Chupayamaji
JF-Expert Member
- Sep 19, 2017
- 5,784
- 13,642
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mtu hatari snSijawahi kumkubali na sitoweza kumkubali kamwe
Ana uchu wa madaraka.Tulia ni mtu wa hovyo sn
Hafai hata kuwa kiongoziAna uchu wa madaraka.
Huyu mama hatakiwi hata kidogo,sema bunge lililopo ni la chama kimoja lakini ilitakiwa wampige chini tu.Aliyewahi kuwa Makamu wa kwanza wa Rais katika Bunge la Afrika (PAP), Stephen Masele na Naibu Spika wa Bunge la Tanzania Dkt. Tulia Ackson wamechukua fomu ya kuomba kuteuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kugombea nafasi ya Spika wa Bunge la Tanzania
Mtu mwingine aliyechukua fomu ni Patrick Nkamaha. Mchakato huu umeanza baada ya CCM kutangaza kutaka muwakilishi kugombea nafasi iliyoachwa na Mbunge wa Kongwa, Job Ndugai
- Patrick Nkamah
- Stephen Masele
- Tulia Ackson Mwansasu
- Godwin Kunambi
- Hamidu Ubaidi Chamani
Masele ni kijana wa Msoga gang,lolote laweza tokea,au naibu.Masele ana uwezo lakini kwa jinsi CCM wasivyopenda mtu anaejielewa tutegemee maajabu,
Huyo Tulia ndio hafai hata
Wanazi utawajua tu,akipitishwa je?Dr. Tulia ulitumika sana na Magufuli kupenyeza ajenda zake. Ulikuwa na kiburi wala hukuwahi kumuheshimu Makamu wa Rais SSH. Leo bila aibu unamsifia Rais hadharani ili akupitishe ugombee Uspika.
Tamaa na uchu wa madaraka vitakuponza. Ngozi yako inajulikana kuwa wewe ni sehemu ya uovu uliopita. Hutokaa uwe Spika SSH akiwa Rai
Hawa ndio VIP wetu😁😁
Ngoja tuoneMasele ni kijana wa Msoga gang,lolote laweza tokea,au naibu.
Hapa wanyaki walipigwa na kitu kizito siyo kwa mishapu ile ya kinyaki
Yupo tayari kufanya lolote ili mradi apate madarakaAna uchu wa madaraka.
Atamnyoosha maana Job alimnyanyasa sana Masele kipindi cha kasheshe laoMasele akipata huo usubwufa sijui kama jobo atapata muda wa kuchangia
Yaani unamuombea mtu kama huyu?Dada Tulia umechukua form ya uspika unauhakika utaweza kupita dada yangu.
Moyo wangu unawasiwasi sana, unaweza kurudi kuwa mbunge wa kawaida.
Ila Mungu akusaidie dada yangu, hili gemu ni gumu.