Wana ndoa wengi siku hizi wanaishi kama maadui. Tatizo ni nini?

Wana ndoa wengi siku hizi wanaishi kama maadui. Tatizo ni nini?

Baba zetu walikuwa hawaheshimu mwanamke ila walikuwa wanapata wanawake wakueleweka sana

Sisi tunaheshimu sana wanawake ila tunapata vimeo.

Wanaume wa zamani walipaswa kudate wanawake wa kileo na sisi wanaume wa sasa tulipaswa tu date wanawake wa kale.

Baba zetu waliamini mwanamke ni chombo cha starehe tu sisi tumekataa imani ya baba zetu kwamba mwanamke sio chombo cha starehe bali kiumbe mwenye thamani sana lakini dunia inatufundisha na kutukumbusha busara za baba zetu kwamba wao hawakuwa wajinga kumchukulia mwanamke km chombo cha starehe in fact tunarudi kule kule kwenye ukweli ambao baba zetu waliuishi Mwanamke ni chombo cha starehe.

Tumeruka ruka weee ila wenyewe tunakubali kwamba imefika mahali ili tuwe na dunia ya amani basi lazima tukubali mwanamke nichombo cha starehe na hatupaswi kumzingatia zaidi hapo.

Babu zetu walikuwa mchukulia hivyo ila walau walimpa heshima ya kumuoa na kumtumia km starehe ila sisi hata hiyo heshima ndogo tunakoelekea tunaweza mpora kabisa.

Nani alikuwa hasa na busara??wazee wetu au sisi
 
Japo sio wote ila wana ndoa wengi siku hizi wanaishi kama maadui tatizo ni nini lakini yaani

Kuna watu wapo ndani ya ndoa lakini wakiwa ndani hawaongeleshani

Kuna watu wapo ndani ya ndoa kila siku ugomvi vikao vya kifamilia vya usuluhishi haviiishi

Kuna watu wapo ndani ya ndoa wanaona bora kuchelewa kurudi nyumbani ili akose tuu muda wa kuongea na mwenzie

Kuna watu wapo ndani ya ndoa wameshafika hatua hadi kupelekana mahakamani

Wengine wapo ndani ya ndoa kila siku ligi hakuna anayekubali kushidwa kila mmoja anajiona sahihi kuliko mwenzie

Wengine wapo ndani ya ndoa hata kushare kitu chake na mwenzake hataki kama ni gali hataki kabisa mwenza wake akitumia gali lake

Wengine wapo ndani ya ndoa hata tendo la ndoa hawashiriki tena usishangae wanalala vyumba tofauti tofauti ili mradi amnyime mwenzie

Je katika haya yote shida ni nini lakini

Hakuna shida, ndo kawaida ya ndoa.
 
Wengine nasikia wanalala vyumba tofauti tofauti.

Sijui Kwanini wana pretend kuwa pamoja wakati moyoni walishaachana.


Kuta za nyumba zinaficha mengi sana.
Kuna familia mija naifahamu wamehamia dodoma kikazi lakini huko Hawakaii pamoja kila Mmoja anakaa Kwake, ila wakirudi Dar wanaishipamoja katika nyumba yako waliyokuwa wakiishi. Majirani wote hawajui kuwa Dodoma wamegoma kukaa pamoja.
 
Japo sio wote ila wana ndoa wengi siku hizi wanaishi kama maadui tatizo ni nini lakini yaani

Kuna watu wapo ndani ya ndoa lakini wakiwa ndani hawaongeleshani

Kuna watu wapo ndani ya ndoa kila siku ugomvi vikao vya kifamilia vya usuluhishi haviiishi

Kuna watu wapo ndani ya ndoa wanaona bora kuchelewa kurudi nyumbani ili akose tuu muda wa kuongea na mwenzie

Kuna watu wapo ndani ya ndoa wameshafika hatua hadi kupelekana mahakamani

Wengine wapo ndani ya ndoa kila siku ligi hakuna anayekubali kushidwa kila mmoja anajiona sahihi kuliko mwenzie

Wengine wapo ndani ya ndoa hata kushare kitu chake na mwenzake hataki kama ni gali hataki kabisa mwenza wake akitumia gali lake

Wengine wapo ndani ya ndoa hata tendo la ndoa hawashiriki tena usishangae wanalala vyumba tofauti tofauti ili mradi amnyime mwenzie

Je katika haya yote shida ni nini lakini
Watu wanaoana kisa nyegezi..wanaume wanaangalia misambwanda..na wanawake wanaangalia pochi...tamaa hua waziishi..mwisho wasiku ile true chemistry ndani ya ndoa haipo..ndio magomvi yasiyoisha huanza.


