Ndoa haina formula,
Kila mtu amepewa wa kufanana nae shida ipo kwenye kumpata ili muende sawa
Kama mimi naweza kufanya majukumu yote ya ndani kama mke but kama naumwa au nimechoka dada atafanya as mimi si robot sasa we mwanaume ujichanganye afu uanze kunilinganisha na wake wa masela zao ambao 24/7 wanahudumia waume utakua umenikosea sana
Wanaume mnapaswa kuishi na wake zenu kama wao walivyo ni sio kufanya comparison na wake wa wengine mana watu hatufanani!
Kila mtu amepewa wa kufanana nae shida ipo kwenye kumpata ili muende sawa
Kama mimi naweza kufanya majukumu yote ya ndani kama mke but kama naumwa au nimechoka dada atafanya as mimi si robot sasa we mwanaume ujichanganye afu uanze kunilinganisha na wake wa masela zao ambao 24/7 wanahudumia waume utakua umenikosea sana
Wanaume mnapaswa kuishi na wake zenu kama wao walivyo ni sio kufanya comparison na wake wa wengine mana watu hatufanani!