Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Bunge limepoteza umakiniHata hivyo bunge la sasa si zuri agombee tu wazidi kulitia kutu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bunge limepoteza umakiniHata hivyo bunge la sasa si zuri agombee tu wazidi kulitia kutu.
Tatizo wabunge woote hapo mjengoni hakuna anayetazama ufanisi wa hilo bunge.Hivi hapo kuna kushindwa ?
Akipewa Uspika ni Kushindwa kwa nchi na Taifa (kutokana na kauli zake alizoanza kuzitoa) atazidi kulitepesha Bunge...., Akishindwa umri bado unadai na kesho keshokutwa bado anaweza kuomba uongozi....
Binafsi kuliko kuwa Kiongozi wa Rubber Stamp ni bora mtu kukaa kando mpaka Bunge litakapoota Meno (if ever)....
Ukumuona ngedere kariakoo basi ujue kuwa kuna mtu kampeleka pale.Ivi Tulia akifeli atarudi kua naibu au atakoswa vyote
mfano: Makonda alikua mkuu wa mkoa akachukua fomu ya ubunge akakatwa kwenye kura za maoni akawa amepoteza vyote
je? Je kwa huyu tulia itakueje akikoswa usipika
Hizo dua ni kheri zikawa za kweli eweee Mungu ebu fanya miujiza huyu Tulia apigwe chini na hayo ndiyo maombi yetu sisi wana wa Mbeya.Dr. Tulia ulitumika sana na Magufuli kupenyeza ajenda zake. Ulikuwa na kiburi wala hukuwahi kumuheshimu Makamu wa Rais SSH. Leo bila aibu unamsifia Rais hadharani ili akupitishe ugombee Uspika.
Tamaa na uchu wa madaraka vitakuponza. Ngozi yako inajulikana kuwa wewe ni sehemu ya uovu uliopita. Hutokaa uwe Spika SSH akiwa Rais.
Sshhhhhhh.... 🤫 Huu mchezo hauhitaji hasiraAliyewahi kuwa Makamu wa kwanza wa Rais katika Bunge la Afrika (PAP), Stephen Masele na Naibu Spika wa Bunge la Tanzania Dkt. Tulia Ackson wamechukua fomu ya kuomba kuteuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kugombea nafasi ya Spika wa Bunge la Tanzania
Mtu mwingine aliyechukua fomu ni Patrick Nkamaha. Mchakato huu umeanza baada ya CCM kutangaza kutaka muwakilishi kugombea nafasi iliyoachwa na Mbunge wa Kongwa, Job Ndugai
- Patrick Nkamah
- Stephen Masele
- Tulia Ackson Mwansasu
- Godwin Kunambi
- Hamidu Ubaidi Chamani
Hapana katiba inasema wabunge watamchagua mbunge aliye na muda mrefu na ambae hatagombea,ndio atakuwa mwenyekiti wa kikao kitakachomchagua spikaTulia hatakiwi kugombea, anatakiwa aendeshe mchakato wa kumpata spika.
Sasa anaachia kiti alichopewa kikatiba kugombea kingine bila kuwepo anayekaimu?
Huyu hafai kwa sababu ana tamaa ya madaraka.
Uspika ataupata tu baada ya miaka mitano.
Mwambie rafiki yako Sugu akachukue fomuHakuna bunge tena hapo
Huyo Tulia bora ata alivyokuwa Ndugai mara 100!Aliyewahi kuwa Makamu wa kwanza wa Rais katika Bunge la Afrika (PAP), Stephen Masele na Naibu Spika wa Bunge la Tanzania Dkt. Tulia Ackson wamechukua fomu ya kuomba kuteuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kugombea nafasi ya Spika wa Bunge la Tanzania
Mtu mwingine aliyechukua fomu ni Patrick Nkamaha. Mchakato huu umeanza baada ya CCM kutangaza kutaka muwakilishi kugombea nafasi iliyoachwa na Mbunge wa Kongwa, Job Ndugai
- Patrick Nkamah
- Stephen Masele
- Tulia Ackson Mwansasu
- Godwin Kunambi
- Hamidu Ubaidi Chamani
Masele mtu na nusu
MASELE NI MBWA WA MEMBEMasele ana uwezo lakini kwa jinsi CCM wasivyopenda mtu anaejielewa tutegemee maajabu,
Huyo Tulia ndio hafai
Na wewe kamwambie jiwe aje awashuhudie vijakazi wake wanavyo msalitiMwambie rafiki yako Sugu akachukue fomu
Woote ni 0 tuHuyo Tulia bora ata alivyokuwa Ndugai mara 100!
kivipi mkuu?MASELE NI MBWA WA MEMBE
Kunambi huyu huyu ambaye cheo cha kuwa DED tu akipiga watu vibao ofisiniAliyewahi kuwa Makamu wa kwanza wa Rais katika Bunge la Afrika (PAP), Stephen Masele na Naibu Spika wa Bunge la Tanzania Dkt. Tulia Ackson wamechukua fomu ya kuomba kuteuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kugombea nafasi ya Spika wa Bunge la Tanzania
Mtu mwingine aliyechukua fomu ni Patrick Nkamaha. Mchakato huu umeanza baada ya CCM kutangaza kutaka muwakilishi kugombea nafasi iliyoachwa na Mbunge wa Kongwa, Job Ndugai
- Patrick Nkamah
- Stephen Masele
- Tulia Ackson Mwansasu
- Godwin Kunambi
- Hamidu Ubaidi Chamani
Ndio ilivyo kiuhalisiaHuyu Tulia baada ya Statement zake za leo tutegemee Bunge kutokuwa tu a Rubber Stamp bali hio Stamp itakwenda kabisa Ikulu ili wamalize huko huko hakuna haja hata ya ku-consult Bunge
kumbe kazi ya kwenda kabisa😂😂😂
Dr. Tulia ulitumika sana na Magufuli kupenyeza ajenda zake. Ulikuwa na kiburi wala hukuwahi kumuheshimu Makamu wa Rais SSH. Leo bila aibu unamsifia Rais hadharani ili akupitishe ugombee Uspika.
Tamaa na uchu wa madaraka vitakuponza. Ngozi yako inajulikana kuwa wewe ni sehemu ya uovu uliopita. Hutokaa uwe Spika SSH akiwa Rais.
Namjua vizuri Tulia. Kazi yangu inanifanya nimpekue yeye na hata mumewe aliyepo Wizara ya Nishati. TULIA HATOKUWA SPIKA.Unamjua vizuri. Je hiyo dharau kwa Makamu alimwonyesha wapi na lini. Watanzania mnapenda kusema watu ambao hata kuwajua hamuwajui. Sasa nikwambie hao watu mabest sana. Mama na huyu unayemwotea ndoto za asubuhi na mapema.