Wewe ni kipapa tu😂 katika siku ambayo mama atafanya jambo la msingi basi ni siku atakayowafurumusha hao wanafikiMakamba, Nape na Mwigulu wamekulia ndani ya ccm. Wanazijua siasa za bara na wanajua fitina na mbinu za ushindi.
Kwa Samia kuwavuruga Nape na Makamba wakati uchaguzi mkuu ukinukia ni mahesabu mabovu sana ya kisiasa ameyafanya rais Samia.
Raisa Samia hatoboi 2025.
Kwahiyo kwa kuwaondoa Nape na Makamba wizi utaisha serikalini?acheni kujifanya special sasa wewe Nape nje ya serikali nani angekuajiri,?? nyie watu mnaibia hii nchi sana tungekua mbali
Hautaisha ila ni mwanzo mzuri wa fagia fagia ya wachumia tumbo.Kwahiyo kwa kuwaondoa Nape na Makamba wizi utaisha serikalini?
Point. Tumeona Kwa Sabaya na Makonda. Kushangilia Nape na January kutemwa ni kupoteza muda😔Jua tu kwamba Nape na January ni wafia CCM, hao tegemea lolote huko mbele. Wakulia hapo ni byabato tu, ambaye yeye December 2025 atakuwa ashasahaulika.
Hao wengine, hata kama sio mawaziri wataendelea kula hata kama sio wabunge maisha yao yote kupitia msingi waliojijengea ndani ya chama.
Ccm kama iliweza kusimama bila ya nyerere na hata lowasa alivyotoka chama kilikuwa imara, hawa wengine wakawaida sana, ccm ni taasisi imara sana kuliko unavyodhaniMakamba, Nape na Mwigulu wamekulia ndani ya ccm. Wanazijua siasa za bara na wanajua fitina na mbinu za ushindi.
Kwa Samia kuwavuruga Nape na Makamba wakati uchaguzi mkuu ukinukia ni mahesabu mabovu sana ya kisiasa ameyafanya rais Samia.
Rais Samia hatoboi 2025.
Pia Soma
- Breaking News: - Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Acha ujinga, acha KUMTISHA mama, hao wote ni useless, hawawezi kushindana na Mkuu wa nchi, unataka kuniambia Nini??Makamba, Nape na Mwigulu wamekulia ndani ya ccm. Wanazijua siasa za bara na wanajua fitina na mbinu za ushindi.
Kwa Samia kuwavuruga Nape na Makamba wakati uchaguzi mkuu ukinukia ni mahesabu mabovu sana ya kisiasa ameyafanya rais Samia.
Rais Samia hatoboi 2025.
Charismatic, fella, talented, game changer, saluteKwa taarifa yako sasa hakuna Watu ambao ndiyo walikuwa wanaenda Kumharibia Mama kwa 2025 kama hawa Nuts.
Makamba, Nape na Mwigulu wamekulia ndani ya ccm. Wanazijua siasa za bara na wanajua fitina na mbinu za ushindi.
Kwa Samia kuwavuruga Nape na Makamba wakati uchaguzi mkuu ukinukia ni mahesabu mabovu sana ya kisiasa ameyafanya rais Samia.
Rais Samia hatoboi 2025.
Pia Soma
- Breaking News: - Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Dkt Samia kafanya vizuri sana kuwatengua, naona mzee wa mawe bado mawe yake yamemsaidia kuwezesha wanaomshauri rais asimtengue. Ila Mh. Rais Dkt Samia ajue kabisa mhusika namba mbili wa kumharibia image ni huyu fedha. Huyu fedha ndiyo alihakikisha akishirikiana na rope kupandisha maisha kuwa juu kiasi kwamba mpaka sasa rais anachukiwa na watu wakilalamika anasema wahamie Burundi. Tena nashauri hawa akina N na J na huyu mawe wafungwe na kesi za uhaini wafie gerezani. Haiwezekani wamhujumu rais na taasisi yake, Dkt Samia walimdanganya kusema eti Dkt Magufuli ni mtu mbaya blabla. Mungu amsimamie Dkt Samia. Yaani hapa wananchi watamuelewa akimtoa huyu bwana fedha mwigulu tena akimfungulia na kesi za ufisadi itakuwa nzuri. Amteue Dkt Ashatu waziri wa Fedha au aangalie mtu ambaye atashusha gharama za maisha. Wizara ambazo zinaweza kumpa Mama Kura ni Fedha na NishatiMakamba, Nape na Mwigulu wamekulia ndani ya ccm. Wanazijua siasa za bara na wanajua fitina na mbinu za ushindi.
Kwa Samia kuwavuruga Nape na Makamba wakati uchaguzi mkuu ukinukia ni mahesabu mabovu sana ya kisiasa ameyafanya rais Samia.
Rais Samia hatoboi 2025.
Pia Soma
- Breaking News: - Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Pia waziri wa kilimo bashe pia amuondoe ni mla rushwa na kasababisha mpaka yule mchaga kafa kisa urefu wa kamba aliiombwa na bashe mkubwa kuzidi uwezo na alikuwa keshaleta mzigo wa mbolea. Dkt Samia ondoka kabisa mapandikizi ya wala rushwa na yule fedha.Makamba, Nape na Mwigulu wamekulia ndani ya ccm. Wanazijua siasa za bara na wanajua fitina na mbinu za ushindi.
Kwa Samia kuwavuruga Nape na Makamba wakati uchaguzi mkuu ukinukia ni mahesabu mabovu sana ya kisiasa ameyafanya rais Samia.
Rais Samia hatoboi 2025.
Pia Soma
- Breaking News: - Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Kwanza ulibisha kwa britanicca kamwe hawawezi kuondoka hadi ukaweka nadhiri kwamba ikitokea basi utaamini kila analosema .. sasa umekuja na thread ya kalaumu mamlaka ya teuzi kwanini wameondoka... Either utakuwa mmoja wa hao au chawa wa hao jamaa.Makamba, Nape na Mwigulu wamekulia ndani ya ccm. Wanazijua siasa za bara na wanajua fitina na mbinu za ushindi.
Kwa Samia kuwavuruga Nape na Makamba wakati uchaguzi mkuu ukinukia ni mahesabu mabovu sana ya kisiasa ameyafanya rais Samia.
Rais Samia hatoboi 2025.
Pia Soma
- Breaking News: - Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari