Kuna upotoshaji mkubwa sana huku mitaani. Kupenda shortcutsChangamoto ya watoto wengi hasa mabinti wakimaliza kidato cha nne wanaamini wanaweza kwenda chuo wakawa daktari au engineer mwenye degree. Wengi wanasumbuliwa na kukosa ufahamu.
Wee madame sasa cha ajabu nn hapo? Shule za jinsia tofauti kutembeleana? Au sahivi wameacha?Hahahaha a
Yani kweli mawazo ya #kidhinzi #yamekutana
Na wazazi wengine kwa uelewa wao mdogo wanawashawishi watoto wafanye hivyo.Kuna upotoshaji mkubwa sana huku mitaani. Kupenda shortcuts
Acha kuzingua wewe hiyo shule walimu karibu wote wana sura ngumu hamna chombo kama hichoNdio
Kwel now nikupoteza mda tuMadogo wengi siku hizi wanaenda kusoma diploma vyuo vya kati. Mfano hao wenye masomo ya sayansi huenda kusoma vyuo vya COTC na kuhitimu kama Medical Assistants.
Na baada ya kupata hizo diploma, hupata vigezo vya kuingia chuo kusomea MD. Hivyo wanakuwa wameokoa muda kwa namna fulani, huku wakiwa tayari na CV ya mganga msaidizi.
Binafsi nimeshangaa kuna watoto fulani vichwa balaa huku niliko. Walipata Division One za single digit, halafu wamechaguliwa COTC! Na wameenda. So elimu ya A Level kwa sasa ni kupoteza tu muda.
Nani kakwambia chuo bata ....acha kuishi na maneno ya mtaani kiongoziHao wadada waache upuuzi, yaan wanawaza bata na uhuru wa chuo, hawana lolote, wabaki hapo shule wapige kitabu. Huo wanaofanya ni ulimbukeni unawasumbua
Nwei kupanga ni kuchagua. Kazi kwao.
bahati mbaya chuo sio shortcut maana kule mtu unaenda kusomea kazi (lazma ujitambue). Shortcut ni A-LEVEL maana mtu anasoma kukamilisha ratiba hajui ata anachosema akimaliza kitamuwezesha kwenda kusomea kitu gan ili awe nan kwenye level za juu za elimu. Jaribu ata kupitia jukwaa la elimu utagundua kuwa wahitu wa advance wengi ndio wanaongoza kwa kutokujua nn wakasome ili wawe nan kwenye level ya degree.Kuna upotoshaji mkubwa sana huku mitaani. Kupenda shortcuts
Inategemea malengo yako ni nini. Kama malengo yako ni kuwa labda mfamasia, njia nyepesi ni kwenda A-level miaka miwili na kupata ufaulu mzuri kisha kwenda kusomeq degree ya ufamasia kwa miaka minne. Njia inayoonekana fupi ila ni ndefu zaidi na ngumu ni kwenda Diploma ya miaka mitatu na kupata ufaulu mkubwa sana na kisha kwenda kusoma pharmacy kwa miaka minne.Hata mimi wakati ungerudi nyuma ni either ningeopt chuo au chuo cha ufundi(veta). Nilipotezea credit za Physics,Chemistry na Maths sasa hivi najiona fala kusoma advance HGL.
Pili kwa hizo one zao ni ngumu sana kutoka na ufaulu wa kuridhisha. Shule niliyosoma na michepuo ya science ilikuwepo. Wengi waliokuja kusoma na hizo one waliishia kuscore II wengine mpaka III. Kuna watu pia nawafahamu walipata I nzuri ila PCB na PCM ziliishia kuwabaka form six wakaondoka na II-III.
Na hao kwasababu wamekata tamaa mapema nina uhakika III zao zinawaita mapema.
ni kweli ila kuna watoto ni vichomi dada, kapangwa shule nzuri tu ila lenyewe akili sijui zinakua wapi matokeo ndo wazazi huenda na mfumo wa kidicteta ili mambo yaendena ndio maana wengi wanafanya kaz wasizozipenda (hawana furaha na kazi zao)
Mzazi kazi yako sio mtengenezea mtoto wa umri huo ndoto yake bali ba wajibu wako kumsupport ili afikie ndoto yake as long as haivunji maadili. Na hao ndio wanaomaliza A-level hawajui ata wakasomee kitu gan chuo maana ndoto zake ziliishapotezwa hajui aanzie wap
Kwa mwalimu wa chuo kikuu, ni rahisi sana kumfundisha mwanafunzi aliyepitia kidato cha sita, ukilinganisha na yule aliyetoka form four na kujiunga na kozi za Diploma.bahati mbaya chuo sio shortcut maana kule mtu unaenda kusomea kazi (lazma ujitambue). Shortcut ni A-LEVEL maana mtu anasoma kukamilisha ratiba hajui ata anachosema akimaliza kitamuwezesha kwenda kusomea kitu gan ili awe nan kwenye level za juu za elimu. Jaribu ata kupitia jukwaa la elimu utagundua kuwa wahitu wa advance wengi ndio wanaongoza kwa kutokujua nn wakasome ili wawe nan kwenye level ya degree.
A-level yenye maana ni wanaochukua michepuo ya sayansi tu
Jana na lile baridi itakua hakupewa anakuja kutumalizia stress.Wee madame sasa cha ajabu nn hapo? Shule za jinsia tofauti kutembeleana? Au sahivi wameacha?
Itabidi tuyajeng mwl, kuhusu hao watoto sababu wazazi wao wako vizuri kiuchumi basi wakawafanyie application vyuoni, waachane na advance.Ndio
O Tagamenda, kijiji cha kwanza kabisa kutoka ipogolo kuelekea kidabaga,du umenikumbusha mengi wakati nasoma Mkwawa cneNipo hapa Tagamenda Ipogolo njia ya kuelekea Kilolo. Hebu watoroshe kwanza weekend moja ili nije niwape ushauri ulioshiba.
Mimi ni mshauri mwandamizi.
We vp nawe naeEvery one is a GREATTHINKER Miss.
The matter of fact is uache kujibu wenzio shombo au unataka tukutumie team la ufundi likutie adabu eheee.?? Maana hatushindwi kitu sisi binadamu.
Take care limadam lisilo jielewa. Umenijibu vibaya sana na sijapenda. Tutaonana