Wanaharakati wa haki za binadamu na ukimya wa matusi dhidi ya viongozi

Wanaharakati wa haki za binadamu na ukimya wa matusi dhidi ya viongozi

jingalao

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
36,197
Reaction score
29,717
Kwa uzoefu wangu viongozi wengi ni watu waliopitia mateso makali nyakati za utotoni.yaani ukifuatilia utakuta waliwahi kunyanyaswa na wazazi au walezi kwa namna flani lakini kwa baraka za Mungu waliweza kuvumilia mateso hayo na hatimaye wakaibuka kuwa wasemaji na watetezi wa hali zisizo na usawa katika jamii.

Aghalabu niseme kuwa viongozi wetu wengi wa sasa walipita hali hiyo ngumu maishani japo kwa sasa tutaanza kuona viongozi artificial wanaoandaliwa toka utotoni.

Kwa muktadha huu sio jambo jema kuwadhalilisha kwa matusi ya nguoni kwani kwa kufanya kunaibua machungu waliyopita awali.

#Hoja kuntu#
Wale wanaoitwa wanaharakati wanafurahia mwenendo huu? Mbona siwasikii katika masakata ya kuwatusi viongozi??

Kama wamekaa kimya sasa basi wakae kimya pale hatua kali na fundisho zitakapochukuliwa na viongozi wanaoumizwa.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
 
Wanaharakati ndio zao, hukaa kimya pale upande wanaoupinga ukiwa unadhalilishwa kwa matusi ya nguoni, "mara nyingi Wanaharakati hawako "centered " katika harakati zao, huu ndiyo upumbavu wao!
 
Kwa uzoefu wangu viongozi wengi ni watu waliopitia mateso makali nyakati za utotoni.yaani ukifuatilia utakuta waliwahi kunyanyaswa na wazazi au walezi kwa namna flani lakini kwa baraka za Mungu waliweza kuvumilia mateso hayo na hatimaye wakaibuka kuwa wasemaji na watetezi wa hali zisizo na usawa katika jamii.
Aghalabu niseme kuwa viongozi wetu wengi wa sasa walipita hali hiyo ngumu maishani japo kwa sasa tutaanza kuona viongozi artificial wanaoandaliwa toka utotoni.
Kwa muktadha huu sio jambo jema kuwadhalilisha kwa matusi ya nguoni kwani kwa kufanya kunaibua machungu waliyopita awali.

#Hoja kuntu#
Wale wanaoitwa wanaharakati wanafurahia mwenendo huu?mbona siwasikii katika masakata ya kuwatusi viongozi??
Kama wamekaa kimya sasa basi wakae kimya pale hatua kali na fundisho zitakapochukuliwa na viongozi wanaoumizwa.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Yule Dem wamteke,wamgonge matundu yote wakimrekodi,wamtue kkoo uchi,wamlazimishe apost kwenye akaunti zake,Kisha wajifanye kumkamata na kumfungulia mashtaka,ambayo Nina hakika yatafika 200,wamfunge maisha jela
 
Jamani wapi chawa wa mama kina steve nyerere wapi kina maimatha

Yaani yule dada wa marekani anarusha makombora ikulu chawa wa mama wamekaaa kimya utadhani hawaoni

Shida wanaogopa wakikohoa vita ina hamia kwao yaani kila mtu anaogopa atavuliwa nguo na yule dada wa marekani

Yaani wame mute wameziba masikio wanajifanya hawajui kabisa mambo yanayoendelea wanajifanya viziwa wakati huu mama alihitaj support yao maana vinu vinavyotoka marekani ni vizito vinahitaji chawa waingie vitani

Chawa nao wanaogopa fumigation kutoka marekani

Sema kiukweki imeniuma sana hawa chawa kujifanya viziwi na vipofu yaani kama hawapo wanajua wakisema tu meee dada analipua mabomu mazito ndo maana wanaogopa

Kile kikundi cha chawa mama kiko chini ya maimatha tunaomba mwenyekiti maimatha atoe kauli kwamba wako vitani au laa...maana kazi ya kile kikundi ni kujibu mabomu ya mitandaoni

Chawa mjitokeze mjibu haya yanao endelea mitandaoni ni mazito na defamation kwa mama .....mme mute sana

Kiti cha urais hakina uwezo wa kujibu habari za umbea ni kazi ya mashabik ambao ndo nyie chawa wa mama

Sasa mnajifanya viziwi hamskiii pia vipofu hamuoni yaani ....kisa mnaogapa vinu vya uso kutoka marekani
 
Back
Top Bottom