Wanaijeria wa Clubhouse wakubaliana kwamba watanzania wanaunga mkono ubakaji

One side of the story, je umesoma upande mwingine wa hiyo hoteli
1. Kuna malalamiko kuwa mtalii/mgeni kutoka Nigeria alitaka kubakwa.
2. Ameeleza jitihada alizozifanya kutafuta msaada usiku huo bila mafanikio.
3. Nionavyo mimi siyo rahisi (siyo kwamba haiwezekani) kufanya uchunguzi baada ya muda huo wote na kupata ukweli wa malalamiko yaliyotolewa.
4. Ni vizuri kuboresha usalama wa wageni hotelini au nyumba za kulala wageni (hata kama malalamiko haya ni ya kweli au si ya kweli).
5. Kujitetea katika haya malalamiko hakusaidii.
 
Na ndo washasema wanachunguza hili tukio sote hapa kila mmoja anasimamia upande wake.
Mimi namwona tapeli wewe wamwona mwenye haki
 
Na ndo washasema wanachunguza hili tukio sote hapa kila mmoja anasimamia upande wake.
Mimi namwona tapeli wewe wamwona mwenye haki
Mimi nasimamia sifa nzuri ya nchi yetu. Malalamiko yakitokea tusiyapuuze hata kama tutashindwa kupata ukweli wake. Tukiimarisha ulinzi/usalama wa wageni/watalii hatupotezi chochote, bali tutaendelea kujijenga.
 
Kuna mmoja humu jamvini alihoji binti wa miaka 23 anasafirije mwenyewe. Aliyehoji ni mwanamke, pengine ungeweza mpa heshima zote kwa kuangalia post zake za nyuma. Ukiongezea na majibu ya "wanigeria" ni matapeli, kwa nini kasubiri mwaka mzima, kalipwa na Afrika Kusini, Kenya, Nigeria kuhujumu royal tour na mengine kama hayo, tuna ujinga mwingi baina yetu ambao sijui tunaondokaje nao.
 
Number one enemy of Tanzania is kenyan
 
Ifike wakati sasa collective responsibility itawale serikalini hapa ndipo napomkumbuka JPM. Angekuwa hai immigrations ingeweka maafisa wao sehemu kama Shopperz ya masaki na msasani huwa ni venue pendwa sana kwa wanaijeria wengi wanaokuja kitapeli hapa nchini.

Kule Element, Havoc, maison, Levante ,sea cliff village, na Slipway yaani wangewadaka wanaijeria wote wasio na vibali vya kuishi na kuwarudisha kwao. Hawa sio watu wa kuwakaribisha kabisa hapa nchini. Ni matapeli wa kutupwa wapo wanaijeria wanatembea na bajaji wanauza bangi masaki. Wamelianzisha sisi tulimalize. Uhamiaji fanyeni kazi tuondoleeni na wakenya pia.
 
Baada ya kukosa dola elf 10 ndo kaja na upuuzi huo utake kubakwa ukae kimya mwaka mzima
 

Hatuna ubaguzi kama wa sauzi.hata wabongo wamejaa nigeria na Kenya.

Kama wapo na vibali halali,sio tatizo.
Uhalifu ni suala la police karipoti.
Watz tuna tatizo Sana ukiona kamripoti mgeni haramu jua wamedhulumiana kibiashara,mapenzi au wivu mngeni anauza sana.
 
Hii pisi mbona mbovu Sana quality ya chini sana kama zile za kimboka, mbakaji ana moyo sana





 
Haya mambo hayahitaji jazba mnàvyotukana ndio mnafanya tuonekane hatuna akili kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…