Kuna point zinachekesha sana kwenye huu uzi.
Mkishasikia tu mwanamke anafanya kazi, tayari mnasema anahusika kwenye mambo ya uchumi wa familia, hehehehe!
Babilai, anaweza kufanya kazi na usione hata shilingi mia kwenye matumizi ya familia. And ofcourse sio lazima umuulize maana as a man, ni majukumu yako kuwa provider. Ila shida kubwa ni moja....!!!!
Kama mwanamke hachangii chochote kwenye uchumi wa familia at least awe submissive. Kwa sababu akiwa na kiburi equation haiwezi kubalance kamwe. Mwanaume huwezi kujitoa ku provide kila kitu kwenye familia halafu mwanamke hataki ku bow! You women, it will never work..!!
Ila Mwanaume kama na wewe umekubali Mama awe anachangia pesa ya kula hapo ndani na gharama zingine kama ada za watoto unamuachia alipe, My Friend, usije kulalamika huku. Hatutakusaidia kitu. Hapo umesha sign 50/50 rule automatically. Kwaiyo zamu yako ya kuosha vyombo ikifika nenda tu kaoshe, tena ving'ae.
Poleni wote mliokosea kuoa/kuolewa. By the way sisi ni Binadamu bhana, kukosea ni kawaida.Tujipange upya : )
Cheers!