Wanafunzi wengi waliomaliza vyuo vikuu hawana reasoning and cognitive skills

Kuwa na GPA kubwa haimaanishi mwanafunzi alikuwa vizuri darasani. wengine huwa wanapewa tu hizo degree. Wajuzi wa mambo wanasema degree za chup....
 
Hawakujua kuwa ungekuwa "mtunza fedha" huko Kyela. Hayo ndiyo yafanywayo PwC?
 
Mnapojadili hilo pia mjadili... Kwanini mtoto anasoma kidato cha kwanza mpaka cha Nne miaka minne hiyo... Alafu mtihani wa somo anafanya siku moja... Tena sio siku ni masaa matatu... Na maswali yanatoka kuanzia kuleeee kidato cha 1..
 
DAAAH!LEO HII GRADUATES WAMESHAKUWA SHIMO LA TAKA KILA SEHEMU NIKULAUMIWA WAO,KWA NINI USILAUMIWE MFUMO WA ELIMU NA KUACHA KUWAONEA HAO WAHITIMU WA VYUO?
 
Mnapojadili hilo pia mjadili... Kwanini mtoto anasoma kidato cha kwanza mpaka cha Nne miaka minne hiyo... Alafu mtihani wa somo anafanya siku moja... Tena sio siku ni masaa matatu... Na maswali yanatoka kuanzia kuleeee kidato cha 1..
Anayejua anajua. Bahati mbaya ziko chache sana. Sana.
 
Kwa hiyo mkawapa vijana gazeti la MwanaSpoti wachambue habari zinazohusu economy!!🤔🤣🤣🤣
 
Nyege bhana ziache,yaan mtu unasahau kila kitu,wakat ni hatar unaweza poteza kazi,jaman hawa watoto acha tu

Sasa dogo anaweza mpaka kukuletea zawadi ya biscuit mwalimu wake,sasa utafanyaje!
Hivi walimu mnaofundisha shule za serikali mnadindisha kabisa na kuviwakia tamaa visichana, ilhali hivyo visichana ni vilala hoi? Unapataje hisia kwa mlala hoi?

Aisee watu ni mazoa zoa hatari. Mafisi!
 
Nyege bhana ziache,yaan mtu unasahau kila kitu,wakat ni hatar unaweza poteza kazi,jaman hawa watoto acha tu

Sasa dogo anaweza mpaka kukuletea zawadi ya biscuit mwalimu wake,sasa utafanyaje!
"Sasa dogo anaweza mpaka kukuletea zawadi ya biscuit mwalimu wake,sasa utafanyaje?" kwani kakuambia anakutaka? Zawadi ni jambo la kawaida mno tofauti na wewe unavyoliweka.
 
Hivi walimu mnaofundisha shule za serikali mnadindisha kabisa na kuviwakia tamaa visichana, ilhali hivyo visichana ni vilala hoi? Unapataje hisia kwa mlala hoi?

Aisee watu ni mazoa zoa hatari. Mafisi!
Kwenye hivyo vilala hoi havikosi vilivyosmart na vilivyobarikiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…