Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Kasema "Rais amechafua hali ya hewa"Mange kasemaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kasema "Rais amechafua hali ya hewa"Mange kasemaje?
Samia alijiona wa maana alipoanza kumdharau Magufuli na kujidai anaweza kumridhisha ShetaniHayo ndio madhara ya mama kukumbatia machawa, dakika mbili machawa hao hao wanaweza kusimama kinyume na mama.
Kimambi alikuwa ni chawa wa mama leo ndio huyo anamvua nguo mama.
KarmaSamia alijiona wa maana alipoanza kumdharau Magufuli na kujidai anaweza kumridhisha Shetani
raraa reree siku hizi unatupia moja moja Mimi nilijua Wewe Ei Yaii (AI) banaDuh
Hili sasa ni zaidi ya balaaa
Makonda kasema Mwigulu Nchemba ndiye anayemlipa Mange Kimambi.Huyo mwehu tu...bavicha mnashangilia
Kama amesingiziwa apeleke shauri Mahamakani haraka, msitutanie hapaKwa watu Kama nyie ilitakiwa huyu mama aturudishe kwenye zile moments za kimagufuli yaani tuifeel Ile pinch
Watanzania ukitaka kuwaweza display all presidential Powers akiendelea kucheka 😀😀 watamiharibia
Mange Ni chizi na taira wa akili tuLucas Mwashambwa nenda Frontline kwenye ukurasa wa Mange kimambi ukajibu mashambulizi.
Wewe si kijana mzalendo mpenda nchi yako?
Hakuna mahali mama alimdharau Magufuli bali mama alivaa mkondo tofauti wa kuongoza nchi, kutoka kwenye mkondo wa kibabe kuja mkondo wa kiuungwana, na alikuwa sahihi kabisa.Samia alijiona wa maana alipoanza kumdharau Magufuli na kujidai anaweza kumridhisha Shetani
Hebu tuliweke hili jambo sawa, tuhuma za Mange zinaukweli ama Mama yenu amesingiziwa tu? Tuanzie hapoMange Ni chizi na taira wa akili tu
tz haijawahi kua na mtawala wa maana huwa naona wote wamepuyanga tu. sema wanapishana viwango vya kupuyanga na maovu.Hakuna mahali mama alimdharau Magufuli bali mama alivaa mkondo tofauti wa kuongoza nchi, kutoka kwenye mkondo wa kibabe kuja mkondo wa kiuungwana, na alikuwa sahihi kabisa.
Kosa la mama ndio kosa lile lile la Magufuli, kujitengenezea kakikundi maalum ka watu wa kusifu na kuabudu chochote anachokifanya hata kama ni kitu kibovu.
Watanzania walikuwa wanataka Rais ajishughulishe na issues (Katiba, Haki, Sheria, uchumi, Ajira, Rasimali, Matumizi ya serikali), sio blah blah za kuteua, kutumbua, kusifiwa, kukopa pesa ili kujenga miundo mbinu nk.
tz haijawahi kua na mtawala wa maana huwa naona wote wamepuyanga tu. sema wanapishana viwango vya kupuyanga na maovu. hapoHakuna mahali mama alimdharau Magufuli bali mama alivaa mkondo tofauti wa kuongoza nchi, kutoka kwenye mkondo wa kibabe kuja mkondo wa kiuungwana, na alikuwa sahihi kabisa.
Kosa la mama ndio kosa lile lile la Magufuli, kujitengenezea kakikundi maalum ka watu wa kusifu na kuabudu chochote anachokifanya hata kama ni kitu kibovu.
Watanzania walikuwa wanataka Rais ajishughulishe na issues (Katiba, Haki, Sheria, uchumi, Ajira, Rasimali, Matumizi ya serikali), sio blah blah za kuteua, kutumbua, kusifiwa, kukopa pesa ili kujenga miundo mbinu nk.
Tatizo ukikosana na mange tusi la Kwanza atakusingizia una ngoma😁😁Hii vita sio ya kuivamia kwa pupa, chawa watulie, huu wakati umekorogeka Sana mdomo kidogo Tu unainua na yasiyokuwepo.
Hana lolote yule ndo maana alizinguana na Martin masese wa x maana alisanua kuwa pale ni hela ya kupoozwa anaitafutaKasema "Rais amechafua hali ya hewa"
Kuna tofauti kati ya matusi na ku expose facts. Hoja zipo, zijibiwe 😂Kwa uzoefu wangu viongozi wengi ni watu waliopitia mateso makali nyakati za utotoni.yaani ukifuatilia utakuta waliwahi kunyanyaswa na wazazi au walezi kwa namna flani lakini kwa baraka za Mungu waliweza kuvumilia mateso hayo na hatimaye wakaibuka kuwa wasemaji na watetezi wa hali zisizo na usawa katika jamii.
Aghalabu niseme kuwa viongozi wetu wengi wa sasa walipita hali hiyo ngumu maishani japo kwa sasa tutaanza kuona viongozi artificial wanaoandaliwa toka utotoni.
Kwa muktadha huu sio jambo jema kuwadhalilisha kwa matusi ya nguoni kwani kwa kufanya kunaibua machungu waliyopita awali.
#Hoja kuntu#
Wale wanaoitwa wanaharakati wanafurahia mwenendo huu? Mbona siwasikii katika masakata ya kuwatusi viongozi??
Kama wamekaa kimya sasa basi wakae kimya pale hatua kali na fundisho zitakapochukuliwa na viongozi wanaoumizwa.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Unamzungumzia Mange Kimavi?Yule Dem wamteke,wamgonge matundu yote wakimrekodi,wamtue kkoo uchi,wamlazimishe apost kwenye akaunti zake,Kisha wajifanye kumkamata na kumfungulia mashtaka,ambayo Nina hakika yatafika 200,wamfunge maisha jela