Wana-CCM wajitokeza kuchukua fomu ya kutia nia ya kuwania nafasi ya Spika wa Bunge la JMT. Yupo Dkt. Tulia na Masele
Hivi hapo kuna kushindwa ?

Akipewa Uspika ni Kushindwa kwa nchi na Taifa (kutokana na kauli zake alizoanza kuzitoa) atazidi kulitepesha Bunge...., Akishindwa umri bado unadai na kesho keshokutwa bado anaweza kuomba uongozi....

Binafsi kuliko kuwa Kiongozi wa Rubber Stamp ni bora mtu kukaa kando mpaka Bunge litakapoota Meno (if ever)....
Tatizo wabunge woote hapo mjengoni hakuna anayetazama ufanisi wa hilo bunge.

Kila mbunge anatazama nini anapata kwa manufaa ya familia yake.
 
Ivi Tulia akifeli atarudi kua naibu au atakoswa vyote

mfano: Makonda alikua mkuu wa mkoa akachukua fomu ya ubunge akakatwa kwenye kura za maoni akawa amepoteza vyote

je? Je kwa huyu tulia itakueje akikoswa usipika
Ukumuona ngedere kariakoo basi ujue kuwa kuna mtu kampeleka pale.
 
Dr. Tulia ulitumika sana na Magufuli kupenyeza ajenda zake. Ulikuwa na kiburi wala hukuwahi kumuheshimu Makamu wa Rais SSH. Leo bila aibu unamsifia Rais hadharani ili akupitishe ugombee Uspika.

Tamaa na uchu wa madaraka vitakuponza. Ngozi yako inajulikana kuwa wewe ni sehemu ya uovu uliopita. Hutokaa uwe Spika SSH akiwa Rais.
Hizo dua ni kheri zikawa za kweli eweee Mungu ebu fanya miujiza huyu Tulia apigwe chini na hayo ndiyo maombi yetu sisi wana wa Mbeya.
 
Aliyewahi kuwa Makamu wa kwanza wa Rais katika Bunge la Afrika (PAP), Stephen Masele na Naibu Spika wa Bunge la Tanzania Dkt. Tulia Ackson wamechukua fomu ya kuomba kuteuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kugombea nafasi ya Spika wa Bunge la Tanzania

Mtu mwingine aliyechukua fomu ni Patrick Nkamaha. Mchakato huu umeanza baada ya CCM kutangaza kutaka muwakilishi kugombea nafasi iliyoachwa na Mbunge wa Kongwa, Job Ndugai

  • Patrick Nkamah
  • Stephen Masele
  • Tulia Ackson Mwansasu
  • Godwin Kunambi
  • Hamidu Ubaidi Chamani
Sshhhhhhh.... 🤫 Huu mchezo hauhitaji hasira
 
Tulia hatakiwi kugombea, anatakiwa aendeshe mchakato wa kumpata spika.

Sasa anaachia kiti alichopewa kikatiba kugombea kingine bila kuwepo anayekaimu?

Huyu hafai kwa sababu ana tamaa ya madaraka.

Uspika ataupata tu baada ya miaka mitano.
Hapana katiba inasema wabunge watamchagua mbunge aliye na muda mrefu na ambae hatagombea,ndio atakuwa mwenyekiti wa kikao kitakachomchagua spika

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Aliyewahi kuwa Makamu wa kwanza wa Rais katika Bunge la Afrika (PAP), Stephen Masele na Naibu Spika wa Bunge la Tanzania Dkt. Tulia Ackson wamechukua fomu ya kuomba kuteuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kugombea nafasi ya Spika wa Bunge la Tanzania

Mtu mwingine aliyechukua fomu ni Patrick Nkamaha. Mchakato huu umeanza baada ya CCM kutangaza kutaka muwakilishi kugombea nafasi iliyoachwa na Mbunge wa Kongwa, Job Ndugai

  • Patrick Nkamah
  • Stephen Masele
  • Tulia Ackson Mwansasu
  • Godwin Kunambi
  • Hamidu Ubaidi Chamani
Huyo Tulia bora ata alivyokuwa Ndugai mara 100!
 
Ni punguani peke yake ndiye anaweza kuamini kuwa Tanzania kuna Bunge!👇😁😁😁
 
Aliyewahi kuwa Makamu wa kwanza wa Rais katika Bunge la Afrika (PAP), Stephen Masele na Naibu Spika wa Bunge la Tanzania Dkt. Tulia Ackson wamechukua fomu ya kuomba kuteuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kugombea nafasi ya Spika wa Bunge la Tanzania

Mtu mwingine aliyechukua fomu ni Patrick Nkamaha. Mchakato huu umeanza baada ya CCM kutangaza kutaka muwakilishi kugombea nafasi iliyoachwa na Mbunge wa Kongwa, Job Ndugai

  • Patrick Nkamah
  • Stephen Masele
  • Tulia Ackson Mwansasu
  • Godwin Kunambi
  • Hamidu Ubaidi Chamani
Kunambi huyu huyu ambaye cheo cha kuwa DED tu akipiga watu vibao ofisini
 
Huyu Tulia baada ya Statement zake za leo tutegemee Bunge kutokuwa tu a Rubber Stamp bali hio Stamp itakwenda kabisa Ikulu ili wamalize huko huko hakuna haja hata ya ku-consult Bunge
Ndio ilivyo kiuhalisia
 
Dr. Tulia ulitumika sana na Magufuli kupenyeza ajenda zake. Ulikuwa na kiburi wala hukuwahi kumuheshimu Makamu wa Rais SSH. Leo bila aibu unamsifia Rais hadharani ili akupitishe ugombee Uspika.

Tamaa na uchu wa madaraka vitakuponza. Ngozi yako inajulikana kuwa wewe ni sehemu ya uovu uliopita. Hutokaa uwe Spika SSH akiwa Rais.

Unamjua vizuri. Je hiyo dharau kwa Makamu alimwonyesha wapi na lini. Watanzania mnapenda kusema watu ambao hata kuwajua hamuwajui. Sasa nikwambie hao watu mabest sana. Mama na huyu unayemwotea ndoto za asubuhi na mapema.
 
Unamjua vizuri. Je hiyo dharau kwa Makamu alimwonyesha wapi na lini. Watanzania mnapenda kusema watu ambao hata kuwajua hamuwajui. Sasa nikwambie hao watu mabest sana. Mama na huyu unayemwotea ndoto za asubuhi na mapema.
Namjua vizuri Tulia. Kazi yangu inanifanya nimpekue yeye na hata mumewe aliyepo Wizara ya Nishati. TULIA HATOKUWA SPIKA.
 
Back
Top Bottom