permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
Pesa ni namna utakavyotumia hayo maarifa kuzitafuta. Ila hoja ya msingi jua, lengo la shule sio kupata fedha, bali maarifa. Ukitaka kufanya jambo ambalo linakupa fedha ya moja kwa moja kachimbe madini.Maarifa bila pesa? Come on.!!
My friend, kuna darasa la saba kibao wako more financially stable kuliko maprofesa wengi hapa nchini so sijui unaongelea maarifa yapi.Pesa ni namna utakavyotumia hayo maarifa kuzitafuta. Ila hoja ya msingi jua, lengo la shule sio kupata fedha, bali maarifa. Ukitaka kufanya jambo ambalo linakupa fedha ya moja kwa moja kachimbe madini.
Walimu ndio kundi la watu waliopoteza muda shuleni. Nasubir kupigwa maweANGALIZO: Huu uzi hauwahusu wale ambao bado wapo kwenye industry ya Elimu bali ni kwa wale waliokwishatoka nje ya Game tu ⚠️
Ughonile..
kuna muda nikiwa idle nakumbuka muda niliopoteza shule kusoma hususani kuanzia A-Level na University naishiwa nguvu, nikitazama vyeti vyangu, nikiangalia picha nilizopiga maeneo tofauti tofauti enzi nasoma sometimes najutia sana.
Kutoboa kupitia Elimu ya Bongo ni ngumu sana either kwa kuajiriwa au kujiajiri kupitia iyo elimu uliyoisotea miaka yote iyo takriban zaidi ya miaka 15 ni kizungumkuti.
Hata ikitokea umeajiriwa na hiyo elimu yako kutoboa bado ni ngumu unless uwe mtu wa kupiga danadana huko kazini kwako or else uridhike tu na huo mshahara unaokuwezesha kumudu kujenga na kununua kiusafiri chako ingawa still usipoingia Bank/microfinance kukopa pia bado ni mtiani.
nikiangaliaga ivi vyeti vinanifikirisha sana ukizingatia nilivipata kwa tabu sana. Mtaani kwetu na familia kwa ujumla waliwekeza sana kwangu na walikua na matumaini makubwa sana namimi pengine ningekuja kuwa mtu mkubwa sana hapa nchini kutokana na juhudi nilizokuanazo katika kusoma.
Good thing ni kwamba baada tu ya kugraduate chuo niliweza kufikiria nje ya box na mpaka hapa nilipo namshukuru Mungu, sipati picha ningeuface vipi mtaa na jamaa zangu pindi ambapo ningekua naenda kuwatembelea ilhali sieleweki kisa ajira hamna! Inafikirisha sana
Saivi nikienda kijijini nishajiwekea utaratibu nahakikisha niko full equipped (tai ndefu, ndinga japo ya kuazima na vibunda vya kutosha) sifanyi kwa sifa bali nafanya ili wajivunie kijana waliekuwa wamewekeza kwake hajawaangusha na kutowakatisha tamaa ya kusoma wadogo zangu mtaani.
All in all all is well
Vipi wenzangu na mie hali ikoje
My friend, kuna darasa la saba kibao wako more financially stable kuliko maprofesa wengi hapa nchini so sijui unaongelea maarifa yapi.
Binafsi nafanya mitikasi yangu kariakoo, %kubwa ya wapemba, wakinga na wachaga ambao wanamiliki biashara kubwa hapa Kariakoo walikimbia shule.
What's the point of regarding yourself as educated person with different honors while you got nothing in the Bank man?
Which knowledge are you talking about specifically?
🤣🤣🤣 Ulikuwa unajilipia?Mimi nimesoma Ada afu ishirini, advance afusabini.
Pesa mdogo saaana
Kwa upande wangu elimu imenisaidia vitu vingiANGALIZO: Huu uzi hauwahusu wale ambao bado wapo kwenye industry ya Elimu bali ni kwa wale waliokwishatoka nje ya Game tu ⚠️
Ughonile..
kuna muda nikiwa idle nakumbuka muda niliopoteza shule kusoma hususani kuanzia A-Level na University naishiwa nguvu, nikitazama vyeti vyangu, nikiangalia picha nilizopiga maeneo tofauti tofauti enzi nasoma sometimes najutia sana.