#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wengine ndio huishia kuuana sababu ya kulazimisha kuishi kwenye paa moja wakati penzi lilishakufa.

Tumeshuhudia matukio ya kutisha ya wanandoa kudhuriana na kuuana sababu ya kulazimisha kuishi Pamoja.
Maisha ya ndoa ni unaafiki wa hali ya juu mnooo!
 
Japo sio wote ila wana ndoa wengi siku hizi wanaishi kama maadui tatizo ni nini lakini yaani

Kuna watu wapo ndani ya ndoa lakini wakiwa ndani hawaongeleshani

Kuna watu wapo ndani ya ndoa kila siku ugomvi vikao vya kifamilia vya usuluhishi haviiishi

Kuna watu wapo ndani ya ndoa wanaona bora kuchelewa kurudi nyumbani ili akose tuu muda wa kuongea na mwenzie

Kuna watu wapo ndani ya ndoa wameshafika hatua hadi kupelekana mahakamani

Wengine wapo ndani ya ndoa kila siku ligi hakuna anayekubali kushidwa kila mmoja anajiona sahihi kuliko mwenzie

Wengine wapo ndani ya ndoa hata kushare kitu chake na mwenzake hataki kama ni gali hataki kabisa mwenza wake akitumia gali lake

Wengine wapo ndani ya ndoa hata tendo la ndoa hawashiriki tena usishangae wanalala vyumba tofauti tofauti ili mradi amnyime mwenzie

Je katika haya yote shida ni nini lakini
Tatizo siku hizi wanawake wanaweza hivo huwaambii kitu
 
Ndoa ina phases zake jamani....

Kuna kipindi mahaba moto moto.....

Kuna kipindi unajiuliza hii NG'OMBE niliitoa wapi

Kuna kipindi huna habari awepo asiwepo, arudi asirudi sio shida zako

Kuna wakati hata salamu unaona mdomo mzito

Ku a kipindi full kudekezana

Kuna kipindi ni maendeleo, na watoto tu......

Kuna kipindi mwendo wa kuuzq mechi kama mmechanganyikiwa

Kuna kipindi huba linarudi vyaaaaap

Ku a wakati unaona yooote ni upuuzi heri kushikana na mwenzako

Inategemea umri wenu pia, na akili zenu, mnaendeshaje ndoa yenu(ndo yenu ni ya watu wawili au watu kumi na mbili????)
 
Wengine wapo ndani ya ndoa hata kushare kitu chake na mwenzake hataki kama ni gali hataki kabisa mwenza wake akitumia gali lake.
Hasa Ke wachaga wa Marangu , Machame!!....mweee haya makabila hatare sana ...ukichukua funguo za gari lake anakuangalia hiviiii..........mara oooh!! Baba anataka kulitumia!! mara ooh! uko wapi??
 
Nasikia sometimes unaweza mfanya mumeo hanithi wa Muda lkn akitoka nje huko maweeeeee!! nimti miti na yeye ndo michepuko sugu inaanzia hapo....kingine mmesahau dawa zetu za asili mnaziiita ni za kienyeji sijui ......uchawi ajili tu ya Yesu mzungu!! kuelewa hiki kipengele kuna kazi sana nawaambia!
 
Wanawake ndio wakorofi. Me nishawahi kuishi na Mwanamke anacheza sijui mchezo huko ofisini kwao. Sasa mambo yamempalia anaanza kunionyesha mood za ajabu ajabu.

Nikikaa sebuleni yeye anaenda chumbani, nikienda chumbani anajikeep busy na simu au laptop hasemi chochote ila unaona kabisa mtu hayupo sawa. Nikimuuliza hasemi anaishia kunikata tu kuwa hakuna shida yuko poa hana tatizo.

Hali ilikaa hivyo kwa siku kama 4 mfulizo muda mwingine anaweza asioge namwambia vipi leo hatuogi hajibu. Mara apike chakula yeye asile kama mgonjwa wa maralia. Nikasema labda pengine ni mjamzito. Nikamdadisi kuwa kama anasikia vibaya twende hospital akanambia hana shida ya kwenda hospital yuko poa tu.

Nikamtolea uvivu siku hiyo. Nikamuhoji kwa kina sana na utulivu na nikamwambia kama anaona me ni tatizo basi aende ambapo atapata amani kwasababu siwezi kuishi na mtu ananuna na hakuna anachonambia. Kumkazia ndio anajiambia kuwa anacheza mchezo wanalipa kwa wiki na anapokea mtu kila wiki so yeye alikuwa mambo hayajakaa sawa na alikuwa na hela alipata dharula akaitumia na ilikuwa aweke huko so mambo hayajaenda.

Dah nilimind kinoma ila sikuongea. Nikalala tu. Nikaenda kuazima pesa na nyingine nikaongezea weekend nimketisha kitako nikamwambia wewe ni mtoto wa kike. Unakuwaje na jeuri ya kuingia michezo ya pesa kama hii na hauna pesa ya uhakika halafu bila kunishirikisha.

Na mwisho wa siku hizi pesa hata ukipata mimi sitojua na hivyo sitajua matumizi yake.

So nikamwambia sasa nakupa hii kalipe round zote. Ikifika muda wa kupokea nataka hiyo pesa yote niione hapa mezani. Tulipe madeni ya watu lakini pia nataka nijue ulikuwa na malengo gani hadi unaingia michezo ya pesa kubwa kwa wiki ambayo haukujua unatoa wapi hadi inakufanya unakosa amani.

So nilimuwekea wambuzi alilipa na pesa alipopewa akaweka kweli mezani. Nikamwambia mwanzo na mwisho nisije kukusikia unacheza haya makitu.
 
Mimi nahisi ni kwa sababu y a utandawazi na kutotimiza majukumu yao kila mmoja kwa upande wake,
Pia kuna hili suala la kunyimana unyumba kwa sasa limegeuka fashion katika ndoa nyingi na kupelekea ndoa nyingi kuyumba ama kuvunjika kabisa
 
Unachosema ni kweli mm nimekua kwenye familia yenye migogoro nipo chuo ila naishi home niseme tu wazazi wangu upendo kati yao ulishakufaaaaa kitambooo sanaaaaa tangu niko primary mpaka sasa nipo chuo yani ugomvi daily ingekua ni amri yangu basi ningevunja ndoa ya wazazi wangu maana ni wanaishi tu siku ziende kuna kipindi walizinguana mama akaondoka nyumbani kama mwezi mzee akalazimisha arudi nikamwambia si kila mtu aendelee na maisha yake maana unachofanya ni Kuangalia movie ya titanic mara ya pili na kutegemea meli isizame itazamaa tu


Mama akarudi nyumbani amani ilirudi kwa wiki mbili tu afu vita ikaendelea kama kawa dah jau sana na Leo tu asubuhi wamezinguana tena,mzee wangu anataka kufurahisha jamii ione yupo Kwenye ndoa kumbe ndani hamna amani.nashukuru hii migogoro yao haijani affect kisaikolojia na wala siwazi mambo yao Niko busy na mambo yangu ila nawachora tu wanavohangaika na ndoa yao naombea tu wadogo zangu wasiathirike Maana ni wadogo wako primary.


Wazazi wangu wasije wakakaa wategemee eti siku nitaleta mchumba nyumbani kumtambulisha eti nikae kabisa baba,mama huyu hapa mchumba nimemleta mumtambie maviii ya kuku na wakiona kimya wasije wakaniuliza eti mafian cartel unaoa lini haha Nitakachojibu watanyamaza wasiulize tena.

Ndugu zangu mliopo Kwenye ndoa maji yakizidi unga achaneni tu mtakufa bure

Hapa naskilizia ugomvi wa wazazi wangu baadae utaendaje maana asubuhi wamezinguana na ugomvi haujausha bado

NDOA NDOANO!!
Hapo tayari umesha athirika ila haujui tu. Madhara yake ni kama hayo.
1. Umeshawaona wazazi wako kuwa si mfano mzuri kwako.

2. Haupo tayari kutambulisha mchumba wako mtarajiwa kwa wazazi wako.

3. Tayari umekosa washauri wa mahusiano hivyo kwa sasa ni aidha utegemee watu baki na viongozi wa kiimani ama ujiongoze mwenyewe.

4. Tayari umeshapata dosari ya kupenda maana haujui ni nini maana ya ndoa ambayo msingi wake mkuu ni upendo.

5. Kuna uwezekano mkubwa sana wa wewe kushindwa kuchagua mke sahihi wa maisha yako kwasababu tayari msingi wako wa kupata mke umetetereka. Ila hii si lazima sana kutokea maana kila mtu huwa na ulinzi wake wa ki MUNGU ni swala la kuomba sana.
 
Ndoa zimekua hazina siri tena,mtu anatoa siri za ndani za matatizo yao na huko alipopeleka hizo siri anashauriwa vibaya hivyo inakua kama kuna mashindano ndani ya nyumba kati ya mke na mume,

Pia uvumilivu umekua mdogo sana na kila mmoja kujiona yeye ni mjuaji zaidi ya mwenzake,utandawazi nao umechangia sana hili tatizo kuwepo,ila mwisho wa siku wanao athirika zaidi ni watoto,
 
Baba zetu walikuwa hawaheshimu mwanamke ila walikuwa wanapata wanawake wakueleweka sana

Sisi tunaheshimu sana wanawake ila tunapata vimeo.

Wanaume wa zamani walipaswa kudate wanawake wa kileo na sisi wanaume wa sasa tulipaswa tu date wanawake wa kale.

Baba zetu waliamini mwanamke ni chombo cha starehe tu sisi tumekataa imani ya baba zetu kwamba mwanamke sio chombo cha starehe bali kiumbe mwenye thamani sana lakini dunia inatufundisha na kutukumbusha busara za baba zetu kwamba wao hawakuwa wajinga kumchukulia mwanamke km chombo cha starehe in fact tunarudi kule kule kwenye ukweli ambao baba zetu waliuishi Mwanamke ni chombo cha starehe.

Tumeruka ruka weee ila wenyewe tunakubali kwamba imefika mahali ili tuwe na dunia ya amani basi lazima tukubali mwanamke nichombo cha starehe na hatupaswi kumzingatia zaidi hapo.

Babu zetu walikuwa mchukulia hivyo ila walau walimpa heshima ya kumuoa na kumtumia km starehe ila sisi hata hiyo heshima ndogo tunakoelekea tunaweza mpora kabisa.

Nani alikuwa hasa na busara??wazee wetu au sisi
Umeongea point nzuri sana. Naomba kuongezea ili iweze kueleweka zaidi.

Unajua kipindi cha wazazi wetu si kwamba wanaume wakorofi hawakuwapo, walikuwapo na hata mimi nimewashuhudia sana. Unakuta mdingi anakuwa mtemi kwa mke mpole na mtii. Majibu makali, kufokea kujibu kwa dharau na hata kufedhehesha ila walivumilia na kuendelea kutii wanaume zao na kutumikia ndoa.

Shida ilikuja baada ya wanajamii walipoona kuwa kuna uonevu unatokea kwa kada ya wanawake na kama wanajamii inabidi kuchukua hatua. Tatizo ni hapo lilipoanza. Wanaharakati wakawabrand wanaume wote kuwa ni wabaya na wananyanyasa wanawake.

Hivyo serikali, taasisi na asasi zikashika huo wimbo na kuubeba kama ulivyo bila kufanya tafiti za maeneo gani ambapo wahanga ni wengi na maeneo gani ambapo hakuna sana matukio ya unyanyasaji wa wanawake.

Hii imekwenda kwa muda mrefu kiasi kwamba sasa imekuwa invested kwenye akili ya kila mwanajamii kuwa wanawake wanaonewa na wanaume na hivyo ni wa kutetewa muda wote. Hii ikashape kila sera, movement na hata harakati ikawa sasa mwanamke ndie mhanga na mwanaume ndie mkorofi.

Leo tunazungumza ni mwaka 2022 kipindi ambacho mbegu ya hizi harakati za miaka ya 1980's mwishoni kuja 1990's yote hadi 2000's kufikia leo vizazi vya watoto wa kiume na wa kike wamehutubiwa, kuklemishwa, kuimbiwa mapambio na nyimbo za kuambiwa mwanamke ni mhanga wa mfumo dume.

Watoto wa kike wamekuzwa wakiaminishwa wanaume ni maadui zao na wao ni wahanga. Hii sasa ndilo zao au matokeo ya zile harakati na ndipo wewe umezungumza kwa kina kuhusu tofauti ya wanaume kizazi hiki na kizazi cha baba zetu.

Kimsingi upo sahihi sana kuhusu watoto wa kiume kuwajibishwa kwa makosa ambayo hawakukosea wao. Leo hii unakutana na binti nyote mkiwa bado wachanga kabisa kimaisha. Unamwambia tupange maisha tuanzie chini anakwambia tukishafanikiwa utanigeuka na kuniacha na kutafuta mwanamke mwingine.

Ukiwa na pesa mwanamke anakuja kwa lengo la kutwa mali na pesa zako kwa gia ya kuwa mkeo kuzaa na wewe watoto ambao malengo yake ni baadae awapandikize chuki wakutenge ufe kwa presha yeye abakie na watoto wamhudumie na mali zako azitawale.

Na ndio maana ukitazama vijana wengi wa kizazi cha 1980 na 1990 (millennials) ndio ambao wanavilio sana kwa wake zao tofauti na wa miaka ya 1970 kurudi nyuma (generation X na babyboomers). Tazama madogo wa miaka ya 2000 (generation Z) ndipo utajua kuwa hii ni effect ya zile harakati.

Watoto wa kike wa kizazi cha miaka ya 1980's hadi 1990's hawawezani na watoto wa kiume wa miaka hiyo sababu wameshakuwa na corrupted mindsets juu ya mahusiano, ndoa na familia in general hakuna wanalojua majority by 90% ni zero when it comes to relationship its like wamekuja kutalii tu hapa duniani na kusubiri kuzeeka na yote ni matokeo ya hizo harakati za kutetea wanawake ambazo zilikuwa propagated kwa namna potofu na ya kuwavuruga watoto hawa wa kike ongezea na western 3rd wave feminism ndio imekuwa Petrol kwenye moto wa gesi.

Mabinti wa miaka 1980's hadi 1990's wanatumika na wanaume wa kizazi cha miaka ya 1970's kurudi nyuma sababu wengi ni watu wazima kwa sasa,na miaka yao uchumi haukuwa mgumu sana so wana rasilimali na uwezo kiuchumi so hutake Advantage ya kuwa nao kimaslahi sababu bado wanaume wa miaka ya 1970's kurudi nyuma wana misingi ya kuhumia mwanamke bila kuhoji.

Mabinti wa miaka ya 1980's hadi 1990's hawapo tayari kujenga maisha na wanaume wa kizazi chao sababu ya hofu walizojazwa na hizi harakati za wanawake and therefore wanaona bora kuishi kijasusi ili kuipata salama wanayoitafuta ambayo hatari yake wameibebelea kwenye hisia na akili kutokana na mapokeo ya story za kutisha za mama zao na bibi zao kinyume na uhalisia.

Ukirudi kwa mabinti kizazi cha 2000s kuja leo hii, ambao kwa sasa ndio washika soko, hawa sasa hawana ramani na hawana cha kujifunza kwa dada zao maana ndio walikuwa wawape kijiti ila sasa wanawapa taarifa ambazo hazishabihiani na ukweli zinawachanganya. Wanaambiwa wanaume ni wanyanyasaji yet wakitazama dada zao majority hawakuwahi kuolewa ila wanawatoto hayo ya ndoa wameyapitia vipi.

Wanasema wanaume sio waowaji ila wakitazama mitandaoni wanastaajabu kuona wanaume ndio wanabembeleza ndoa na wanawake ndio wanaongoza kwa kuikwepa na majukumu yake.

Wanasema wanataka mapenzi ya dhati na ya kweli kusema mapenzi si pesa wala mali bali mapenzi ni kujaliana yet hawapo tayari kuanza chini na wapo tayari kulala na wanaume wa watu wenye ndoa na kuzaa hovyo nao.

Hii inawapa nafasi ya kuona picha halisi ya kuwa kuna tatizo na ndio maana ukitafiti vibinti vilivyozaliwa miaka ya 2000 kuja mbele vina akili ya maisha na ukiwa na direction ya maisha kama mwanaume mnakwenda sawa na vinafuata maagizo vema na utii bila shida ila kama ni mwanaume ambae haujitambui hautawezana nao.

Mwanaume wa miaka 1980 na 1990's anaweza kudate na kuoa binti aliyezaliwa kuanzia 1998,1999,2000, hadi 2004 bila shida na wanaendana bila shida.

