kidole cha simba
JF-Expert Member
- Jun 3, 2022
- 1,994
- 2,510
umempa za uso huyu jamaaTatizo siyo suruali hilo ni Vazi limpasalo mwanaume mwanamke hapaswi kuvaa,huku kwetu Tanzania vazi limpasalo mwanaume ni suruali.
Ukitaka kujua shetani ni mtu wa ajabu,tafakari mawazo yako namna yalivyo,Mwanamke akivaa suruali kwasasa unaona kawaida ila mwanaume akivaa sketi na akitembea barabarani kwanini ashambuliwe?,Unaweza kunijibu?
Ni tamaduni tu shetani unamsingizia. Scotland huko wanavaa sketi. Nigeria wanaume wana mavazi yao kama magauni.Tatizo siyo suruali hilo ni Vazi limpasalo mwanaume mwanamke hapaswi kuvaa,huku kwetu Tanzania vazi limpasalo mwanaume ni suruali.
Ukitaka kujua shetani ni mtu wa ajabu,tafakari mawazo yako namna yalivyo,Mwanamke akivaa suruali kwasasa unaona kawaida ila mwanaume akivaa sketi na akitembea barabarani kwanini ashambuliwe?,Unaweza kunijibu?
Achana na huko ulikokutaja,nataka uniambie kwa hapa kwetu Tanzania,ni halali mwaume kuvaa sketi?Ni tamaduni tu shetani unamsingizia. Scotland huko wanavaa sketi. Nigeria wanaume wana mavazi yao kama magauni.
So mwanamke akivaa suruali anajifananisha na mwanaume?🤣🤣🤣badili mindset joh utachekwa ukija mjiniMavazi ni automatically yanajulikana kwa jamii husika .
Point kubwa katika jamii yetu suruali ni za wanaume haswa sio sheria kote ila jamii yetu kwa sababu dini imegneraloze kwamba wanamkr asijifananishe na mwanaume na vice versal.
Hii ni applicable kwa jamii zote kutokana na muundo wao wa mavazi.
.Ukienda india kuna pajabi zile kwa jamii yao jata wanaume wanavaa ila Bongo ukivaa utachekwa kama mwanaume.
Yaani wengine mpaka unavutiwa na ule mwonekano wa Bonet ya VW Beetle' ile ya zamani.....wakati mwingine mambo Huwa ni kizungumkuti'... jamani wakati mwingine, mtusameheni jamani....Hatuwaonei wivu nyie kuvaa suruali..ila nyege zetu ndio tatizo hasa mnapotikisa makalio kwenye suruali zenu mmevaa zinaonyesha mpaka mikanda ya vyupi...
Suruali ya mwanaume haiyagawanyi makalio ila suruali zenu zina display mpaka wa kati baina ya vilele viwil vya milima sasa hapo ndio sisi mnatukosesha utulivu na kufanya twende motoni..
Tamaduni na mila zetu ni mwiko mwanaume kuvaa sketi. Tamaduni zikiruhusu hakuna tatizo.Tatizo siyo suruali hilo ni Vazi limpasalo mwanaume mwanamke hapaswi kuvaa,huku kwetu Tanzania vazi limpasalo mwanaume ni suruali.
Ukitaka kujua shetani ni mtu wa ajabu,tafakari mawazo yako namna yalivyo,Mwanamke akivaa suruali kwasasa unaona kawaida ila mwanaume akivaa sketi na akitembea barabarani kwanini ashambuliwe?,Unaweza kunijibu?
Imeandikwa wapi hii mkuu?🤣🤣🤣Tatizo siyo suruali hilo ni Vazi limpasalo mwanaume mwanamke hapaswi kuvaa,huku kwetu Tanzania vazi limpasalo mwanaume ni suruali.
Ukitaka kujua shetani ni mtu wa ajabu,tafakari mawazo yako namna yalivyo,Mwanamke akivaa suruali kwasasa unaona kawaida ila mwanaume akivaa sketi na akitembea barabarani kwanini ashambuliwe?,Unaweza kunijibu?