Kutoboa kupitia Elimu ya Bongo ni ngumu sana either kwa kuajiriwa au kujiajiri kupitia iyo elimu uliyoisotea miaka yote iyo takriban zaidi ya miaka 15 ni kizungumkuti.
Hata ikitokea umeajiriwa na hiyo elimu yako kutoboa bado ni ngumu unless uwe mtu wa kupiga danadana huko kazini kwako or else uridhike tu na huo mshahara unaokuwezesha kumudu kujenga na kununua kiusafiri chako ingawa still usipoingia Bank/microfinance kukopa pia bado ni mtiani.
nikiangaliaga ivi vyeti vinanifikirisha sana ukizingatia nilivipata kwa tabu sana. Mtaani kwetu na familia kwa ujumla waliwekeza sana kwangu na walikua na matumaini makubwa sana namimi pengine ningekuja kuwa mtu mkubwa sana hapa nchini kutokana na juhudi nilizokuanazo katika kusoma.
Good thing ni kwamba baada tu ya kugraduate chuo niliweza kufikiria nje ya box na mpaka hapa nilipo namshukuru Mungu, sipati picha ningeuface vipi mtaa na jamaa zangu pindi ambapo ningekua naenda kuwatembelea ilhali sieleweki kisa ajira hamna! Inafikirisha sana
Saivi nikienda kijijini nishajiwekea utaratibu nahakikisha niko full equipped (tai ndefu, ndinga japo ya kuazima na vibunda vya kutosha) sifanyi kwa sifa bali nafanya ili wajivunie kijana waliekuwa wamewekeza kwake hajawaangusha na kutowakatisha tamaa ya kusoma wadogo zangu mtaani.
All in all all is well
Vipi wenzangu na mie hali ikoje
Muda unaotumia kusoma na kujifunza huwa haupotei bure kuna kitu bora umeweka kichwani na unatofauti kubwa sana na mtu alikoswa Elimu. Kinacholeta utofauti kwenye kufikiri elimu haina tija ni kusoma ajili ya ajira badala ya kusomea maarifa na pesa. Elimu ni nguzo kubwa kwenye utambuzi wa mwanadamu na egemeo la fikira, ujuzi na maarifa, Elimu ni siraha inayozuia ujinga ukutenga na kutokujua na kukujaza ufahamu na kuweka umbo zuri la akili.ANGALIZO: Huu uzi hauwahusu wale ambao bado wapo kwenye industry ya Elimu bali ni kwa wale waliokwishatoka nje ya Game tu ⚠️
Ughonile..
kuna muda nikiwa idle nakumbuka muda niliopoteza shule kusoma hususani kuanzia A-Level na University naishiwa nguvu, nikitazama vyeti vyangu, nikiangalia picha nilizopiga maeneo tofauti tofauti enzi nasoma sometimes najutia sana.
Kutoboa kupitia Elimu ya Bongo ni ngumu sana either kwa kuajiriwa au kujiajiri kupitia iyo elimu uliyoisotea miaka yote iyo takriban zaidi ya miaka 15 ni kizungumkuti.
Hata ikitokea umeajiriwa na hiyo elimu yako kutoboa bado ni ngumu unless uwe mtu wa kupiga danadana huko kazini kwako or else uridhike tu na huo mshahara unaokuwezesha kumudu kujenga na kununua kiusafiri chako ingawa still usipoingia Bank/microfinance kukopa pia bado ni mtiani.
nikiangaliaga ivi vyeti vinanifikirisha sana ukizingatia nilivipata kwa tabu sana. Mtaani kwetu na familia kwa ujumla waliwekeza sana kwangu na walikua na matumaini makubwa sana namimi pengine ningekuja kuwa mtu mkubwa sana hapa nchini kutokana na juhudi nilizokuanazo katika kusoma.
Good thing ni kwamba baada tu ya kugraduate chuo niliweza kufikiria nje ya box na mpaka hapa nilipo namshukuru Mungu, sipati picha ningeuface vipi mtaa na jamaa zangu pindi ambapo ningekua naenda kuwatembelea ilhali sieleweki kisa ajira hamna! Inafikirisha sana
Saivi nikienda kijijini nishajiwekea utaratibu nahakikisha niko full equipped (tai ndefu, ndinga japo ya kuazima na vibunda vya kutosha) sifanyi kwa sifa bali nafanya ili wajivunie kijana waliekuwa wamewekeza kwake hajawaangusha na kutowakatisha tamaa ya kusoma wadogo zangu mtaani.
