Fursakibao
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 6,813
- 11,540
Hup tunauita ni unafiki was kiwango cha juu maana wanaosema walikuwa wasaidizi wake; mbona hawakusema kipindi hicho?Hasemwi bila sababu, yale maovu yake ndiyo yanasemwa na hakuna na ya kukwepa kumtaja wakati main topic ni majanga aliyoisababishia nchi na kwa wanaomtetea hali kadhalika.
Bunge lilipitisha tu tena kwa dharula baada ya kupekwa kutokana na matakwa ya Rais mwenyewe ili kiwe kichaka.Plea bargain ni sheria iliyotungwa na bunge sio Magufuli, hivyo Magufuli alitekeleza matakwa ya wananchi, tena washukuru hii sheria kwa kuja maana wengine wangeliweza kukaa hata miaka 10 pasipo kesi yako kusikilizwa,hii ilikuwa maelewano kama umeiba unalipa unaondoka zako,na wengi wamefaidika na hii shs
Ndio uwezo wako wa kufikiri ulipoishiaInaonekana unachezewa mavi sana.
Waliokuwa wakikusanya hizo pesa SI wapo, kwani wasichululiwe hatua. Ni upumbavu kujifanya unashughulikia wizi uliopita usio na ushahidi Hulu unashindwa kuzuia wizi unaoendelea.
Kama umeshaweka sheria kinachofuata ni utekelezaji. Ukioga kusimamia sheria mlizopitisha wenyewe basi hautoshi.Ujasiri bila hekima ni hasara kwa jamii.Na uoga wenye mahesabu na tahadhari ni tunda la hekima kwako.Yafaa nini jazba kwa simba mwenye njaa kuvamia hovyo vichaka vyenye mitego yenye hatari kubwa?
Walikuwa wanaporwa .. magufuri na team yake walikuwa majambazi ...kwn jambazi anavyo kunyang'anya hela zako huwa ni zake ?? Yule hata mumpambe vp , lkn alikuwa jambaziHuo ndio ukweli hivi uwe na pesa halali halafu unyang'anywe kweli hakika hakuna watu wajinga nchi hii kama vijana wa chadema mtandaoni
Alimnyang'anya nani unaemjua?Walikuwa wanaporwa .. magufuri na team yake walikuwa majambazi ...kwn jambazi anavyo kunyang'anya hela zako huwa ni zake ?? Yule hata mumpambe vp , lkn alikuwa jambazi
Sent from my DRA-LX5 using JamiiForums mobile app
Na mnyang'anya pesa aka DICTATOR JPM naye alikuwa mwizi, jitahidi kuitetea maiti hope you won't succeedMitoto ya wezi katika ubora wako.
Serikali ya Samia imejaa wezi, hivyo lazima wezi watetee wezi wenzao.
Kila mtu alienyang'anywa pesa alikuwa mwizi, hivyo walikuwa wanarudisha walichoiba.
Mtapambana lakini hamtaweza.
Hatamfanye je wanachi hawatawaelewa.
Kila ubaya UtalipwaView attachment 2503193
My Take
Nawaambieni ukweli mchungu.
Katika serikali zilizojaa uozo serikali ya Magufuli ni nambari wani.
Mambo mengi sana ya hovyo yalifanyika chini ya uchochoro wa uzalendo.
Mzalendo na waliokuwa chini yake wamechakaza sana mali za umma na watu binafsi
Ndo zipelekwe China?Hata yakiandika magazeti yote na television zote zikatangaza kumchafua Magu!
Haiondoi ukweli ukweli kuwa wafanya biashara wengi walidaiwa pesa za ukwepaji kodi walizokuwa wakiibia serikali pamoja na kina Mbowe!
Ukitaka uwe mbaya, dai chako, JPM aliwadai wafanya biashara kodi nanihalali kabisa kwa nchi, lakini eti huo umekuwa ni ubaya? Nchi ya kipumbavu sana hii
Dictator JPM ndio alikua akidai chake kisha kikafichwa China bila ya yeye kujua au alijua kabisa kuwa wamezificha uko ili baadae waanze kuzifaidi.Hata yakiandika magazeti yote na television zote zikatangaza kumchafua Magu!
