1. Kuna malalamiko kuwa mtalii/mgeni kutoka Nigeria alitaka kubakwa.One side of the story, je umesoma upande mwingine wa hiyo hoteli
Sijafanikiwa kuwajua hawa.Niger,Benin tabia zao kama wanaigeria kwa utapeli
Na ndo washasema wanachunguza hili tukio sote hapa kila mmoja anasimamia upande wake.1. Kuna malalamiko kuwa mtalii/mgeni kutoka Nigeria alitaka kubakwa.
2. Ameeleza jitihada alizozifanya kutafuta msaada usiku huo bila mafanikio.
3. Nionavyo mimi siyo rahisi (siyo kwamba haiwezekani) kufanya uchunguzi baada ya muda huo wote na kupata ukweli wa malalamiko yaliyotolewa.
4. Ni vizuri kuboresha usalama wa wageni hotelini au nyumba za kulala wageni (hata kama malalamiko haya ni ya kweli au si ya kweli).
5. Kujitetea katika haya malalamiko hakusaidii.
Mimi nasimamia sifa nzuri ya nchi yetu. Malalamiko yakitokea tusiyapuuze hata kama tutashindwa kupata ukweli wake. Tukiimarisha ulinzi/usalama wa wageni/watalii hatupotezi chochote, bali tutaendelea kujijenga.Na ndo washasema wanachunguza hili tukio sote hapa kila mmoja anasimamia upande wake.
Mimi namwona tapeli wewe wamwona mwenye haki
isitoshe tunawapa raha na Utamu pia..dadek zao...afadhali sisi wabakaji kuliko wao matapeli ambao wako blacklisted dunia nzima
Number one enemy of Tanzania is kenyanWaAfrika hatupendani Wanaija, Wasauzi na Wakenya walikua wanasubiria tu siku tujichanganye tu wapate pakuhemea. Yes Zainab kapatwa na yaliyomsibu ila walivyojump na kubadilisha story Tanzania sio safe kwa wageni kana kwamba hapo Nigeria, South Africa na Kenya ni salama zaidi kuliko Zanzibar. Tupo mara 300 salama zaidi kuliko huko kwao.
Nyani haoni kundule.
Hakuna haja ya hayo yote ni kutotoa visa kwa wanaijeria. Period.serikali itangaze tu sasa, kwa nigerians yeyote kuingia hapa kama mtalii basi account yake lazima isome kuanzia $100000..
Ifike wakati sasa collective responsibility itawale serikalini hapa ndipo napomkumbuka JPM. Angekuwa hai immigrations ingeweka maafisa wao sehemu kama Shopperz ya masaki na msasani huwa ni venue pendwa sana kwa wanaijeria wengi wanaokuja kitapeli hapa nchini.
Kule Element, Havoc, maison, Levante ,sea cliff village, na Slipway yaani wangewadaka wanaijeria wote wasio na vibali vya kuishi na kuwarudisha kwao. Hawa sio watu wa kuwakaribisha kabisa hapa nchini. Ni matapeli wa kutupwa wapo wanaijeria wanatembea na bajaji wanauza bangi masaki. Wamelianzisha sisi tulimalize. Uhamiaji fanyeni kazi tuondoleeni na wakenya pia.
Sijawahi ona umuhimu wao hapa tanzania