Chadema shikilieni hapo hapo.Wana Ilemela wameamua ! Wamemfukuza mbunge wao Angelina Mabula katika mkutano wa hadhara, wananchi wamelalamika kwamba kwa miaka karibu kumi hakuna alichofanya.
Mbombo ngafu! Ni dhahiri sasa Jimbo la Ilemela liko wazi.
View attachment 3064272
Mbunge analetaje maendeleo kwa wananchi? Anakusanya kodi? Yeye ni Afisa Masuhuli?Sio ujinga mkuu,Ahadi ya Mbunge kubwa ni maendeleo ya Wananchi sio V8!
Ilitakiwa bwana Sugu nae aoneshe alichofanyaDuh hii nje na ya Mtaturu Singida Mashariki?..maana niliona kwenye page ya Mh Sugu X, video ya huyo Mh Mtaturu na yeye, akivurushwa
1-...Wanaweza"..(?)Wanaweza kuwa ni WA mtaa au kata Fulani tuu sio Jimbo Zima.
Mwisho Huwa mnanishangaza sana ,tuchukulie mnaleta Wabunge wa Upinzani Sasa watafanya nini na hela zinatoka Serikali ya CCM?
Hayo mambo Yana maana kama mtashika Dola kinyume na hapo mtasalia hivyo hivyo bora mrudishe ccm hao hao.
Wana uhakika kuwa hakuwasemea? Kwa Serikali yetu hii na Katiba yetu hii mbovu mbunge ana mamlaka gani dhidi ya Serikali? Ataifanya nini Serikali isipofanya lolote?Hakuwa msemaji/muwakilishi wao mzuri kuisimamia serikali iwafanyie maendeleo.Hakuchukua nafasi yake.Usitetee visivyojitetea.
Tuki judge namna hiyo tutawafukuza wabunge wote just tu “si kazi yao kuleta maendeleo”Tangu lini kazi ya mbunge ikawa kuleta maendeleo kwa wananchi? Ujinga ni tatizo kubwa sana kwa Watanzania!
Hata simjui🤣🤣🤣Yapo mengi sana kwani we mbunge wa kule kijijini kwenu ni nani ?
Jiandaeni kuwapokea huko Ufipa/ mikocheniFukuzaneni tu
Sasa ndiyo hivyo katolewa unyoya.Kalala mbele kama Nyambui.Wana uhakika kuwa hakuwasemea? Kwa Serikali yetu hii na Katiba yetu hii mbovu mbunge ana mamlaka gani dhidi ya Serikali? Ataifanya nini Serikali isipofanya lolote?
Kumbe na wewe ni mjinga tu, kwa hiyo wananchi wanapaswa tu kushukuru hata pale wanapo dhulumiwa na watawala sababu tu eti wao hawawezi kutawala? Hujui impact ya upande fulani kuwa na idadi kubwa ya uwakilishi?Wanaweza kuwa ni WA mtaa au kata Fulani tuu sio Jimbo Zima.
Mwisho Huwa mnanishangaza sana ,tuchukulie mnaleta Wabunge wa Upinzani Sasa watafanya nini na hela zinatoka Serikali ya CCM?
Hayo mambo Yana maana kama mtashika Dola kinyume na hapo mtasalia hivyo hivyo bora mrudishe ccm hao hao.
Hakuna kitu hata watokeee Mbinguni, Serikali Kuu kama ni ya CCM ndio watazidi kuisoma namba hakuna mtu atakuletea pesa hukumchagua.1-...Wanaweza"..(?)
2-Wabunge wa ukinzani wanatokea Senegambia?
NB;Acha kubuni na kuhisihisi tu.
Mbunge ndio daraja la wananchi na serikali kama kero za wananchi hazifanyiwi kazi anafanya nini Bungeni ? Mwanza mji umekua mchafu sana, barabara ni tatizo, usambazaji wa maji miji mipya changamoto, mishahara kiduchu sekta binafsi, halafu wao wanazidi kujitafutia mali na kutudanganya Mama anaupigwa mwingi ! Tukutane kwenye box la kura, kura yangu halali haiwezi kwenda CCM wao washinde na kura zao za wizi kama kawaida yao.Tangu lini kazi ya mbunge ikawa kuleta maendeleo kwa wananchi? Ujinga ni tatizo kubwa sana kwa Watanzania!
Wapi walipodhulumiwa? Wewe ndio mjinga na huna maarifa Kushindwa kuelewa siasa za Tzn.Kumbe na wewe ni mjinga tu, kwa hiyo wananchi wanapaswa tu kushukuru hata pale wanapo dhulumiwa na watawala sababu tu eti wao hawawezi kutawala? Hujui impact ya upande fulani kuwa na idadi kubwa ya uwakilishi?
Hii ni kufuru.Kwamba CCM is each and everything?Wakinzani hufanyiwa hiyana ili waonekane hawafai kwa makusudi.Hakuna kitu hata watokeee Mbinguni, Serikali Kuu kama ni ya CCM ndio watazidi kuisoma namba hakuna mtu atakuletea pesa hukumchagua.
Nimetoa tahadhari na Mbeya kwamba miradi wanayoiona ni sababu ya Tulia kama unachagua Mbunge Kwa kutekeleza ilani basi Tulia kafanya ila kama ni mihemko ya Kisiasa ya kijinga basi wachague kina Mwambukusi na yule msanii wataona moto miaka 5 ijayo.
Miradi iliyoanza inaweza isikamilishwe Hadi 2030 na mkaambiwa kabisa sababu ni hao,Ifakara Rais akiwaambia shida hizo ni vile mlichagua Chadema.
Kila mtu atakula alikopeleka mboga
Na kuua simba na yanga labda yesu arudi ,kwa maana hiyo sasa haiwezekanani taifa hili likakombolewaSimba na Yanga zikifa ndio utakuwa mwanzo wa ukombozi wa hili taifa
Kwa mawazo hayo ndiyo maana miaka karibia ya sitini nchi ipo stagnant.Wapi walipodhulumiwa? Wewe ndio mjinga na huna maarifa Kushindwa kuelewa siasa za Tzn.
Kila mtu atakula alikopeleka mboga
Wamemchokaaaa wafykuze na yule kaka yake washafanya ssiisiiemuyaoooWana Ilemela wameamua ! Wamemfukuza mbunge wao Angelina Mabula katika mkutano wa hadhara, wananchi wamelalamika kwamba kwa miaka karibu kumi hakuna alichofanya.
Mbombo ngafu! Ni dhahiri sasa Jimbo la Ilemela liko wazi.
View attachment 3064272
Hata Machadema wangeshika Dola ingekuwa hivyo hivyo,Wala sio swala la kufuru sijui nini ndio utaratibu huo.Hii ni kufuru.Kwamba CCM is each and everything?Wakinzani hufanyiwa hiyana ili waonekane hawafai kwa makusudi.