Huu ni Uongo uliokubuu😂 Katika nchi zote za Kiislam Madrasa ni kwa ajili ya kufundisha Quran na Kiarabu. Katika tembea yangu kiasi Duniani hapa sijaona Madrasa inafundisha zaidi ya hivi viti viwili. Madrasa zilianzishwa miaka kadhaa baada ya Kuanzishwa Dini ya Kiislam. Muhamad akusoma Madrasa. Asili ya Kufundisha Watoto ilianzia Misri enzi za Falao na ata ukisoma maandiko .Musa alisoma katk shule za Misri,,Elimu ambayo ilimwezesha kufanya vikao na majadiliano na Farao mpaka akawapa rukhusa Waisrael watoke Misri, Pia Elimu hiyo hoyo Ilimsaidia Musa Kuwaongoza Kuhukumu na kuwatawala wana Israel Jangwani wakiwa wanaelekea Jerusalem kwenye nchi yao. (Hapa unaona kuwa Musa alikuwa na Elimu zaidi ya moja ikiwemo Sheria, Uongozi etc)Israel waliendeleza utamaduni wa Kusomesha watoto wao.... na ata Yesu Aliweza Soma katika shule hizo na Yeye kujua kusoma na Kuandika pamoja na mambo mengine kama Sheria n.k,,,(Bibilia ina ushaidi wa Yesu kujua kusoma na kuandika na pia kuwa na Elimu tosha ya Dini na pia Siasa- Kitu ambacho kilimwezesha kuhubiri na kufanya kazi zake Kisomi na umakini wa hali ya juu) Warabu wakakopy ila wao ikiwa ni madundisho ya kitabu kimoja tu... hu ndo ukweli