Wananchi mkoani Arusha waandamana kupinga Ushoga

Ni wananchi au ni viongozi wa dini?
 
Umemaliza kila kituuuuu. Wasipo elewa hapa bas.
 
Watanzania wameona heri wapinge ushoga kuliko kupinga ugumu wa maisha na kodi
Unafanya mchezo na GESHI RA PORISHII?? JESHI LA CCM ni MADHUBUTI, chezea vyote ila si DOLA.

Ati unaandamana kupinga bidhaa!! Utanyoroshwaa!!

Ndio maana hawa WAANDAMANAJI UCHWARA wameona bora wajikite kupambana na VINYESI lakini si ati swala la BEI.

GESHI RA PORISHI ni KONYOO
 
Zipo kwa PC anguu zimejaa kibao,

Siku nikipoteza PC au kuibiwa, cjui ntaweka wapi uso wangu.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mtu km wewe ni wa kupiga ban maana nyie ndio mnaochangia ushoga kuonekana ni mambo ya kawaida kwenye jamii
 
Ukweli mchunguu huu.
Kitu nimejifunza watu wengi wanajitokeza kwa hasira wanakemea ushoga ili wasionekane wanakubali mashoga.

Kwa namna hiyo hatutafika popote sababu hatutakuwa na taarifa sahihi
 
Inasikitisha sana kuwa na watu wengi wajinga kiasi hichi.
KUNDI LA WAJINGA lina nguvu kuliko!!

Ni wapo gullible halafu huwaambii kitu.

Baba katoka nyumbani kaenda barabarani kupinga ushoga kaacha wanawe hawana chakula.
 
Japo kuandamana ni jambo zuri lakini linawapa pia publicity hao mashoga bila sisi kujua kwa sababu hakuna negative publicity.

Tunatakiwa tuende mbali sana kuimarisha mifumo ya malezi kwa watoto yatakayo embrace positive masculinity.

Tuanze kufikiria upya kuwa na sera ya familia ambayo italenga kujenga malezi na kesho ya kizazi kijacho.

Harakati za ushoga na feminism zinalenga kuvunja taasisi inayoitwa familia.
 
Laana ni kitu cha kufikirika lakini umaskini ni kitu kinachoonekana. Watu wanaweza wakawa maskini sababu za kisera halafu wakasingizia ni laana ya ushoga
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£
 
Unasemaje vile? Aise! Mi niko tofauti na baadhi ya sera za uongozi wa ccm lakini linapokuja suala la ushoga niko tayari kuanza na kukaripia kwa nguvu zote ushoga ndipo mengine yaendelee.

Hapa usiendelee kabisa vinginevyo utakuwa upande huo.
Distracting statement kama hiyo uliyoijibu ni za mashoga.
 
KUNDI LA WAJINGA lina nguvu kuliko!!

Ni wapo gullible halafu huwaambii kitu.

Baba katoka nyumbani kaenda barabarani kupinga ushoga kaacha wanawe hawana chakula.
Wanaondama kuhus ushoga ni Nyumbu ,watoto wanakosa Ada ,chakula
 
Mtu km wewe ni wa kupiga ban maana nyie ndio mnaochangia ushoga kuonekana ni mambo ya kawaida kwenye jamii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] vipi umekula lunch??

Mbna hasira inayotokana na njaaa, kwemaaa???
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] vipi umekula lunch??

Mbna hasira inayotokana na njaaa, kwemaaa???
Wewe shoga unafikir kila mtu anayepinga ushoga ana njaa kisa umenunuliwa chips ukakalia mkuyenge! Km unaona ufahari kwa unachokifanya watangazie wazazi na ndg zako kuwa wew ni bwabwa uone reactions zao kwako! Mama yako atajuta kukuzaa na kutamani kufa
 
Huu ni ujinga wa kiwango cha lami.
Hili taifa lina watu wengi sana wajinga.
Ushoga ndio limekuwa jambo la kuwafanya watu waandamane na kuwaweka busy??!
Unataka waandame kwaajili ya nini unaoa huo uchoko wenu mnaoufanya ni jambo zuri nyie mashoga mnatakiwa kuuwawa wote
 
Watanzania wameona heri wapinge ushoga kuliko kupinga ugumu wa maisha na kodi
Ushoga ni ushetani ebu fikiria wewe unashikishwa ukuta na manywele yako hayo mkunduni[emoji1787][emoji1787] we unaona sawa huo ugum wa maisha vita vyake sio vigumu kama vya ushoga
 
Hapo Arusha si wengi tu kupata hata milo miwili ya sembe na mchicha kwa siku ni tabu kubwa kwao, wengine si hawana maji au umeme, kwa nini wasiandamane kuhusu hayo badala yake waandamania jinsi watu wazima walivyamua kwa hiyari yao binafsi walivyoamua namna yao ya kufanya ngono??
Unataka waandame kwaajili ya nini unaoa huo uchoko wenu mnaoufanya ni jambo zuri nyie mashoga mnatakiwa kuuwawa wote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…