Ngwanashigi Gagaga
JF-Expert Member
- Mar 10, 2017
- 434
- 302
Matokeo ya Uchaguzi wa Oktoba 2020 unasababisha Ruzuku hiyo, Hoja kwa nini Ruzuku ni halali harafu matokeo na kazi za Uchaguzi wa Oktoba 2020 ni Haramu?! Ninaomba ufafanuzi.Tafuta akili maana huna, nani kakwambia wabunge wa viti maalum wanasababisha chama kipate ruzuku?
Spika amekwishasema wasiwe na hofu 'atawalinda' hivyo hizo kesi watakazofungua Chadema haziwezi kubadili lolote.Ni swali zuri sana.
Pili, wanaenda Bungeni kwa kutumia chama gani? Kama wanatumia CDM, kuna kila sababu ya kufungua kesi ya kupinga matumizi ya jina lao. Wanaweza kuitwa Wabunge wa Spika , pindi wakiitwa Chadema kuna tatizo
Tatu, hivi hapa hakuna ukikwaji wa katiba? Wako wapi wanasheria au taasisi zinazosimamia mambo haya?
Hivi haiwezekani kufungua kesi
JokaKuu tindo
Kama kikao cha serekali za mitaaLimekaa utadhani gulio la washenzi.
Rejea Mkasa wa mwarabu na ngamia wake. Tanzania Rais ana "absolute power". Anaweza hata kuamrisha mpita njia yoyote apigwe risasi hadharani na asiwepo wa kumchukulia hatua.Yaani ukiangalia namna Magufuli na genge lake wanavyopeleka mambo ni kama wana trigger kwa nguvu zote kuleta machafuko nchi hii.
Basi tu ni kama wabongo hawajawa tayari.
Mkuu, haujajifunza kutoka kwa Trump? Anabaki kulalama ila watu wanasonga mbele kwa speed ilele. We endelea kulalama, huyo ndo mwenyekiti tayari, au nasema uongo ndugu yangu? Mitano tena.View attachment 1680489
Grace Tendega, mmoja wa Wasaliti waliojiteua na kuapishwa na Ndugai kuwa wabunge wa viti maalum kutoka Chadema, leo ametunukiwa kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Hesabu za serikali za mitaa ( LAAC )
Bado haijafahamika kama aliomba nafasi hiyo au amepewa bure.
Bali swali kubwa ni hili , ni yupi mwingine atayekikwaa cheo cha bure miongoni mwa wasaliti waliosalia ?
hebu angalia vyama vyote vinavyopewa ruzuku , je vina wabunge ?Kwakweli sina kabisa akili na wala hujakosea ndugu yangu katika hili.
Haya basi nielekeze wewe mfumo mzima wa Ruzuku ukoje na sheria husika.
Ukinielekeza mfumo mizma ukoje na sheria zinazosimamia hili suala utakuwa umenisaidia mno.
Kura za LisuNini kimewafanya CHADEMA wapate ruzuku kubwa kuliko vyame vingine vya upinzani ???
Akili ndogo unawaza upumbavuIla ruzuku zitokanazo na hawa wabunge Chama kimechukua?
Hebu CHADEMA kuweni na misimamo ili tujue moja.
Kama upo DAR basi njoo hapa mbagala terminal uingie chooni alafu utakuja kutoa ushuhudaChoo cha stand kisafi
Acha na ruzuku, wewe kwa akili yako hao unaowaita wabunge wapo kihalali?Kwakweli sina kabisa akili na wala hujakosea ndugu yangu katika hili.
Haya basi nielekeze wewe mfumo mzima wa Ruzuku ukoje na sheria husika.
Ukinielekeza mfumo mizma ukoje na sheria zinazosimamia hili suala utakuwa umenisaidia mno.
Wamefukuzwa hakuna mjadala mwingineLakini ipo siku tutakuja kusema kumbe kwenye gulio la washenzi ndipo wenye mizaha utumia fursa hiyo kuonesha uwezo na vipaji vyao kuijenga nchi.
Ingawa mizaha kuna wakati inaweza kuondoa malengo na matarajio ya wengi kama kweli gulio litajwalo lina washenzi wenye uchu/matamanio yenye mlengo wa kuwajali wachache na kujinufaisha wenyewe.
Hii ni fursa kwa chama husika kujifunza namna ya kuendana na mabadiliko yenye sura ya Utaifa,ni wajibu wao pia kutafuta maridhiano ndani ya chama kama yapo na kuadhimia namna bora ya kutatua kasoro zilizopo.
Watanzania lazima tujishangae, inakuwaje tunaruhusu mshamba mmoja atuendeshe anavyotaka na si tunavyotaka? Kenya huwezi kufanya upuuzi kama huuNdivyo Jiwe alivyotaka Bunge hili liwe hivyo.
La kijani kitupu na anachotaka yeye asihojiwe chochote kwa madudu anayofanya, ndiyo maana hivi sasa amekigeuza kijiji chake cha Chato kama Ikulu ndogo!
Hakuna mtu anayehoji maamuzi ya "kipuuzi" ya dizaini hiyo na ukihoji unatumbuliwa!
Nani kakudanganya kwamba ruzuku imetokana na hawa wasaliti ?Acha utapeliii, mungewafukuza halafu leo hiii mkakubali kula ruzuku iinayotokana na uwepo wao bungeniii??? Tulizeni mizuka wabunge hao wakachape kaziii
Wabunge wenyewe ni ruzuku, ndiyo maana WANAUME wa Chadema walitaka kuwachagulia washikaji.Tafuta akili maana huna, nani kakwambia wabunge wa viti maalum wanasababisha chama kipate ruzuku?
Sasa dada kamanda, kama chanzo cha Ruzuku ni usajili wa kudumu na kura za Uraisi,hebu angalia vyama vyote vinavyopewa ruzuku , je vina wabunge ?
Hii ni mada nyingine tupe muda tutaifungulia uzi wakeSasa dada kamanda, kama chanzo cha Ruzuku ni usajili wa kudumu na kura za Uraisi,
Ambapo hapakuwa na uchaguzi huru na haki mtachukuaje ruzuku za udhalimu ???
Kwenye siasa hakuna rafiki au adui wa kudumu,pambana na hali yako,si umemuona Maalimu halafu huo usaliti mbona haupo kwenye ruzuku anayochukua Mbowe?basi kataeni na ruzuku ndio tuwaone wa maana.
Grace Tendega, mmoja wa Wasaliti waliojiteua na kuapishwa na Ndugai kuwa wabunge wa viti maalum kutoka Chadema, leo ametunukiwa kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Hesabu za serikali za mitaa ( LAAC )
Bado haijafahamika kama aliomba nafasi hiyo au amepewa bure.
Bali swali kubwa ni hili , ni yupi mwingine atayekikwaa cheo cha bure miongoni mwa wasaliti waliosalia ?
Hakuna cha mada nyingine,jibu hoja,nyie ndio akina sila nyama lakini nakunywa mchuzi wake.Hii ni mada nyingine tupe muda tutaifungulia uzi wake