Wanaharakati wa haki za binadamu na ukimya wa matusi dhidi ya viongozi

Wanaharakati wa haki za binadamu na ukimya wa matusi dhidi ya viongozi

Hakuna mahali mama alimdharau Magufuli bali mama alivaa mkondo tofauti wa kuongoza nchi, kutoka kwenye mkondo wa kibabe kuja mkondo wa kiuungwana, na alikuwa sahihi kabisa.

Kosa la mama ndio kosa lile lile la Magufuli, kujitengenezea kakikundi maalum ka watu wa kusifu na kuabudu chochote anachokifanya hata kama ni kitu kibovu.

Watanzania walikuwa wanataka Rais ajishughulishe na issues (Katiba, Haki, Sheria, uchumi, Ajira, Rasimali, Matumizi ya serikali), sio blah blah za kuteua, kutumbua, kusifiwa, kukopa pesa ili kujenga miundo mbinu nk.
Basi...
✋👋👏🎬
 
Chaguzi za nchi kuporwa hakuwaumi, Wala fedha za wananchi kuporwa na wajanja hakuwaumi, ila matusi ndio mnajifanya yanawauma sana.
HAIWAUMI hata kwenye mgao wa umeme au maji. HAIWAUMI hata kushauri viongozi kupunguza gharama za uendeshaji serikalini! HAIWAUMI na kuuliza hiyo mikataba ya maliasili na rasilimali inawasaidia Nini! HAIWAUMI na kuuliza hela utalii zinaenda wapi?! HAIWAUMI shilingi kukosa thamani, bei za bidhaa kupanda na maisha kuzidi kuwa magumu! HAIWAUMI......
Tunaishi Kwa hisia na mihemuko!
Wacha wafaidi nchi huku wakisisitiza AMANI na UZALENDO! 👺👿💢🗯️😠😡😤😾🤬🥹
 
Hapo tu! Hata wakati wa Idd El fitr basi?!
Kuna walakini. Namuona Kikwete, Mpango, Majaliwa na wenza wao kwenye shughuli mbalimbali za kitaifa, ila sio yeye.

Ngoja tuangalie. Elimu yake haileweki, amesoma wapi, level gani.
Familia yake hatuijui. Yeye ni mke wa ngapi?
Wako wake wangapi kwenye ndoa yao? Wake wenza wengine ni kina nani? Mme wake alikuwa anafanya nini, kazi gani?
Ana watoto wangapi? ukijumlisha na watoto wa wake wenza ni wangapi 20, 30, 40?
Baba, mama, kaka, dada zake ni kina nani?

Kuna huo uwezekano hayo yanayosemwa yakawa ya ukweli sababu kiufupi hatujui mengi kumhusu huyu SSH.

Mke wa nne anaweza kukosa huduma muhimu na kiunyumba, kindoa kutokana na changamoto ya upinzani,
competition ndani ya ndoa kwahiyo akajaribu kutafuta mbadala. Labda ndio maana humuoni na mwenza wake, labda hakumpa stahiki zake.
 
Hapana Mange kavuka mipaka. Sukuma gang wanamtumia mange
Nasikia Baba yake wahuni walimkuta na mke wao wakamla Mande aliliwa kiboga alafu na video wakamrekod km ushahidi mpaka akaamua kujinyonga, hio video nahisi ndio imemvuruga Mange kisaikolojia kuona Baba yake analiwa kiboga kwenye camera huyu mtoto Mange siku zake zaja
 
Kuna huo uwezekano hayo yanayosemwa yakawa ya ukweli
Yanayosemwa yapi? Wengine hawajayasikia yaseme tena watoto anao wainne na wajukuu wa Anu na Nchengerwa wapo wawili, watoto watatu ni wakiume Anu ni last born wa Mwisho mke halali wa Nchengerwa, Baba yake alikua Mwalimu huko Kizimkazi fuatilia the Royal Tour kajielezea kidogo kuhusu hilo la familia ambalo wachache husimulia, Mimi simjui Baba yake na Marehemu Hayati B Mkapa wala Ndugu zake siwajui mboni sijawahi ku-mind hata watoto wake siwajui sidhani km aliwahi kua na mtoto hata mmoja na ikawa poa tu acha aongoze

All in all yeye alishasema hakuutaka urais ndoto ilikua kua Mhudumu wa Ndege Ila urais ukampenda zaidi akajikuta ameangukia huko SIO kwa kupenda Ila imemlazimu ndio ikawa hivyo fuatilia hotuba yake
 
Hili suala la kutukana viongozi huku jf pekee ndo tumeshika bango wengine wako kimya au wanafanya kimya kimya sijui ngoja tutasikia
 
Tuliombee sana taifa letu..
Tuwaombee sana Viongozi
Wengi hawalitakii mema hili taifa
Utajiri uliotamalaki kila kona unawatoa mate wengi..

Vyombo vyetu mahsusi viangaze jicho la 7 juu ya yote yanayoendelea..Nadhani ni zaidi ya yanayoendelea..

Wenye kiu ya madaraka makubwa ktk nchi japo hawana Sifa/uwezo,Dhima nyoofu,Uzalendo,Uadirifu stahiki,Maono,Hekima na busara lakini wanapambana sana kushika hatamu Kwa udi na uvumba..

.Nadhani tunahitaji siasa safi ..Kwa wakati sahihi na namna sahihi..Tunahitaji Siasa zenye uwezo wa kuitoa nchi kwenye Lindi la umaskini na udumavu wa kimaendeleo na sio mashindano ya kuiba,Ubadhirifu,Ufisadi..Mbali ya siasa safi tunahitaji wanasiasa wasafi na wenye uwezo (Nia,matamanio,Ufahamu,Uthubutu,Utendaji,Elimu,Exposure)..

Wahuni,Wezi,Mafisadi,Wezi,Wajasiliamali wa kisiasa,Warithi Uongozi..Na wote wanaodhani wana hati miriki ya uongozi wa taifa Wakae ama kuwekwa pembeni na mfumo wa kizalendo..
Nimuombee mtu ambaye hana mpango na mimi mkuu
are on your right mind?😂
 
Back
Top Bottom