Pre GE2025 Waliomshauri Rais Samia kuwatengua Nape na Makamba, wamempotosha. 2025 Rais Samia atakwama!

Pre GE2025 Waliomshauri Rais Samia kuwatengua Nape na Makamba, wamempotosha. 2025 Rais Samia atakwama!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Chama cha Mapinduzi kina hazina kubwa ya viongozi wenye weledi mkubwa linapokuja suala la uchaguzi.
Ushindi wa CCM haunaweza kutegemea figisu za Nape, Makamba na Mwigulu.
Ccm imekamilika sana kimkakati na kimtandao.
Ushindi ni wa wazi mno kwa CCM 2024 na 20
 
Mbona Magufuli aliwatema na akapita kwa 80% na raiding?...ogopa saana nguvu ya kiti kuanzia Chamani na hata serikalini
Hapo inabidi wavunge tu! Labda waombe dua mbaya
 
Makamba, Nape na Mwigulu wamekulia ndani ya CCM. Wanazijua siasa za bara na wanajua fitina na mbinu za ushindi.

Kwa Samia kuwavuruga Nape na Makamba wakati uchaguzi mkuu ukinukia ni mahesabu mabovu sana ya kisiasa ameyafanya Rais Samia.

Rais Samia hatoboi 2025.

Pia Soma
- Breaking News: - Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Usicheze na MNAFIKI, bora umtupilie mbali kule wakati wa kuvuka mto.
2025, Samia anatoboa bila Nape na January
 
Makamba, Nape na Mwigulu wamekulia ndani ya CCM. Wanazijua siasa za bara na wanajua fitina na mbinu za ushindi.

Kwa Samia kuwavuruga Nape na Makamba wakati uchaguzi mkuu ukinukia ni mahesabu mabovu sana ya kisiasa ameyafanya Rais Samia.

Rais Samia hatoboi 2025.

Pia Soma
- Breaking News: - Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Hivi Makamba amefanya kitu gani ambacho ni alama kwa Watanzania wengi wizara ya Nishati hata ya Mambo ya nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki?.
Je Nape kafanya nini naye cha maana kwenye wizara ya mawasiliano?
Vipi Mwingulu kipi mambo yapi kwenye wizara aliyopo anaweza kukionyesha kwa watanzania akifanya?
 
Hivi Makamba amefanya kitu gani ambacho ni alama kwa Watanzania wengi wizara ya Nishati hata ya Mambo ya nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki?.
Je Nape kafanya nini naye cha maana kwenye wizara ya mawasiliano?
Vipi Mwingulu kipi mambo yapi kwenye wizara aliyopo anaweza kukionyesha kwa watanzania akifanya?
Watangulizi wao wamefanya nn? Nchi hii mwenye maamuzi ya nini kifanyoke wapi ni mungu mtu (rais) tu. Mipango na bajeti ya wizara ni lazima ikubaliwe na mwenyekiti wa baraza la mawaziri (rais).

Kwahiyo tusiongopeane kwamba Kuna waziri anaweza kujifanyia mambo yake ktk wizara ili aache alama.

In Africa, the subordinate is not supposed to outshine their boss.
 
Makamba, Nape na Mwigulu wamekulia ndani ya CCM. Wanazijua siasa za bara na wanajua fitina na mbinu za ushindi.

Kwa Samia kuwavuruga Nape na Makamba wakati uchaguzi mkuu ukinukia ni mahesabu mabovu sana ya kisiasa ameyafanya Rais Samia.

Rais Samia hatoboi 2025.

Pia Soma
- Breaking News: - Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Bado hujasema 🤣😂👇😂

View: https://www.instagram.com/p/C9xPy1HNDLB/?igsh=MWVlY3NrcWxjd2h0MQ==
 
Makamba, Nape na Mwigulu wamekulia ndani ya CCM. Wanazijua siasa za bara na wanajua fitina na mbinu za ushindi.

Kwa Samia kuwavuruga Nape na Makamba wakati uchaguzi mkuu ukinukia ni mahesabu mabovu sana ya kisiasa ameyafanya Rais Samia.

Rais Samia hatoboi 2025.

Pia Soma
- Breaking News: - Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Mama hayuko vibaya:

GTGwRoUWIAkdhjh.jpeg


Ni mwendo wa ku-zoom, na kutungua kwa raha zake.

Cc: Lucas Mwashambwa
 
Back
Top Bottom