zous
JF-Expert Member
- Sep 25, 2017
- 3,152
- 5,854
Wakiachwa Mama analea wezi .akiwatumbua tunaambiwa kakosea hii ndio tz mkuu raia hawajui wanachotka alwaysMbona Hamueleweki🙄🙄🙄🙄🙄
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakiachwa Mama analea wezi .akiwatumbua tunaambiwa kakosea hii ndio tz mkuu raia hawajui wanachotka alwaysMbona Hamueleweki🙄🙄🙄🙄🙄
Kwani Nape alisemaje kuhusu njia za ushindi?Makamba, Nape na Mwigulu wamekulia ndani ya CCM. Wanazijua siasa za bara na wanajua fitina na mbinu za ushindi.
Kwa Samia kuwavuruga Nape na Makamba wakati uchaguzi mkuu ukinukia ni mahesabu mabovu sana ya kisiasa ameyafanya Rais Samia.
Rais Samia hatoboi 2025.
Pia Soma
- Breaking News: - Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Usicheze na MNAFIKI, bora umtupilie mbali kule wakati wa kuvuka mto.Makamba, Nape na Mwigulu wamekulia ndani ya CCM. Wanazijua siasa za bara na wanajua fitina na mbinu za ushindi.
Kwa Samia kuwavuruga Nape na Makamba wakati uchaguzi mkuu ukinukia ni mahesabu mabovu sana ya kisiasa ameyafanya Rais Samia.
Rais Samia hatoboi 2025.
Pia Soma
- Breaking News: - Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Patachimbika....!yes..wote wapo NEC.
Hivi Makamba amefanya kitu gani ambacho ni alama kwa Watanzania wengi wizara ya Nishati hata ya Mambo ya nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki?.Makamba, Nape na Mwigulu wamekulia ndani ya CCM. Wanazijua siasa za bara na wanajua fitina na mbinu za ushindi.
Kwa Samia kuwavuruga Nape na Makamba wakati uchaguzi mkuu ukinukia ni mahesabu mabovu sana ya kisiasa ameyafanya Rais Samia.
Rais Samia hatoboi 2025.
Pia Soma
- Breaking News: - Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Makamba, Nape na Mwigulu wamekulia ndani ya CCM. Wanazijua siasa za bara na wanajua fitina na mbinu za ushindi.
Kwa Samia kuwavuruga Nape na Makamba wakati uchaguzi mkuu ukinukia ni mahesabu mabovu sana ya kisiasa ameyafanya Rais Samia.
Rais Samia hatoboi 2025.
Pia Soma
- Breaking News: - Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya HabaKwahiyo hao watu watishi Milele?
Watangulizi wao wamefanya nn? Nchi hii mwenye maamuzi ya nini kifanyoke wapi ni mungu mtu (rais) tu. Mipango na bajeti ya wizara ni lazima ikubaliwe na mwenyekiti wa baraza la mawaziri (rais).Hivi Makamba amefanya kitu gani ambacho ni alama kwa Watanzania wengi wizara ya Nishati hata ya Mambo ya nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki?.
Je Nape kafanya nini naye cha maana kwenye wizara ya mawasiliano?
Vipi Mwingulu kipi mambo yapi kwenye wizara aliyopo anaweza kukionyesha kwa watanzania akifanya?
Ataiba kura ucjaliMakamba, Nape na Mwigulu wamekulia ndani ya CCM. Wanazijua siasa za bara na wanajua fitina na mbinu za ushindi.
Kwa Samia kuwavuruga Nape na Makamba wakati uchaguzi mkuu ukinukia ni mahesabu mabovu sana ya kisiasa ameyafanya Rais Samia.
Rais Samia hatoboi 2025.
Pia Soma
- Breaking News: - Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Bado hujasema 🤣😂👇😂Makamba, Nape na Mwigulu wamekulia ndani ya CCM. Wanazijua siasa za bara na wanajua fitina na mbinu za ushindi.
Kwa Samia kuwavuruga Nape na Makamba wakati uchaguzi mkuu ukinukia ni mahesabu mabovu sana ya kisiasa ameyafanya Rais Samia.
Rais Samia hatoboi 2025.
Pia Soma
- Breaking News: - Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Makamba, Nape na Mwigulu wamekulia ndani ya CCM. Wanazijua siasa za bara na wanajua fitina na mbinu za ushindi.
Kwa Samia kuwavuruga Nape na Makamba wakati uchaguzi mkuu ukinukia ni mahesabu mabovu sana ya kisiasa ameyafanya Rais Samia.
Rais Samia hatoboi 2025.
Pia Soma
- Breaking News: - Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Mawazo ya 'Kipuuzi' kama haya ndio huwa yanafanya January Makamba na Bumunda Nauye wahisi wanastahili kila kitu kwenye hii nchi. Shenzi sana
Ila nape ni boga sana halafu hujifanya eti anaakili wwMwisho wa siku wanaojua zaidi ni waliopo jikoni
Yeye mjanja wa uchaguzi, anataniaIla nape ni boga sana halafu hujifanya eti anaakili ww
Lkn wako vizuri ktk mipango na mikakati ya ushindi wa chaguzi.
Hivi Kati ya hao wawili na ccm yupi mkubwa?Nape na huyo Makamba wana umri gani? Wanazijua siasa za bara kumzidi nani? Nchimbi? Wewe? Au mimi?
Tulia tu mda ndio utasema jambo lenye kuelewek