Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NiceKesho ataachia video chafu ya MAZA ingawa watu wamesihi aache kufanya hivyo
Mama unayemuongelea wewe ni mama muuza? Okey. Watu wanasoma, waeleweshe mapema boss.nani aniue?, kisa nn? Nimefanya nn cha kufanya niuliwe, kwan mama yupo mmoja tu hapa duniani?
shida maza anacheka nao, wangepotea wawili tu wangeshaufyata.Kama wanaweza kumvua nguo kisa Makonda huoni wanaweza kumvua nguo wakati wowote wakitaka?
Huoni wanamuweka Rais kama mateka wao
Mmoja tu. Ukiona mbwa wanakubwekea sana Piga uue yule mwenye sauti zaidi.shida maza anacheka nao, wangepotea wawili tu wangeshaufyata.
Mzushi tu huyo angekuwa nayo anavyopenda misifa angekuwa ameshaiweka.Nimeona kule Instagram Hadi unaogopa aisee maana MANGE anadai kuwa ana video chafu ya MAZA .
MANGE mwenyewe anasema kuwa akiachia hii video nchi itatemeka na yeye atakuwa hatarini kufa
Alowateua ndio wanaomtukana. Huyo mwanaharakati anaingilia mlango upi?Kwa uzoefu wangu viongozi wengi ni watu waliopitia mateso makali nyakati za utotoni.yaani ukifuatilia utakuta waliwahi kunyanyaswa na wazazi au walezi kwa namna flani lakini kwa baraka za Mungu waliweza kuvumilia mateso hayo na hatimaye wakaibuka kuwa wasemaji na watetezi wa hali zisizo na usawa katika jamii.
Aghalabu niseme kuwa viongozi wetu wengi wa sasa walipita hali hiyo ngumu maishani japo kwa sasa tutaanza kuona viongozi artificial wanaoandaliwa toka utotoni.
Kwa muktadha huu sio jambo jema kuwadhalilisha kwa matusi ya nguoni kwani kwa kufanya kunaibua machungu waliyopita awali.
#Hoja kuntu#
Wale wanaoitwa wanaharakati wanafurahia mwenendo huu?mbona siwasikii katika masakata ya kuwatusi viongozi??
Kama wamekaa kimya sasa basi wakae kimya pale hatua kali na fundisho zitakapochukuliwa na viongozi wanaoumizwa.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Nimeona instagram Hadi unaogopa aisee maana MANGE anadai kuwa ana video chafu ya MAZA .
MANGE mwenyewe anasema kuwa akiachia hii video nchi itatemeka na yeye atakuwa hatarini kufa
Kwa watu Kama nyie ilitakiwa huyu mama aturudishe kwenye zile moments za kimagufuli yaani tuifeel Ile pinch
Labda wote wanajua anayoyasema huyu binti ni ya kweli. Ukichunguza huyu mama haeleweki kwenye hafla kubwa viongozi wengine wanaenda na wenza wao. Yeye ni nadra sana kumuona na mwenza wake.Jamani wapi chawa wa mama kina steve nyerere wapi kina maimatha
Yaani yule dada wa marekani anarusha makombora ikulu chawa wa mama wamekaaa kimya utadhani hawaoni
Shida wanaogopa wakikohoa vita ina hamia kwao yaani kila mtu anaogopa atavuliwa nguo na yule dada wa marekani
Yaani wame mute wameziba masikio wanajifanya hawajui kabisa mambo yanayoendelea wanajifanya viziwa wakati huu mama alihitaj support yao maana vinu vinavyotoka marekani ni vizito vinahitaji chawa waingie vitani
Chawa nao wanaogopa fumigation kutoka marekani
Sema kiukweki imeniuma sana hawa chawa kujifanya viziwi na vipofu yaani kama hawapo wanajua wakisema tu meee dada analipua mabomu mazito ndo maana wanaogopa
Kile kikundi cha chawa mama kiko chini ya maimatha tunaomba mwenyekiti maimatha atoe kauli kwamba wako vitani au laa...maana kazi ya kile kikundi ni kujibu mabomu ya mitandaoni
Chawa mjitokeze mjibu haya yanao endelea mitandaoni ni mazito na defamation kwa mama .....mme mute sana
Kiti cha urais hakina uwezo wa kujibu habari za umbea ni kazi ya mashabik ambao ndo nyie chawa wa mama
Sasa mnajifanya viziwi hamskiii pia vipofu hamuoni yaani ....kisa mnaogapa vinu vya uso kutoka marekani
nakubaliana na ww 100%Mmoja tu. Ukiona mbwa wanakubwekea sana Piga uue yule mwenye sauti zaidi.
Hatari na nusu!Kesho ataachia video chafu ya MAZA ingawa watu wamesihi aache kufanya hivyo
Mikwala tu hiyoNimeona kule Instagram Hadi unaogopa aisee maana MANGE anadai kuwa ana video chafu ya MAZA .
MANGE mwenyewe anasema kuwa akiachia hii video nchi itatemeka na yeye atakuwa hatarini kufa
Atakuwa anatafuta pesa kimtindo ingawa Sisi watoto wa mjini tumesikia Maneno Fulani kitambo sana juu ya MAZA Ila hatuna pa kusema....inaweza kuwa kweliMikwala tu hiyo
Ova
Wewe ni mpumba.vu..shida maza anacheka nao, wangepotea wawili tu wangeshaufyata.