Wanaharakati wa haki za binadamu na ukimya wa matusi dhidi ya viongozi

Wanaharakati wa haki za binadamu na ukimya wa matusi dhidi ya viongozi

Kwa uzoefu wangu viongozi wengi ni watu waliopitia mateso makali nyakati za utotoni.yaani ukifuatilia utakuta waliwahi kunyanyaswa na wazazi au walezi kwa namna flani lakini kwa baraka za Mungu waliweza kuvumilia mateso hayo na hatimaye wakaibuka kuwa wasemaji na watetezi wa hali zisizo na usawa katika jamii.

Aghalabu niseme kuwa viongozi wetu wengi wa sasa walipita hali hiyo ngumu maishani japo kwa sasa tutaanza kuona viongozi artificial wanaoandaliwa toka utotoni.

Kwa muktadha huu sio jambo jema kuwadhalilisha kwa matusi ya nguoni kwani kwa kufanya kunaibua machungu waliyopita awali.

#Hoja kuntu#
Wale wanaoitwa wanaharakati wanafurahia mwenendo huu? Mbona siwasikii katika masakata ya kuwatusi viongozi??

Kama wamekaa kimya sasa basi wakae kimya pale hatua kali na fundisho zitakapochukuliwa na viongozi wanaoumizwa.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Uanaharakati wa Haki za binadamu Nchi hii ni kutetea Upinzani unless huwajui.
 
Makonda kasema Mwigulu Nchemba ndiye anayemlipa Mange Kimambi.

Unsmsingizia Madelu hana siasa za kishamba za kutukana wakubwa wake wa kazi madelu muoga muoga wakina january wanajifanya watoto wa mjini

Kina January hacheni kumtukana Raisi ni kweli tunajua uraisi unautaka afe kipa afe beki lakini wakati wako utafika
 
Tuliombee sana taifa letu..
Tuwaombee sana Viongozi
Wengi hawalitakii mema hili taifa
Utajiri uliotamalaki kila kona unawatoa mate wengi..

Vyombo vyetu mahsusi viangaze jicho la 7 juu ya yote yanayoendelea..Nadhani ni zaidi ya yanayoendelea..

Wenye kiu ya madaraka makubwa ktk nchi japo hawana Sifa/uwezo,Dhima nyoofu,Uzalendo,Uadirifu stahiki,Maono,Hekima na busara lakini wanapambana sana kushika hatamu Kwa udi na uvumba..

.Nadhani tunahitaji siasa safi ..Kwa wakati sahihi na namna sahihi..Tunahitaji Siasa zenye uwezo wa kuitoa nchi kwenye Lindi la umaskini na udumavu wa kimaendeleo na sio mashindano ya kuiba,Ubadhirifu,Ufisadi..Mbali ya siasa safi tunahitaji wanasiasa wasafi na wenye uwezo (Nia,matamanio,Ufahamu,Uthubutu,Utendaji,Elimu,Exposure)..

Wahuni,Wezi,Mafisadi,Wezi,Wajasiliamali wa kisiasa,Warithi Uongozi..Na wote wanaodhani wana hati miriki ya uongozi wa taifa Wakae ama kuwekwa pembeni na mfumo wa kizalendo..
 
Nimeona kule Instagram Hadi unaogopa aisee maana MANGE anadai kuwa ana video chafu ya MAZA .
MANGE mwenyewe anasema kuwa akiachia hii video nchi itatemeka na yeye atakuwa hatarini kufa
Bimaza walikua wanamfanya nini wakamrekodi na video huyo Mange ana nini lakini nasikia michezo hio walimfanyizia Baba yake wakamla kiboga
 
Kwa uzoefu wangu viongozi wengi ni watu waliopitia mateso makali nyakati za utotoni.yaani ukifuatilia utakuta waliwahi kunyanyaswa na wazazi au walezi kwa namna flani lakini kwa baraka za Mungu waliweza kuvumilia mateso hayo na hatimaye wakaibuka kuwa wasemaji na watetezi wa hali zisizo na usawa katika jamii.

Aghalabu niseme kuwa viongozi wetu wengi wa sasa walipita hali hiyo ngumu maishani japo kwa sasa tutaanza kuona viongozi artificial wanaoandaliwa toka utotoni.

Kwa muktadha huu sio jambo jema kuwadhalilisha kwa matusi ya nguoni kwani kwa kufanya kunaibua machungu waliyopita awali.

