Wana ndoa wengi siku hizi wanaishi kama maadui. Tatizo ni nini?

Wana ndoa wengi siku hizi wanaishi kama maadui. Tatizo ni nini?

Japo sio wote ila wana ndoa wengi siku hizi wanaishi kama maadui tatizo ni nini lakini yaani. Kuna watu wapo ndani ya ndoa lakini wakiwa ndani hawaongeleshani

Kuna watu wapo ndani ya ndoa kila siku ugomvi vikao vya kifamilia vya usuluhishi haviiishi. Kuna watu wapo ndani ya ndoa wanaona bora kuchelewa kurudi nyumbani ili akose tuu muda wa kuongea na mwenzie

Kuna watu wapo ndani ya ndoa wameshafika hatua hadi kupelekana mahakamani. Wengine wapo ndani ya ndoa kila siku ligi hakuna anayekubali kushidwa kila mmoja anajiona sahihi kuliko mwenzie

Wengine wapo ndani ya ndoa hata kushare kitu chake na mwenzake hataki kama ni gali hataki kabisa mwenza wake akitumia gali lake. Wengine wapo ndani ya ndoa hata tendo la ndoa hawashiriki tena usishangae wanalala vyumba tofauti tofauti ili mradi amnyime mwenzie

Je, katika haya yote shida ni nini lakini?
Elimu kwa wanawake especially sisi waafrica, utandawazi, shule za mitaani za akina mama vikundi, TV, umasikini, mapokeo ya tabia mbaya toka kwa wazazi, etc
 
Umeongea point nzuri sana. Naomba kuongezea ili iweze kueleweka zaidi.

Unajua kipindi cha wazazi wetu si kwamba wanaume wakorofi hawakuwapo, walikuwapo na hata mimi nimewashuhudia sana. Unakuta mdingi anakuwa mtemi kwa mke mpole na mtii. Majibu makali, kufokea kujibu kwa dharau na hata kufedhehesha ila walivumilia na kuendelea kutii wanaume zao na kutumikia ndoa.

Shida ilikuja baada ya wanajamii walipoona kuwa kuna uonevu unatokea kwa kada ya wanawake na kama wanajamii inabidi kuchukua hatua. Tatizo ni hapo lilipoanza. Wanaharakati wakawabrand wanaume wote kuwa ni wabaya na wananyanyasa wanawake.

Hivyo serikali, taasisi na asasi zikashika huo wimbo na kuubeba kama ulivyo bila kufanya tafiti za maeneo gani ambapo wahanga ni wengi na maeneo gani ambapo hakuna sana matukio ya unyanyasaji wa wanawake.

Hii imekwenda kwa muda mrefu kiasi kwamba sasa imekuwa invested kwenye akili ya kila mwanajamii kuwa wanawake wanaonewa na wanaume na hivyo ni wa kutetewa muda wote. Hii ikashape kila sera, movement na hata harakati ikawa sasa mwanamke ndie mhanga na mwanaume ndie mkorofi.

Leo tunazungumza ni mwaka 2022 kipindi ambacho mbegu ya hizi harakati za miaka ya 1980's mwishoni kuja 1990's yote hadi 2000's kufikia leo vizazi vya watoto wa kiume na wa kike wamehutubiwa, kuklemishwa, kuimbiwa mapambio na nyimbo za kuambiwa mwanamke ni mhanga wa mfumo dume.

Watoto wa kike wamekuzwa wakiaminishwa wanaume ni maadui zao na wao ni wahanga. Hii sasa ndilo zao au matokeo ya zile harakati na ndipo wewe umezungumza kwa kina kuhusu tofauti ya wanaume kizazi hiki na kizazi cha baba zetu.

Kimsingi upo sahihi sana kuhusu watoto wa kiume kuwajibishwa kwa makosa ambayo hawakukosea wao. Leo hii unakutana na binti nyote mkiwa bado wachanga kabisa kimaisha. Unamwambia tupange maisha tuanzie chini anakwambia tukishafanikiwa utanigeuka na kuniacha na kutafuta mwanamke mwingine.

Ukiwa na pesa mwanamke anakuja kwa lengo la kutwa mali na pesa zako kwa gia ya kuwa mkeo kuzaa na wewe watoto ambao malengo yake ni baadae awapandikize chuki wakutenge ufe kwa presha yeye abakie na watoto wamhudumie na mali zako azitawale.

Na ndio maana ukitazama vijana wengi wa kizazi cha 1980 na 1990 (millennials) ndio ambao wanavilio sana kwa wake zao tofauti na wa miaka ya 1970 kurudi nyuma (generation X na babyboomers). Tazama madogo wa miaka ya 2000 (generation Z) ndipo utajua kuwa hii ni effect ya zile harakati.

Watoto wa kike wa kizazi cha miaka ya 1980's hadi 1990's hawawezani na watoto wa kiume wa miaka hiyo sababu wameshakuwa na corrupted mindsets juu ya mahusiano, ndoa na familia in general hakuna wanalojua majority by 90% ni zero when it comes to relationship its like wamekuja kutalii tu hapa duniani na kusubiri kuzeeka na yote ni matokeo ya hizo harakati za kutetea wanawake ambazo zilikuwa propagated kwa namna potofu na ya kuwavuruga watoto hawa wa kike ongezea na western 3rd wave feminism ndio imekuwa Petrol kwenye moto wa gesi.

Mabinti wa miaka 1980's hadi 1990's wanatumika na wanaume wa kizazi cha miaka ya 1970's kurudi nyuma sababu wengi ni watu wazima kwa sasa,na miaka yao uchumi haukuwa mgumu sana so wana rasilimali na uwezo kiuchumi so hutake Advantage ya kuwa nao kimaslahi sababu bado wanaume wa miaka ya 1970's kurudi nyuma wana misingi ya kuhumia mwanamke bila kuhoji.

Mabinti wa miaka ya 1980's hadi 1990's hawapo tayari kujenga maisha na wanaume wa kizazi chao sababu ya hofu walizojazwa na hizi harakati za wanawake and therefore wanaona bora kuishi kijasusi ili kuipata salama wanayoitafuta ambayo hatari yake wameibebelea kwenye hisia na akili kutokana na mapokeo ya story za kutisha za mama zao na bibi zao kinyume na uhalisia.

Ukirudi kwa mabinti kizazi cha 2000s kuja leo hii, ambao kwa sasa ndio washika soko, hawa sasa hawana ramani na hawana cha kujifunza kwa dada zao maana ndio walikuwa wawape kijiti ila sasa wanawapa taarifa ambazo hazishabihiani na ukweli zinawachanganya. Wanaambiwa wanaume ni wanyanyasaji yet wakitazama dada zao majority hawakuwahi kuolewa ila wanawatoto hayo ya ndoa wameyapitia vipi.

Wanasema wanaume sio waowaji ila wakitazama mitandaoni wanastaajabu kuona wanaume ndio wanabembeleza ndoa na wanawake ndio wanaongoza kwa kuikwepa na majukumu yake.

Wanasema wanataka mapenzi ya dhati na ya kweli kusema mapenzi si pesa wala mali bali mapenzi ni kujaliana yet hawapo tayari kuanza chini na wapo tayari kulala na wanaume wa watu wenye ndoa na kuzaa hovyo nao.

Hii inawapa nafasi ya kuona picha halisi ya kuwa kuna tatizo na ndio maana ukitafiti vibinti vilivyozaliwa miaka ya 2000 kuja mbele vina akili ya maisha na ukiwa na direction ya maisha kama mwanaume mnakwenda sawa na vinafuata maagizo vema na utii bila shida ila kama ni mwanaume ambae haujitambui hautawezana nao.

Mwanaume wa miaka 1980 na 1990's anaweza kudate na kuoa binti aliyezaliwa kuanzia 1998,1999,2000, hadi 2004 bila shida na wanaendana bila shida.

Kwa upande wa mabinti waliozaliwa 1980's hadi 1997, wapo kwny red zone na lala salama ya mahusiano ya ndoa. Kuoa au kuolewa haishindikani ila haitakuwa ya ndoa serious bali ile ya kuonesha kuwa na mimi nipo kwenye ndoa.

Mwanamke ana nafasi ya kuscore mahusiano serious ya ndoa katika umri wa kuanzia 16 hadi 25 (prime age) baaaasi (kama kuna ataebisha mimi sitopoteza maneno sababu ukweli upo wazi ni swala la kutazama kwa macho sio kuhisi tunatishana).
Nje ya umri huu wa kuanzia 26 kuendelea mbele hadi uzee jua tu ni lala salama, imeanza ukielekea 30 ambayo ni umri wa toba na kutumikia adhabu. Kuolewa inawezekana ila ndoa ya afya huwa ni changamoto sana kuipata hapo sababu Historia huwa inakuja kumhukumu muhusika na pia mwanaume,kama ni mkubwa, anakuwa tayari ameshapitia misukosuko ya mahusiano na kukataliwa na kuharibu sana so ana ganzi hawezi hisi mapenzi tena. Mwanaume akiwa mdogo then hapo inakuwa ni kuweka punda nyuma ya mkokoteni, atauvutaje, mwanaume ndie kiongozi sasa mwanamke ni mkubwa unaongozaje mtu mwenye experience ya maisha.

Mambo ni mengi sana uelewa ni mdogo. Tunahitaji kujielimisha zaidi.
Aisee hii umeichamubuwa kisomi with research, data and evidence.

Kama ni mtihani wa form four hapa umepiga division one point 7.👏👏
 
Kijana nakubaliana na hoja zako zote, ila waheshimu baba na mama upate miaka mingi na heri duniani.

Hayo mabifu yao waachie wenyewe ila inapofika nafasi ya Baba au mama ni unreplaceable.
Nawaheshimu mkuu ila kama nilivyosema kuwa migogoro yao Mimi sina time nayo na naepuka sana kuyawaza au kuyaongelea hata sometimes unakuta ndugu wananiita kuniuliza kuhusu wazazi wangu(Karibia ndugu zetu wote wanajua wazazi wangu wana migogoro ya muda mrefu)

Mimi wakiniulizaga kuhusu migogoro ya wazazi wangu na naichukulia vipi hii Migogoro

Mimi nawaambiaga tu mshasema ni migogoro ya wazazi wangu na si migogoro kati yangu na wazazi wangu kwahyo basi itapendeza kama hayo maswali yenu mkawaulize wenyewe kwasababu mimi hayanihusu hapo nafunga mjadala
 
Hapo tayari umesha athirika ila haujui tu. Madhara yake ni kama hayo.
1. Umeshawaona wazazi wako kuwa si mfano mzuri kwako.

2. Haupo tayari kutambulisha mchumba wako mtarajiwa kwa wazazi wako.

3. Tayari umekosa washauri wa mahusiano hivyo kwa sasa ni aidha utegemee watu baki na viongozi wa kiimani ama ujiongoze mwenyewe.

4. Tayari umeshapata dosari ya kupenda maana haujui ni nini maana ya ndoa ambayo msingi wake mkuu ni upendo.

5. Kuna uwezekano mkubwa sana wa wewe kushindwa kuchagua mke sahihi wa maisha yako kwasababu tayari msingi wako wa kupata mke umetetereka. Ila hii si lazima sana kutokea maana kila mtu huwa na ulinzi wake wa ki MUNGU ni swala la kuomba sana.
Sikuwahi kufikiria kama nimeathirika kisaikolojia kutokana na hii migogoro yao ila baada ya kusoma ulichoandika naona ni kweli kabisa nimeathirika kwa namna moja au nyingine
 
Japo sio wote ila wana ndoa wengi siku hizi wanaishi kama maadui tatizo ni nini lakini yaani. Kuna watu wapo ndani ya ndoa lakini wakiwa ndani hawaongeleshani

Kuna watu wapo ndani ya ndoa kila siku ugomvi vikao vya kifamilia vya usuluhishi haviiishi. Kuna watu wapo ndani ya ndoa wanaona bora kuchelewa kurudi nyumbani ili akose tuu muda wa kuongea na mwenzie

Kuna watu wapo ndani ya ndoa wameshafika hatua hadi kupelekana mahakamani. Wengine wapo ndani ya ndoa kila siku ligi hakuna anayekubali kushidwa kila mmoja anajiona sahihi kuliko mwenzie

Wengine wapo ndani ya ndoa hata kushare kitu chake na mwenzake hataki kama ni gali hataki kabisa mwenza wake akitumia gali lake. Wengine wapo ndani ya ndoa hata tendo la ndoa hawashiriki tena usishangae wanalala vyumba tofauti tofauti ili mradi amnyime mwenzie

Je, katika haya yote shida ni nini lakini?
Katika ndoa lazima mmoja kati yao awe kiongozi wa hiyo ndoa. Huyu lazima aweze kumudu hali zote nzuri na mbaya, hasira na furaha, kebehi n.k

Na upande mwingine, lazima umtambue kuwa huyu ni kiongozi na wakati wote yeye ana busara ya kuongoza ndoa hiyo.

Sasa shida hutokea, wakati ambao wote wawili mnakuwa katika levels mnazojiona na kujisihi mko juu ya mwingine bila kukubali kujishusha. Hapo huwa kuna moto usiozimika.
 
Miaka ijayo wanawake wa kichagga watakuwa the best wives to have kwasababu kwa miaka yote wamekuwa portrayed kama wanawake mfano mbaya hata na wanawake wenzao.

Hii itawafanya watoto wao vizazi vijavyo kujitathimini na kujirekebisha na kugeuka kuwa best wives material ever.
Afadhali umeona mbali kwa dubini kali!
 
Mmh!! Mbona nyuzi nyingi za siku hizi hazikosi kutaja neno gari?
Kwaiyo wanajukwaa nyote mna magari?? [emoji848]

Anyway, pole sana kwa changamoto unazopitia!!
 
Mazoea ni tatizo kubwa sana katika ndoa, linapoteza hisia za mapenzi kwa wanandoa.

Mazoea hayo yanapelekea kudharauliana na kuondoa upendo, na wakati mwingine kua na uadui baina ya wanandoa hao.
 
Japo sio wote ila wana ndoa wengi siku hizi wanaishi kama maadui tatizo ni nini lakini yaani. Kuna watu wapo ndani ya ndoa lakini wakiwa ndani hawaongeleshani

Kuna watu wapo ndani ya ndoa kila siku ugomvi vikao vya kifamilia vya usuluhishi haviiishi. Kuna watu wapo ndani ya ndoa wanaona bora kuchelewa kurudi nyumbani ili akose tuu muda wa kuongea na mwenzie

Kuna watu wapo ndani ya ndoa wameshafika hatua hadi kupelekana mahakamani. Wengine wapo ndani ya ndoa kila siku ligi hakuna anayekubali kushidwa kila mmoja anajiona sahihi kuliko mwenzie

Wengine wapo ndani ya ndoa hata kushare kitu chake na mwenzake hataki kama ni gali hataki kabisa mwenza wake akitumia gali lake. Wengine wapo ndani ya ndoa hata tendo la ndoa hawashiriki tena usishangae wanalala vyumba tofauti tofauti ili mradi amnyime mwenzie

Je, katika haya yote shida ni nini lakini?
Hebu nijaribu kukudokeza kama ifuatavyo:
1. Unafahamu ka-methali ka ki-pare kanakosema "Familiarity breeds Contempt"?
= Kadri mnavyozidi kuzoeana kwa kuishi pamoja ndipo madhaifu ambayo hayakuwa wazi mwanzoni baina yenu yanavyozidi kujifunua. Kwa hiyo hakuna tena jipya - Mnaanza kudharauliana, kubezana na kila mmoja anampuuzia mwenzake.
2. Zipo kero za kwenye ndoa e.g. Kuchepuka esp. Wanaume. Lakini pia Wanawake ni wenye gubu sana hata kwa jambo ambalo hana uhakika wa ukweli wake.
3. Ndoa nyingi (labda ni zote ) huwa zinaandamwa sana na Maadui wa kila aina Nje na Ndani na maadui hao wapo kwa kificho- sio Dhahiri.
4. Kutoridhika au kutosheka na Ulichojaliwa (Fedha na Mali) kila mmoja ana Ndoto yake. Kwa mfano mmoja anapenda starehe aina fulani mwingine hapendi aina hiyo ya starehe, mtindo wa maisha uliopo n.k.
Mmoja hatambui na kuthamini mchango wa maendeleo kutoka kwa mwenzake; yaani Mmoja anapuuza kilichofanyika na mwenzake n.k. n.k
5.
6.
 
Aisee hii umeichamubuwa kisomi with research, data and evidence.

Kama ni mtihani wa form four hapa umepiga division one point 7.[emoji122][emoji122]
Thank you mkuu.
 
Sikuwahi kufikiria kama nimeathirika kisaikolojia kutokana na hii migogoro yao ila baada ya kusoma ulichoandika naona ni kweli kabisa nimeathirika kwa namna moja au nyingine
Nafahamu hizi vitu mtu wangu. Wazazi wakiwa hawapo stable watoto huwa hawatoki salama hata kidogo.
 
Mazoea ni tatizo kubwa sana katika ndoa, linapoteza hisia za mapenzi kwa wanandoa.

Mazoea hayo yanapelekea kudharauliana na kuondoa upendo, na wakati mwingine kua na uadui baina ya wanandoa hao.
Usisahau na ulozi pia umo kwa saaaana!! hasa wanaum walozi sana
 
Hebu nijaribu kukudokeza kama ifuatavyo:
1. Unafahamu ka-methali ka ki-pare kanakosema "Familiarity breeds Contempt"?
= Kadri mnavyozidi kuzoeana kwa kuishi pamoja ndipo madhaifu ambayo hayakuwa wazi mwanzoni baina yenu yanavyozidi kujifunua. Kwa hiyo hakuna tena jipya - Mnaanza kudharauliana, kubezana na kila mmoja anampuuzia mwenzake.
2. Zipo kero za kwenye ndoa e.g. Kuchepuka esp. Wanaume. Lakini pia Wanawake ni wenye gubu sana hata kwa jambo ambalo hana uhakika wa ukweli wake.
3. Ndoa nyingi (labda ni zote ) huwa zinaandamwa sana na Maadui wa kila aina Nje na Ndani na maadui hao wapo kwa kificho- sio Dhahiri.
4. Kutoridhika au kutosheka na Ulichojaliwa (Fedha na Mali) kila mmoja ana Ndoto yake. Kwa mfano mmoja anapenda starehe aina fulani mwingine hapendi aina hiyo ya starehe, mtindo wa maisha uliopo n.k.
Mmoja hatambui na kuthamini mchango wa maendeleo kutoka kwa mwenzake; yaani Mmoja anapuuza kilichofanyika na mwenzake n.k. n.k
5.
6.
Ewaaaa!! umekuja sasa cha kufanya hapa ni ku revive ndoa ianze upyaaaa!!.....kwa kutumia mbinu za bibi zetuuuuu!! ukizingatia na uvumilivu! bila kushau ugali wa uwele, mtama, ulezi na muhogo ulio twangwa kwa kinu tena kinu chenyewe mti maalum!