Wewe unaweza kukubali mumeo au baba yako kuvaa sketi na mkaambatana naye barabarani?So mwanamke akivaa suruali anajifananisha na mwanaume?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]badili mindset joh utachekwa ukija mjini
Sio halali. Huko nimepataja kukuonyesha kuwa ni suala la mila zetu tu sio suala la shetani.Achana na huko ulikokutaja,nataka uniambie kwa hapa kwetu Tanzania,ni halali mwaume kuvaa sketi?
Ni wapi na lini hizo tamaduni na mila zilimsimika mwanamke kuvaa suruali?Tamaduni na mila zetu ni mwiko mwanaume kuvaa sketi. Tamaduni zikiruhusu hakuna tatizo.
Kama ni mila kwanini hapa kwetu mwanaume kuvaa sketi ashambuliwe?Sio halali. Huko nimepataja kukuonyesha kuwa ni suala la mila zetu tu sio suala la shetani.
Na kumbuka hapa Muuliza swali hajaweka suala la mila na desturi,ameongelea walokole kwa maana kwamba anataka neno la Mungu litumike zaidi.Sio halali. Huko nimepataja kukuonyesha kuwa ni suala la mila zetu tu sio suala la shetani.
Kwahiyo Samia anavyovaa suruali anajifananisha na mwanaume?🤣🤣 inferiority complex at its best, anyways si kosa lako ni jamii uliyotoka ndo inareflect uelewa wako🤔Wewe unaweza kukubali mumeo au baba yako kuvaa sketi na mkaambatana naye barabarani?
Hakuna mahali jamii inasimika mila ila mila inakubalika na jamii. Kwani ni wapi na lini tamaduni na mila zilimsimika salamu ya shikamoo?Ni wapi na lini hizo tamaduni na mila zilimsimika mwanamke kuvaa suruali?
Enzi hizi sio jambo la kushangaza kusikia kachungaji au manabii,au katume kamebaka, hivyo mwenye kuamini hivyo atatengeneza mazingira rahisi ya kumsaidia kufanikisha uovu wake, fikiria wale wa msitu wa Shakahola🤔.Kama kuuwa,au kujiua sio dhambi,vipi kama akibaka,atasema ni dhambi🤔.Maisha,Imani vyote akili kumkichwa kwa kila binadamu kama sisi kwa kila kiumbe🚶🚶Kuna mambo yanastaajabisha.
Siku moja nipo kwenye daladala
kuna mlokole akawa kapanda akaanza kuhubiri
Katika mahubiri yale akasema
mwanamke kuvaa suruali ni dhambi.
Nikajiuliza maandiko gani hayo yamesema hivyo wakati suruali zimekuja kugunduliwa majuzi tu?w
Pili, nikajiuliza mbona watu wa zamani wake kwa waume walivaa
mavazi ya aina moja mfanano na magauni au tuseme madera.
Nadhani hoja wasivae suruali za kubana makalio. Mambo ya kusema suruali dhambi kwa mwanamke ni upotofu. Vazi la suruali ni ubunifu tu wa mwanadamu.
Nimekuwekea andiko hapo inamaana husomi unaruka tu na kudandia posti ili uonekane shujaaImeandikwa wapi hii mkuu?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sio mila zetu. Ukitaka kuvaa sketi nenda nchi wanakubaliana na hizo mila.Kama ni mila kwanini hapa kwetu mwanaume kuvaa sketi ashambuliwe?
Nionyeshe picha ya samia akiwa amevaa suruali,halafu pia Samia ni nani mbele za Mungu?,Kwahiyo huyo Samia yeye hafanyi dhambi?,pengine kwa dini yake huyo Samia suruali ni vazi la kike,wewe unajuaje?Kwahiyo Samia anavyovaa suruali anajifananisha na mwanaume?[emoji1787][emoji1787] inferiority complex at its best, anyways si kosa lako ni jamii uliyotoka ndo inareflect uelewa wako[emoji848]