Wananchi mkoani Arusha waandamana kupinga Ushoga

Tumeridhika na utumwa na ufisadi wa CCM ila ushoga tumekuwa wepesi kuu pigia kelele na kuu kataa.

Aisee hili taifa.


Ni bora utumwa na ufisadi wa CCM kuliko laana na uchafu wa ushoga. Laana inatoka kwa Mungu.
 
Laana ni nini ?
Kwani familia yako na marafiki zako wa karibu wakibaki peke yao wanaoujua upumbavu wako utapungukiwa nini? Nashangaa unavyolazimisha dunia nzima ijue kuwa wewe ni mpumbavu.
 
Unguja na pemba wanaongoza kwa hivi vitendo maandamano hakuna.
 
Taifa likiwa na laana linakuaje?
Ni mfano wa mataifa gani unaweza kusema yana laana kutoka kwa Mungu?
Ni bora utumwa na ufisadi wa CCM kuliko laana na uchafu wa ushoga. Laana inatoka kwa Mungu.
 
binafsi naona km dunia kwa ujumla haijatakaga kupiga vita hili suala hata kdg isipokua wanaliendeleza kwa hatua ndog ndog mpk apo baadae litakuja kuchukuliwa n suala la kawida tu..

sitaki kuamin kwmba tatizo n ushoga km ambvyo dunia inapga vita na kulikemea hilo suala, ila naamin kwmb ttzo linaanzia kwa wale wafiraji ama wanaopenda penda ngono kwa mlango wa jirani..

yani haiwezekan et tupige vita watu mashoga wakat wale wapenda kufira wamekaa tuli wakituangalia tulivyo wapuuzi kwa tunavyoliendea hili suala,

hv ulishawah kujiuliza kwamb mashoga hapo awali labda hawakuepo lkn hawa wafiraj walianza either kwa kuwaingilia wake zao ama mademu zao na hivyo kadri mda ilivyozid kwenda wakahamishia kwa wale wa jinsia pacha, na hata ikifika hatua mashoga watanyongwa wote lkn wafiraj wataanza kuchokoza chimbuko lao la awali na hatimae tutarudi hapahapa..
 
Taifa likiwa na laana linakuaje?
Ni mfano wa mataifa gani unaweza kusema yana laana kutoka kwa Mungu?
Hawezi kujibu hilo swali,ndio mana nasema hii vita watu wanapambana kihisia,au kwa kifupi hawajui wanachokipania
 
Huu ndio ukweli
 
Kwani familia yako na marafiki zako wa karibu wakibaki peke yao wanaoujua upumbavu wako utapungukiwa nini? Nashangaa unavyolazimisha dunia nzima ijue kuwa wewe ni mpumbavu.
Ulikuwa una jibu swali au umechanganya mtu wa kumquote?
 

Mbona kama unajichanganya,hayo maadili ya mwafrika umeyapata kutoka kwenye dini za hao wazungu na waarabu,
 
Your argument is so scientific,.
Ni kweli kabisa,chanzo ni watu kupenda kufanya kinyume na maumbile.
 
JF inashindwa zuia wa ndoa za jinsia moja sababu watanyimwa misaada
 
Jambo lolote ukilipigia kelele ndiyo kadri linavyosambaa!!! Vijana wengi wapenda kujaribu wataingia kwa kasi kuona kwa nini ushoga unapigiwa kelele!! Amini msiamini kadri tunavyopiga kelele ndivyo Jambo linavyoshika kasi.
 
Nilikula naitizama Mpira maeneo hayo likanyanyuka na kuanzia kukatika huku likiongea upupu ajabu watu hawakushituka kabisa,mwenyeji mmoja ndio akanieleza
Kumbe mashoga mnaishi nayo huko mtaani halafu mnakuja kutusumbua mtandaonii!

Kwanini msiwashughulikie huko huko maana nilisikia mna kikosi cha kufanya mauaji?

Chukua pisto umtandike risasi halafu karipoti kwa OCD upewe tuzo ya ushujaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…