Wanafunzi Jenipher na Caren wa Iringa girls wanahitaji ushauri wenu,enyi GREAT THINKERS

Changamoto ya watoto wengi hasa mabinti wakimaliza kidato cha nne wanaamini wanaweza kwenda chuo wakawa daktari au engineer mwenye degree. Wengi wanasumbuliwa na kukosa ufahamu.
Kuna upotoshaji mkubwa sana huku mitaani. Kupenda shortcuts
 
Hata mimi wakati ungerudi nyuma ni either ningeopt chuo au chuo cha ufundi(veta). Nilipotezea credit za Physics,Chemistry na Maths sasa hivi najiona fala kusoma advance HGL.

Pili kwa hizo one zao ni ngumu sana kutoka na ufaulu wa kuridhisha. Shule niliyosoma na michepuo ya science ilikuwepo. Wengi waliokuja kusoma na hizo one waliishia kuscore II wengine mpaka III. Kuna watu pia nawafahamu walipata I nzuri ila PCB na PCM ziliishia kuwabaka form six wakaondoka na II-III.

Na hao kwasababu wamekata tamaa mapema nina uhakika III zao zinawaita mapema.
 
Kwel now nikupoteza mda tu
 
Wazazi wa hao watoto pamoja na kuwa na nafasi serikalini exposure yao ni ndogo mno. Mzazi unaanzaje kumtishia mtoto kwamba Endapo hutaki kwenda advance sikulipii ada?
Hao Wazazi ndio wanaotakiwa kukalishwa chini na kushauriwa na sio watoto.
Busara ilikuwa kwa mzazi kukaa chini na mtoto kumskiza kwanini yeye hataki kwenda A level na badala yake ana taka College amsikilize akiona hoja ya mtoto ina mashiko basi ampeleke anakotaka
Sasa changamoto ni kwamba mzazi mwenyewe amezoea Ubabe tu unategemea suluhu ni nn apo! Sio kila kitu ni cha kutumia amri tu vingine lazima uapply mijadala na maafikiano ya pamoja.
 
Hao wadada waache upuuzi, yaan wanawaza bata na uhuru wa chuo, hawana lolote, wabaki hapo shule wapige kitabu. Huo wanaofanya ni ulimbukeni unawasumbua

Nwei kupanga ni kuchagua. Kazi kwao.
Nani kakwambia chuo bata ....acha kuishi na maneno ya mtaani kiongozi
 
Kuna upotoshaji mkubwa sana huku mitaani. Kupenda shortcuts
bahati mbaya chuo sio shortcut maana kule mtu unaenda kusomea kazi (lazma ujitambue). Shortcut ni A-LEVEL maana mtu anasoma kukamilisha ratiba hajui ata anachosema akimaliza kitamuwezesha kwenda kusomea kitu gan ili awe nan kwenye level za juu za elimu. Jaribu ata kupitia jukwaa la elimu utagundua kuwa wahitu wa advance wengi ndio wanaongoza kwa kutokujua nn wakasome ili wawe nan kwenye level ya degree.
A-level yenye maana ni wanaochukua michepuo ya sayansi tu
 
Inategemea malengo yako ni nini. Kama malengo yako ni kuwa labda mfamasia, njia nyepesi ni kwenda A-level miaka miwili na kupata ufaulu mzuri kisha kwenda kusomeq degree ya ufamasia kwa miaka minne. Njia inayoonekana fupi ila ni ndefu zaidi na ngumu ni kwenda Diploma ya miaka mitatu na kupata ufaulu mkubwa sana na kisha kwenda kusoma pharmacy kwa miaka minne.
 
ni kweli ila kuna watoto ni vichomi dada, kapangwa shule nzuri tu ila lenyewe akili sijui zinakua wapi matokeo ndo wazazi huenda na mfumo wa kidicteta ili mambo yaende

Personally , nashukuru huu mfumo and I never regret a thing.
 
Ina maana wao wanataka kwenda kinyume na maamuzi ya wazazi wao
Bomu hili

Ova
 
Kwa mwalimu wa chuo kikuu, ni rahisi sana kumfundisha mwanafunzi aliyepitia kidato cha sita, ukilinganisha na yule aliyetoka form four na kujiunga na kozi za Diploma.
 
Yooo
Nipo hapa Tagamenda Ipogolo njia ya kuelekea Kilolo. Hebu watoroshe kwanza weekend moja ili nije niwape ushauri ulioshiba.

Mimi ni mshauri mwandamizi.
O Tagamenda, kijiji cha kwanza kabisa kutoka ipogolo kuelekea kidabaga,du umenikumbusha mengi wakati nasoma Mkwawa cne
 
We vp nawe nae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…