Wale tuliopoteza muda shule kusoma tukutane hapa

Nipo hapa mkuu.
Sema haukupotea kwa 100% maana hqta akili ya kuishi inayonipa maisha imetokana na experience ya chuo.
 
🤣🤣🤣🤣🤣
 
Taifa haliwezi kuwa na viongozi wajinga kama wewe
 
Unaonekana una stress za maisha pole utavuka
 
Ngoja nimtafute Elon Musk tajiri wa kwanza Duniani kumiliki utajiri wa USD 248B nimuulize kama elimu imemusaidia au haijamsaidia.
Musk moved to the United States in 1992 to study business and physics at the University of Pennsylvania. He earned an undergraduate degree in economics before continuing on to earn a second bachelor's degree in physics. Musk went to Stanford University in California to earn a Ph.D. in energy physics after leaving Penn
 
Huu ufafanuzi ndio umenisaidia zaidi hoja yangu kuwa lengo la shule sio kupata fedha au ajira.
Elimu ni uwekezaji kama ilivyo shares, stocks na bonds.

Ni kitu ambacho wazazi wetu waliwekezewa na babu na bibi zetu wakafanikiwa vizuri kubadilisha mazingira ya maisha kule vijijini.

Imani hio wamekuwa nayo na wakathubutu kuwekeza kwetu wakitarajia the same results. Hakuna uwekezaji usio na faida mkuu ina maana mtu akitoboa akaingia BOT kama mweka hazina mkuu tu lazma hela ingetembelea familia yake tu. Afisa mkuu wa manunuzi wa serikalini hawezi kusikitika juu ya elimu aliyonayo sababu imempa maisha.

In contrary, kama hujafanikiwa kupata channel yeyote ya namna hio baada ya masomo hapo ndipo uwekezaji unakuwa wa hasara.
 
Kipindi tuko shule wazee wa back bencha tulikuwa tunajazana ujinga eti ambao hatuko vizuri kwenye masomo ndio tunakuja kuwa matajiri aisee huku kitaa tukikutana tunacheka tuu😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…