, kuna deadlines kuna mengi yasiyoelezeka.

Sasa huyo mwanaume kama sio gubu ni nini? Kama nguo zinaweza kutakata kwa kufuliwa na washing mashine kwanini alazimishe mwanamke apinde mgongo kufua nguo zake.

Kama kunaweza kuwa na domestic assistant wa kusaidia kusugua masufuria then why the hell not!

Ndo maana sometimes tunaambiwa tujiangalie katika equality lakini watu wanakuja kuelewa vibaya.

Mwanamme aliekatika same setting ni rahisi kuelewa kuliko dereva wa daladala na ma ovaroli yake.

Na kama mashine inaweza kufua vizuri which is right na kama chakula anaweza kupika domestic helper then NDOA YA KAZI GANI. Si mwanamke aishi peke yake na licorporate shit lake na mume aishi kivyake bila kuoa atahudumiwa na domestic helper.

KAMA HAMUWEZI KUMUHUDUMIA MUME MNATAKA MUOLEWE ILI IWEJE IDIOTS ?!
 
Nilimkuta akiwa hana ishu mkuu.....kuanzia shule mpaka kuanza kazi ...ila akaja kuota mapembe baadaye

Kwani kumsomesha mkeo si yalikua mapenzi!? Kwani yeye kakufanyia mangapi yanayozidi hata huko kusomeshwa, tena ambavyo hata akisema akudai gharama yake hailingani na pesa🤔

Mkipendana pendaneni kweli, peaneni maisha bila kuwazia kuachana na hii itaongeza thamani ya upendo wenu.

Huku kukumbushana gharama ni roho mbaya na unyanyasaji
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Uliniambia ninywe soda ila hukusema idadi, sasa mimi kosa langu nini jamani[emoji2369][emoji2369][emoji2369]
Sasa hapo itabidi tu mmalizane na mangi kiutu uzima kwa kweli [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mitizamo yako ya kijinga inakutambulisha ww ni Mwanamke wa aina gani, mwanaume anaye lijua neno la Mungu hana upuuzi kama wenu.
Hao wanaume wanaolijua neno la Mungu wako wangapi mbona unaongea kana kwamba ni wengi sana au wote? Hawa hawa ambao wanataka kusaidiana maisha na mwanamke ndiyo unasema wanalijua neno la Mungu?
 
Nilipokosea kuoa hahaha haaaa haka ka mada kanagusa weng sana
 
Back
Top Bottom