Kwa upande wa mabinti waliozaliwa 1980's hadi 1997, wapo kwny red zone na lala salama ya mahusiano ya ndoa. Kuoa au kuolewa haishindikani ila haitakuwa ya ndoa serious bali ile ya kuonesha kuwa na mimi nipo kwenye ndoa.

Mwanamke ana nafasi ya kuscore mahusiano serious ya ndoa katika umri wa kuanzia 16 hadi 25 (prime age) baaaasi (kama kuna ataebisha mimi sitopoteza maneno sababu ukweli upo wazi ni swala la kutazama kwa macho sio kuhisi tunatishana).
Nje ya umri huu wa kuanzia 26 kuendelea mbele hadi uzee jua tu ni lala salama, imeanza ukielekea 30 ambayo ni umri wa toba na kutumikia adhabu. Kuolewa inawezekana ila ndoa ya afya huwa ni changamoto sana kuipata hapo sababu Historia huwa inakuja kumhukumu muhusika na pia mwanaume,kama ni mkubwa, anakuwa tayari ameshapitia misukosuko ya mahusiano na kukataliwa na kuharibu sana so ana ganzi hawezi hisi mapenzi tena. Mwanaume akiwa mdogo then hapo inakuwa ni kuweka punda nyuma ya mkokoteni, atauvutaje, mwanaume ndie kiongozi sasa mwanamke ni mkubwa unaongozaje mtu mwenye experience ya maisha.

Mambo ni mengi sana uelewa ni mdogo. Tunahitaji kujielimisha zaidi.
 
Hasa Ke wachaga wa Marangu , Machame!!....mweee haya makabila hatare sana ...ukichukua funguo za gari lake anakuangalia hiviiii..........mara oooh!! Baba anataka kulitumia!! mara ooh! uko wapi??
Miaka ijayo wanawake wa kichagga watakuwa the best wives to have kwasababu kwa miaka yote wamekuwa portrayed kama wanawake mfano mbaya hata na wanawake wenzao.

Hii itawafanya watoto wao vizazi vijavyo kujitathimini na kujirekebisha na kugeuka kuwa best wives material ever.
 
Unachosema ni kweli mm nimekua kwenye familia yenye migogoro nipo chuo ila naishi home niseme tu wazazi wangu upendo kati yao ulishakufaaaaa kitambooo sanaaaaa tangu niko primary mpaka sasa nipo chuo yani ugomvi daily ingekua ni amri yangu basi ningevunja ndoa ya wazazi wangu maana ni wanaishi tu siku ziende kuna kipindi walizinguana mama akaondoka nyumbani kama mwezi mzee akalazimisha arudi nikamwambia si kila mtu aendelee na maisha yake maana unachofanya ni Kuangalia movie ya titanic mara ya pili na kutegemea meli isizame itazamaa tu


Mama akarudi nyumbani amani ilirudi kwa wiki mbili tu afu vita ikaendelea kama kawa dah jau sana na Leo tu asubuhi wamezinguana tena,mzee wangu anataka kufurahisha jamii ione yupo Kwenye ndoa kumbe ndani hamna amani.nashukuru hii migogoro yao haijani affect kisaikolojia na wala siwazi mambo yao Niko busy na mambo yangu ila nawachora tu wanavohangaika na ndoa yao naombea tu wadogo zangu wasiathirike Maana ni wadogo wako primary.


Wazazi wangu wasije wakakaa wategemee eti siku nitaleta mchumba nyumbani kumtambulisha eti nikae kabisa baba,mama huyu hapa mchumba nimemleta mumtambie maviii ya kuku na wakiona kimya wasije wakaniuliza eti mafian cartel unaoa lini haha Nitakachojibu watanyamaza wasiulize tena.

Ndugu zangu mliopo Kwenye ndoa maji yakizidi unga achaneni tu mtakufa bure

Hapa naskilizia ugomvi wa wazazi wangu baadae utaendaje maana asubuhi wamezinguana na ugomvi haujausha bado

NDOA NDOANO!!
Kijana nakubaliana na hoja zako zote, ila waheshimu baba na mama upate miaka mingi na heri duniani.

Hayo mabifu yao waachie wenyewe ila inapofika nafasi ya Baba au mama ni unreplaceable.
 
Back
Top Bottom