Usisahau jiwe la kusagia nafaka nalo liwe jiwe maalumu linalo tokea machweo! ndoa itadumu na hakuna kidudu mtu kitakuja kuroga hapo!! furaha amani km zote! kila atakae jaribu anakufa tena waziiiii
 
Therefore!!!! wana jukwaa wooote!!! mnisikie Mtaalamu wenu hapa nawapa neno!!! Usasa umewaharibu sana hamtadumu kunako mahusianoooo!! ..mshirikiane kulimbwatana Live! kwa kutumia kondoo mweusi... ule siyo uchawi km wengi mnavo dhania!.....

hasa wanadini wanao muabudu yesu mzungu!! ambae nae haji ng'ooo!...mtasubiri saana mtakapo jua kuwa mume pigwa changa la macho!! Malaika wanashuka kusafish mji ...il wateule wakae raha mustarehee sasa nambie hujawa sehemu ya takataka??
 
Japo sio wote ila wana ndoa wengi siku hizi wanaishi kama maadui tatizo ni nini lakini yaani. Kuna watu wapo ndani ya ndoa lakini wakiwa ndani hawaongeleshani

Kuna watu wapo ndani ya ndoa kila siku ugomvi vikao vya kifamilia vya usuluhishi haviiishi. Kuna watu wapo ndani ya ndoa wanaona bora kuchelewa kurudi nyumbani ili akose tuu muda wa kuongea na mwenzie

Kuna watu wapo ndani ya ndoa wameshafika hatua hadi kupelekana mahakamani. Wengine wapo ndani ya ndoa kila siku ligi hakuna anayekubali kushidwa kila mmoja anajiona sahihi kuliko mwenzie

Wengine wapo ndani ya ndoa hata kushare kitu chake na mwenzake hataki kama ni gali hataki kabisa mwenza wake akitumia gali lake. Wengine wapo ndani ya ndoa hata tendo la ndoa hawashiriki tena usishangae wanalala vyumba tofauti tofauti ili mradi amnyime mwenzie

Je, katika haya yote shida ni nini lakini?

TATIZO NI SEMINA MBALI MBALI ZA YOU CAN BE ANYTHING YOU WANT, YOU ARE A WOMAN YOU ARE A CONQUERER(MSHINDI), AFU BAADA YA MANENO HAYA ANAJIPOZA NA MOTIVATION SPEAKER WA INSTSGRAM AU WHATSAP...... AKIRUDI NYUMBANI HUO MOTO WAKE..... EEEEEEEHHHH UTAJUTA
 
Therefore!!!! wana jukwaa wooote!!! mnisikie Mtaalamu wenu hapa nawapa neno!!! Usasa umewaharibu sana hamtadumu kunako mahusianoooo!! ..mshirikiane kulimbwatana Live! kwa kutumia kondoo mweusi... ule siyo uchawi km wengi mnavo dhania!.....

hasa wanadini wanao muabudu yesu mzungu!! ambae nae haji ng'ooo!...mtasubiri saana mtakapo jua kuwa mume pigwa changa la macho!! Malaika wanashuka kusafish mji ...il wateule wakae raha mustarehee sasa nambie hujawa sehemu ya takataka??
Huyu kondoo mweusi unaongelea kufanya kafara au una maana gani? Fafanuwa.
 
Ewaaaa!! umekuja sasa cha kufanya hapa ni ku revive ndoa ianze upyaaaa!!.....kwa kutumia mbinu za bibi zetuuuuu!! ukizingatia na uvumilivu! bila kushau ugali wa uwele, mtama, ulezi na muhogo ulio twangwa kwa kinu tena kinu chenyewe mti maalum!

Usisahau jiwe la kusagia nafaka nalo liwe jiwe maalumu linalo tokea machweo! ndoa itadumu na hakuna kidudu mtu kitakuja kuroga hapo!! furaha amani km zote! kila atakae jaribu anakufa tena waziiiii
Mimi kwangu mwanamke amekua kama askari jela.Kelele na kufoka ndio Kawaida ukweli ni kua zinaniathiri sana watoto kosa dogo ni sheeda.Msichana wa kaxi akikosea ni taabu tupu.Natamani muda wa kazi uwe Hadi usiku
 
Back
Top Bottom