Haiondoi ukweli ukweli kuwa wafanya biashara wengi walidaiwa pesa za ukwepaji kodi walizokuwa wakiibia serikali pamoja na kina Mbowe!
Ukitaka uwe mbaya, dai chako, JPM aliwadai wafanya biashara kodi nanihalali kabisa kwa nchi, lakini eti huo umekuwa ni ubaya? Nchi ya kipumbavu sana hii
Kuwepo kwa sheria ni jambo moja.Na kuzifuata ni jambo lingine muhimu zaidi.Nadhani umeelewa.Kama umeshaweka sheria kinachofuata ni utekelezaji. Ukioga kusimamia sheria mlizopitisha wenyewe basi hautoshi.
Biswalo amejificha siku hizi hatoki ndani
Hizo ela zilizochotwa nizanani! mbona hamuweki majina tukawaona hao waliochotewa ela zao?Mo na Mengi pamoja na Backressa hatukuwahi kusikia wakilalamika kwamba ela zao zilichotwa na Mo mpaka akanawili mpaka akatangazwa tajiri kijana africa enzi za Magufuli,naona wanalalamika ni akina Mbowe na washirika wake na akina Masamaki aliyekutwa na nyumba zaidi ya 70 aliyekuwa anajichotea ela Tra ela za ummaOgopa sana serikali inayohangaika kujinadi ni ya kizalendo. Pale wizara ya fedha kuna watu hadi leo wanalipwa fidia kwa kutaifishwa mali zao wakati wa hayati Nyerere. Mzee Tango (Verani) wa Arusha ni miongoni mwao. "Wazalendo" huwa wana chuki mno na matajiri hata iwe hela ya halali. Wao hudhani umaskini ndo uzalendo. JPM nia yake ilikuwa kuongeza maskini na kupunguza matajiri. Enzi zake ukiwa na hata milioni 20 tu benki wanataka wakwapue. TRA ilikuwa inajichotea mihela kwenye akaunti za watu kwa kisingizio cha kodi. Tena hapa karibia na kifo chake hali ndo ilikuwa mbaya zaidi. Angalau hata ile miaka miwili ya mwanzo wa utawala wake. Hapa mwishoni alibadilika na kuwa shetani kamili. Tunamshukuru sana Mungu kwa kutuondolea baradhuli yule na kutuletea Mama mwenye upendo kwa kila mtu. Watetezi wa yule roho mchafu huwa ni maskini au walinufaika kwenye uongozi wake.
Wewe maskini huwezi elewa. Watu wengi wamenyamaza na kuamua kusamehe. Halafu ela = hela?Hizo ela zilizochotwa nizanani! mbona hamuweki majina tukawaona hao waliochotewa ela zao?Mo na Mengi pamoja na Backressa hatukuwahi kusikia wakilalamika kwamba ela zao zilichotwa na Mo mpaka akanawili mpaka akatangazwa tajiri kijana africa enzi za Magufuli,naona wanalalamika ni akina Mbowe na washirika wake na akina Masamaki aliyekutwa na nyumba zaidi ya 70 aliyekuwa anajichotea ela Tra ela za umma
Unawezaje nyamaza wakati mtu umenyanganywa haki yako kama unaoushaidi kuwa mali uliyonyanganywa umeipata kialali? mbona!walinyanganywa mali na Nyerere walienda mahakamani wakashitaki wakinda kesi wakatudishiwa mali zao? kwanini hawa mnaosema Magufuli aliwanyanganya fedha hatukuwahi kuona hata tajiri mmoja akijitokeza kisema kwamba mimi niliwahi kuchukuliwa fedha zangu benki katika utawala wa Magufuli?Sans sana maneno hayo tunayasikia kwa wanasiasa akina Mbowe Cop, waliokuwa wakishirikiana na walanguzi kuliujumu taifa.Wewe maskini huwezi elewa. Watu wengi wamenyamaza na kuamua kusamehe. Halafu ela = hela?
Hoja hapa isiwe Chadema au CCM, je ni kweli walinyang'anywa kwa sheria na haki?Huo ndio ukweli hivi uwe na pesa halali halafu unyang'anywe kweli hakika hakuna watu wajinga nchi hii kama vijana wa chadema mtandaoni