#Hoja kuntu#
Wale wanaoitwa wanaharakati wanafurahia mwenendo huu? Mbona siwasikii katika masakata ya kuwatusi viongozi??

Kama wamekaa kimya sasa basi wakae kimya pale hatua kali na fundisho zitakapochukuliwa na viongozi wanaoumizwa.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Hakuna mwanaharakati wa viongozi wa Serikali. Hao wana chawa wao kama wewe, kwanini wewe usipaze sauti yako publicly badala ya kuja JF?
 
Unsmsingizia Madelu hana siasa za kishamba za kutukana wakubwa wake wa kazi madelu muoga muoga wakina january wanajifanya watoto wa mjini

Kina January hacheni kumtukana Raisi ni kweli tunajua uraisi unautaka afe kipa afe beki lakini wakati wako utafika
Makonda ndiye kasema siyo mimi
 
Nimeona kule Instagram Hadi unaogopa aisee maana MANGE anadai kuwa ana video chafu ya MAZA .
MANGE mwenyewe anasema kuwa akiachia hii video nchi itatemeka na yeye atakuwa hatarini kufa
Mange anacheza na akili za wajinga kama wewe.

Mtu mwenye akili timamu huwezi kumsapoti kichaa kama Mange.

Issue ya Baba yake kuliwa nadhani ndio Kisasi chake ni Kwa kila mtu.

Hayuko Sawa kisaikolojia, Baba yake alimpenda Sana sasa kinachomtesa ni yalimtokea Mzee wake Kisasi analipa Kwa wengine wasiohusika na alichofanyiwa Baba yake.
 
Mange anacheza na akili za wajinga kama wewe.

Mtu mwenye akili timamu huwezi kumsapoti kichaa kama Mange.

Issue ya Baba yake kuliwa nadhani ndio Kisasi chake ni Kwa kila mtu.

Hayuko Sawa kisaikolojia, Baba yake alimpenda Sana sasa kinachomtesa ni yalimtokea Mzee wake Kisasi analipa Kwa wengine wasiohusika na alichofanyiwa Baba yake.
Wewe ni Fala Tu umeona wapi nimesapoti?
Soma vizuri comment yangu
 
Ni wakati sasa wa intelligence kufanya kazi.
 
Kwa uzoefu wangu viongozi wengi ni watu waliopitia mateso makali nyakati za utotoni.yaani ukifuatilia utakuta waliwahi kunyanyaswa na wazazi au walezi kwa namna flani lakini kwa baraka za Mungu waliweza kuvumilia mateso hayo na hatimaye wakaibuka kuwa wasemaji na watetezi wa hali zisizo na usawa katika jamii.

Aghalabu niseme kuwa viongozi wetu wengi wa sasa walipita hali hiyo ngumu maishani japo kwa sasa tutaanza kuona viongozi artificial wanaoandaliwa toka utotoni.

Kwa muktadha huu sio jambo jema kuwadhalilisha kwa matusi ya nguoni kwani kwa kufanya kunaibua machungu waliyopita awali.

#Hoja kuntu#
Wale wanaoitwa wanaharakati wanafurahia mwenendo huu? Mbona siwasikii katika masakata ya kuwatusi viongozi??

Kama wamekaa kimya sasa basi wakae kimya pale hatua kali na fundisho zitakapochukuliwa na viongozi wanaoumizwa.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
hawa wanaotetea mtu kutembea uchi wakemee hiki kinachoendelea kweli? Ili wanyimwe pesa na mabwenyenye? 🐒

wale ni only money talks 🐒
 
Mange ni balaa... Anarusha matusi kwelikweli..
Niliona Shilole akijaribu kujibu mapigo... Lakini wapiii..
Mange hajafanya vizuri kumkosea mama yetu heshima. Mama Samia Mungu akulinde akupe afya furaha na maisha marefu.

Huu urais unao ni zawadi kutoka kwa Mungu tena alifanya maksudi uwe rais ili ukombozi tuupate.
 
Hivi mtu akiwa nchi nyingine ni ngumu kumkamata aseee !! Mfano Mange angekua kwenye hizi nchi za Africa au Huko Latin America !! Marais wangeshapigiana simu kitambo sana😂😂😂 mtoto analetwa hapa mbichi kabisa magogoni !!

Kweli Marekani demokrasia ipo
 
Back
Top Bottom