All in all all is well
Vipi wenzangu na mie hali ikoje
Nmetoa angalizo huu uzi hauwahusuKumbuka kuna mitoto huko shule za kishua like feza international , feza ya kawaida.
Wazazi wanalipia ada m10- m 23 per year, vipi unataka kusems wazazi hawaoni hiyo elimu ikija kuwasaidia watoto wao?
Anyway sijui hela wanatoa wapi
Kweli kabisa tunaongeza maarifa kwa nadharia ambazo badaye tunazileta katika vitendoSiku ukipata akili ya kujua kua lengo la shule sio kupata ajira bali kuongeza maarifa, basi huwezi kuendelea kusema ulipoteza muda.
Siku ukipata akili ya kujua kua lengo la shule sio kupata ajira bali kuongeza maarifa, basi huwezi kuendelea kusema ulipoteza muda.
Una uhakika??,unataka kusema Vyuoni watu hawasomi Business au Economics au Finance???Kbongo bongo elimu yetu haifundishi namna ya kutafuta pesa!na hilo ndio muhimu kitaa!!
Umuhimu wa ELIMU ni mkubwa mno mtu mwenye elimu na asiye na elimu ni mbingu na ardhi...ANGALIZO: Huu uzi hauwahusu wale ambao bado wapo kwenye industry ya Elimu bali ni kwa wale waliokwishatoka nje ya Game tu ⚠️
Ughonile..
kuna muda nikiwa idle nakumbuka muda niliopoteza shule kusoma hususani kuanzia A-Level na University naishiwa nguvu, nikitazama vyeti vyangu, nikiangalia picha nilizopiga maeneo tofauti tofauti enzi nasoma sometimes najutia sana.
Kutoboa kupitia Elimu ya Bongo ni ngumu sana either kwa kuajiriwa au kujiajiri kupitia iyo elimu uliyoisotea miaka yote iyo takriban zaidi ya miaka 15 ni kizungumkuti.
Hata ikitokea umeajiriwa na hiyo elimu yako kutoboa bado ni ngumu unless uwe mtu wa kupiga danadana huko kazini kwako or else uridhike tu na huo mshahara unaokuwezesha kumudu kujenga na kununua kiusafiri chako ingawa still usipoingia Bank/microfinance kukopa pia bado ni mtiani.
nikiangaliaga ivi vyeti vinanifikirisha sana ukizingatia nilivipata kwa tabu sana. Mtaani kwetu na familia kwa ujumla waliwekeza sana kwangu na walikua na matumaini makubwa sana namimi pengine ningekuja kuwa mtu mkubwa sana hapa nchini kutokana na juhudi nilizokuanazo katika kusoma.
Good thing ni kwamba baada tu ya kugraduate chuo niliweza kufikiria nje ya box na mpaka hapa nilipo namshukuru Mungu, sipati picha ningeuface vipi mtaa na jamaa zangu pindi ambapo ningekua naenda kuwatembelea ilhali sieleweki kisa ajira hamna! Inafikirisha sana
Saivi nikienda kijijini nishajiwekea utaratibu nahakikisha niko full equipped (tai ndefu, ndinga japo ya kuazima na vibunda vya kutosha) sifanyi kwa sifa bali nafanya ili wajivunie kijana waliekuwa wamewekeza kwake hajawaangusha na kutowakatisha tamaa ya kusoma wadogo zangu mtaani.
All in all all is well
Vipi wenzangu na mie hali ikoje
Tatizo la vijana wengi wa Bongo. Wao wanaangalia fedha tu. Hawajui maisha bila maarifa ni janga kuu.Siku ukipata akili ya kujua kua lengo la shule sio kupata ajira bali kuongeza maarifa, basi huwezi kuendelea kusema ulipoteza muda.
Ha ha haMi nilichokosea niliapa kabisa sitafanya kazi yenye mshahara chini ya million 2 kiapo kimenipoza sijui kazi za laki mbili ziliniskia nikiapa