cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
Mchana staki kukoonekana banaWe mwanga au[emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchana staki kukoonekana banaWe mwanga au[emoji23]
Situmwi kizembe[emoji16]Unatuletea chai hapa kenge wewe [emoji23][emoji38][emoji1787] mkitumwa na wazazi mnaenda na mume mnaona kero!
Tena matatizo makubwaNi kweli mtu anayetegemea kufanyiwa vitu na wengine as if ni mlemavu namuona ana matatizo na ni mvivu.
Ubaenda kwa watu halafu unaanza kuwapangia maisha[emoji1787]Sure ni aibu kuleta visheria vyako kwa watu, tena ka unaishi hapo inabidi uwahi kuamka na kufanya vikazi vya hapo
Hakosei ila anafanyaje?[emoji38]Baba hakosei wewe,,,hamna wakubwa kwenu huko?
Anatoa maelekezoHakosei ila anafanyaje?[emoji38]
Mmmmh...unapenda sana kutetea as if nyie ni miungu watu huwa hamkosei yaan[emoji848][emoji848]Wanaume huwa hatupigi bila sababu na ikilazimu ni kwa sababu za kuonya tu! Just alerting you kwamba its beyond the limits. Thats doesn’t involve kuvimbishana sura just a slight kakofi ku restore settings.
Kwa mwanamke anaejielewa anajirudi right away! Anajutia kosa lake na anazidisha upendo kwa kuwa umemuondoa kwenye ujinga!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Anatoa maelekezo
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji91][emoji91][emoji91][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16]Hao ni kuwapa kesi ya madawa ya kulevya mpaka pale watakapokiri kwamba hawataniingilia tena kwenye mapenzi yangu na wewe.
We are good at ignoring ila nayo huwa inafikia stage huwezi kuendelea ignore! What does a man do then? He acts by hitting you...Mmmmh...unapenda sana kutetea as if nyie ni miungu watu huwa hamkosei yaan[emoji848][emoji848]
Mna mikosa na matabia k kibaooo yaan, bora yetu hata sisi
Sababu Nini kassim kimoby usiendekeze chuki, samehe maisha yaendelee. Sijasema mrudiane Ila mmpeane hiMkuu mm hlo mapema mungu kani apusha nalo. Kuna manzi nlikuwa na mahusiano nae nlimpenda ili fika hatua mpka kumtmbulisha kwa wazazi. Ila ninavy kwambia hadi sasa hv kila m2 anafny nyake na 2kikutna njian kma mbingu na aldhi yeye kule mimi hku
Eti nikaselfike kule anione[emoji16][emoji16][emoji1787]
Good question [emoji1690][emoji1690][emoji1690]Na wewe ukikosea arestore settings zako kwa kofi la wapi?
Seems hakoseagi huyo ana mfumo dume wa kupita kiwango[emoji16][emoji16]Wewe ni malaika eeh?
Safi sana[emoji122]
Hiyo ni tabia chafu na malezi mabovuDah Bora useme wewe mtu ana mpiga mtu mzima mwenzako kisa eti anaenda kazini na ana force mambo na anajianika humu JF nakusema mke wangu mkorofi. Mwanaume anayepiga mwanamke hana akili kabisa
Ha ha ha.. Achana naye Best.[emoji28]Eti nikaselfike kule anione[emoji16][emoji16][emoji1787]
Hivi mi nimbully a real gentleman kweli si nitakuwa mwehu!We are good at ignoring ila nayo huwa inafikia stage huwezi kuendelea ignore! What does a man do then? He acts by hitting you...
Nyie tatizo mnatuchukulia like pitholes, unataka urushie whatever you feel like bila kujua kuna muda hata shimo litajaa na kutapika. Its all games until you get slapped tha fauk out!
Kinyume chake inakuwa my man is a gentleman kweli hata nikim bully ye hukaa kimya tu [emoji23] he is such a man! Thats some weak men shit!
Tabia kila mtu anatabia mbovu ila you can’t be rude to your partner! Thats un-acceptable be whatever you wanna be but don’t be stubborn[emoji28]
Ahaaahaahaaa utasikia mkofi paaaa![emoji1787][emoji1787]
Hiyo minguvu ya kupiga wanawake si waihamishie kwenye kusaka mapeneDah Bora useme wewe mtu ana mpiga mtu mzima mwenzako kisa eti anaenda kazini na ana force mambo na anajianika humu JF nakusema mke wangu mkorofi. Mwanaume anayepiga mwanamke hana akili kabisa
A gentleman kwenu si boya, we fine with that shit! A boya kind of man ni Gentleman kwa kila msichana😂 but a commanding man anaonekana katili!Hivi mi nimbully a real gentleman kweli si nitakuwa mwehu!
One of my boyfriend was so cool and humble, yaan ilikuwa hata nikifanya kosa huko naona kabisa moyo unaniuma kwa hicho kitendo, ntaomba huo msamaha na ntahakikisha sirudii tena!
Mwanamke akikutana na mwanaume mstaarabu huwa anajistukia sana!amini nakwambia