Wanafunzi Law School mnayo nafasi ya kujipigania

Kuna muda mwanafunzi anapofeli na mwalimu naye anapaswa ajitathimini kiukweli kwenye ufundishaji wake kama kweli anaeleweka
Na mwanafunzi na yeye aitathmini, kama mwalimu haeleweki vipi kuhusu vitabu anavyosoma navyo havieleweki?
 
Bodaboda ni wenzako. Taja majina ya wenzako tuone.

Nimekutajia ninao wanukuu wore maprofesa wa Sheria. Wa kwako hata wa dawa za kienyeji yuko wapi mbuzi wewe?
Hovyo kabisaa, siongei na mtu anayeongelea bodabodaa.
 
Hovyo kabisaa, siongei na mtu anayeongelea bodabodaa.

Huna unacho nukuu kutokea kokote. Unasikia profesa Shivji, Mahalu, Binamungu nk Unadhani ni boda boda wenzio hao?

Boda boda unaleta mawazo yako kuhusu elimu ya juu? Kwa hakika haya ni Tanzania tu!

Bakini na mawazo uchwara yenu vijiweni kwenu huko.

Hayahitajiki huku!
 
Unafikilia ubodaboda halafu napoteza mda kujadili na mtu mwenye mawazo ya bodabodaa
 
Unafikilia ubodaboda halafu napoteza mda kujadili na mtu mwenye mawazo ya bodabodaa

Komaa na SunLG ndugu. Maprofesa wa sheria wanatambua tatizo ni LST kama chuo ila wewe, na bado hujishangai. Tukuiteje wewe?
 
Ila hii inchi balaa, anaetunga sheria ajue kusoma na kuandika tu hahaha

Halafu mijitu iko inakenua. Tunayo safari ndefu sana bado. Na katika wakenuaji hao ati kuwa na wenye kudai katiba mpya kina Yonda wamo. Katiba ipi wanataka watu kama hawa?

Bure kabisa.
 

Mkuu umeandika mambo ya msingi sana kwa wenye aki zao. Bahati mbaya ni kuwa kama nchi ni kama kumechanganyikiwa.

Tatizo kubwa zaidi liko hapa:

"Ni muhimu kutambua Tanzania ni jamii ya watu waliojaa wivu, choyo, husuda, fitna, ujinga, upumbavu na ujuaji uliopitiliza."

Humo kuna kina Yonda, Ujamaa ni muhimu na ya nna hiyo.

Ndiyo maana mwenye ufumbuzi ni wanafunzi walioko LST.

Ikumbukwe majaji walipotaka kufanya uchunguzi wao huru walichepushwa.

Wanafunzi msiposimama kujipapambania wenyewe subirini kusomea kufeli.

Habari ndiyo hiyo.
 
Sio ajabu hao wanafunzi kufeli law school, kuna wimbi kubwa la wanafunzi wanaomaliza vyuo siku za karibuni wakiwa vilaza sana hadi unashindwa kuelewa walimalizaje degree na kufaulu hata kwa pass.

Mawazo duni kabisa. Unafundisha chuo gani ndugu kuja kauli hollow kama hii?

Kwamba elimu ya mwaka 47 ilikuwa bora zaidi kuliko ya leo siyo?
 
Tena wanafunzi ni vihiyo kweli kweli! Najua ninachokisema. Haonewi mtu pale.
 
Walimu wao wanasema tofauti isipokuwa wewe machimboni nyarugusu huko?

Kadhia ya Law School "Wasomi Nguli" wasikilizwe

Kwamba wewe uko vizuri.

Kwa hakika ni Tanzania tu.
Ripoti ya Mwakyembe inasemaje? Tuanzie hapo. Tusifanye politics kwenye taaluma. Sasa mtu anaenda out of point maswali yote apewe tu maksi za Bure kisa kelele... smartphone zimeshaharibu elimu ya juu. Mwanafumzi wa Sheria hajui hata jina la AG huyo ni mwanafunzi au? ila mwulize Irene uwoya atakupa details zote. Acha waendelee kupigwa kwenye mshono!
 
Unaonekena kila mahali.
Ila hapo juu ndio umeonekana kama kilele (top), crystal clear.

Ndipo utambue tuna taifa la namna gani. Kuna wanakenua wakiwalaumu wanafunzi kwamba hao wanapigania katiba mpya.

By the way huu ni wito Kwa wanafunzi wenyewe kusimama imara.

Wito huu unawahusu nini wenye kukenua, wivu, husuda, choyo, ujuaji uliopitiliza nk kwenye wasioyajua au hata kuwahusu?
 
Hali ya vyuoni utaijua wewe kuliko walimu wao?

Kadhia ya Law School "Wasomi Nguli" wasikilizwe

Kulikoni kujihesabia haki hivyo kapuku wewe?
Wewe una kitu gani cha kujivunia?
Unadharau watu wakati hujafanya jambo lolote la kutisha katika hii nchi.
Nani asiyefahamu kuwa wahitimu wa sasa wengi wao huwa wanazima moto mitihani yao?
Nani asiyefahamu kuwa wahitimu wachache tu wa siku hizi ndo wako vizuri sana na wengi wametawaliwa na kutaka attention mitandaoni badala ya kusoma?
Kwanza una GPA ya ngapi wewe unayewadharau watu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…