Wanafunzi Law School mnayo nafasi ya kujipigania


Wanafunzi hawa wanaofeli LST ni first class material. Hadi hapo unasema je?

Kadhia ya Law School "Wasomi Nguli" wasikilizwe

Unasema je pia kuhusu wasomi nguli hawa?
 
Wewe ni mwanafunzi pale isije kua wewe umeliwa kichwa unakuja kutafuta huruma huku mtandaoni! Ni masomo mangapi unatakiwa kurudia!?
 

Kwamba wewe kumbe unacho cha kujivunia? Mimi nukuu zangu zinatoka huku:

Kadhia ya Law School "Wasomi Nguli" wasikilizwe

Zako zinatoka wapi ndugu?
 
Vipi walimu, madaktari, wafamasia, wahasibu nk?

Vilaza ni sheria tu?
 
Wanafunzi hawa wanaofeli LST ni first class material. Hadi hapo unasema je?

Kadhia ya Law School "Wasomi Nguli" wasikilizwe

Unasema je pia kuhusu wasomi nguli hawa?
Hata katika katika CPA pia wapi "first class materials" lakini hupaswa kuanzia daraja la chini kidogo kwa masomo kadhaa, na hatimaye huja kumalizia umahiri wao kwa daraja la juu kabisa.

Ni lazima wafanye "harmonization" kwanza kwa kuwa shahaha katika vyuo vikuu tofauti hutofautiana kabisa. Ni kweli wote wanaweza kuwa na "lower second divisions" au "upper second divisions" ama hata "first divisions" lakini hadhi za hizo shahada ni tofauti kabisa.

Sidhani kama wahitimu wa shahada za sheria kutoka UDSM, UDOM, Mzumbe, SAUT na kadhalika (mpangilio haupo katika kigezo cha ubora wala "accreditation" ya chuo) kuwa wa ubora unaofanana pale watahiniwapo kwa mitihani inayofanana. Uzoefu unanionyesha kuwa, hata ukichunguza hayo matokeo kwa undani ni lazima utakuta vipanga waluofaulu kwa "single sit" karibu wote wanatoka katika chuo kimoja, wanao "suppliment" utakuta ni mchanganyiko wa baadhi ya vyuo, na wale walio " discontinue" wanatoka katika baadhi ya vyuo tu.
 

Kumbuka wanafunzi hawa hawaendi kufanya mitihani LST. Bali wanakwenda kusoma tena na baadaye kutahiniwa.

Hata first class material waliotoka chuo hicho hicho wanakumbwa na matokeo tata ya aina yake hapo LST.

Kwa maana nyingine hata walimu pale wakitahiniwa pale anonymously kama wanafunzi watafeli pia.

Kadhia ya Law School "Wasomi Nguli" wasikilizwe

Kulikoni mawazo hayo ndugu?
 
Komaa na SunLG ndugu. Maprofesa wa sheria wanatambua tatizo ni LST kama chuo ila wewe, na bado hujishangai. Tukuiteje wewe?
Yaaani una akili za bodabodaa halafu napoteza mda kujadili mambo MUHIMU na wewe.
 

Tatizo vichwa panzi wako Kila mahali. Waone hata kwenye uchangiaji humu.

Ninakazia:

"Ni muhimu kutambua Tanzania ni jamii ya watu waliojaa wivu, choyo, husuda, fitna, ujinga, upumbavu na ujuaji uliopitiliza."
 
Duh! Hapo mkuu kweli ni tatizo. Pengine kuna ukweli uliojificha, na huo ni kwamba, lengo kubwa ni kufelisha na wala si kufaulisha wanafunzi.
 

Kama nchi tuna matatizo:

"Ni muhimu kutambua Tanzania ni jamii ya watu waliojaa wivu, choyo, husuda, fitna, ujinga, upumbavu na ujuaji uliopitiliza."
 
Duh! Hapo mkuu kweli ni tatizo. Pengine kuna ukweli uliojificha, na huo ni kwamba, lengo kubwa ni kufelisha na wala si kufaulisha wanafunzi.

Haikufikirishi kuwa shule inayofelisha hakuna mzazi anayepeleka mwanafunzi hapo.

Shule inayofelisha inakuwa graded mwisho.

Shule inayofelisha huwajibishwa.

Nk, nk.

Yote hayo ni kweli isipokuwa LST.

"Ni muhimu kutambua Tanzania ni jamii ya watu waliojaa wivu, choyo, husuda, fitna, ujinga, upumbavu na ujuaji uliopitiliza."

Huo ndiyo ulio ukweli.
 
Tatizo wabongo niwavivu Sana wanakawaida yakuchukulia poa kila kitu imagine mtu anaanza kusoma one day before exam unafikr kitatokea Nini. Hyo hata makazini kwenye kutoa huduma wanajivutaaa utadhan wanafanya bure

Hudhani mzizi uko hapa ndugu:

"Ni muhimu kutambua Tanzania ni jamii ya watu waliojaa wivu, choyo, husuda, fitna, ujinga, upumbavu na ujuaji uliopitiliza."

Kwa nini kutengeneza hitimisho zito kama lako bila kuwa na ufahamu wowote wa mambo pale?

Kwa nini usiache yakawa angalau maoni huru?

Kwani hawa nao unasema je?

Kadhia ya Law School "Wasomi Nguli" wasikilizwe
 
Naongezea kidogo na sifa za ziada za ukuda, unoko na "sadism"
 
Mawazo duni kabisa. Unafundisha chuo gani ndugu kuja kauli hollow kama hii?

Kwamba elimu ya mwaka 47 ilikuwa bora zaidi kuliko ya leo siyo?
Chuo Kikuu cha Dar es Salaam sasa hivi kimeja wauza sura wengi sana. Asilimia kubwa sana wanamaliza vyuo sasa Kingereza kinawapiga chenga sana, hawajui mambo mengi sana ambayo ni basic na pia hata wanavyojenga hoja unaona kabisa uwezo wao critical thinking uko chini sana. Tofauti ni kwamba sasa hivi wanaomaliza vyuo ni wengi.
 
Achana na mimi Mburumundu wewe. Nani kakuita hapa?
Toa kulia Lia eti school of law inawaonea, Sasa kilaza kama wewe ulitaka upitishwe bwelele na huku badala ya kusoma unakalia boda zako na kubeti. Naomba WALIMU w school of law WAENDELEE kukaza kabisa,kabisaaa. Maana elimu inaenda kupoteza kabisa. Ifike mahala heshima ya degree na masters viwe na heshima kama zamanii
 
Naunga hoja saana ndugu yangu, ifike kipindi watu waone elimu sio kitu Cha kucheza. Nawapongeza Kwa kukaza kabisaa, mpaka ifike mahala mtu afanane na degree au masters.
 

Kuna tofauti kubwa baina ya law school na school of law. Haya mambo siyo size yako. Huku mawazo ya maprofesa yanazingatiwa siyo yenu wenye ajira za laana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…