Wanaofanya mazoezi ya mbio (jogging) hayana faida kiafya, ni matokeo ya matangazo ya biashara ya Nike

Wanaofanya mazoezi ya mbio (jogging) hayana faida kiafya, ni matokeo ya matangazo ya biashara ya Nike

Siku hizi limeibuka vuguvugu la watu kukimbiakimbia mbio mabarabarani.
Unaweza kukuta mmpja mmoja au kikundi.

Miaka ya zamani hii kitu ilikuwa haipo maana maisha ya mtanzania wa kawaida ni jogging na nyongeza.

Leo katika pitapita zangu online nimekutana na mzungu anaponda hiyo kitu. Anasema ni Nike ambao walipromote hizo jogging ili wauze viatu huko US. Hii ilikuwa mwaka 1965.

Haina maana kukimbia klm hadi 10 eti kiafya wakati ungetembea kwa miguu klm hata moja na unakuwa fiti kabisa.

Wengi wanasura za kizee. Wale chronic joggers, Pia hapo baadae watakuwa wanaugua magonjwa ya misuri na kutetemea.

Haijengi afya, inaua afya.

Ni hayo tu.
Wakati mwingine ni kasumba zetu Waafrika, kudhani kila kitu ambacho kimesemwa na Mzungu basi itakuwa ni kitu cha maana.

Inawezekana kabisa kuwa umeamini maelezo hayo ya kuponda jogging, kwa sababu aliyeponda ni Mzungu, ndiyo maana ukaileta humu.

Ova
 
Tatizo wabongo wanadhani kila mzungu ana akili, kuna wazungu wengi tu ma vilaza pia.Kama hilo zungu ulilolisoma litakua likilaza; Mazoezi muhimu kwa afya ila yasizidi.Too much of anything is harmful....period!
 
Sasa kuna ulazima wa kukimbia barabarani kama mwehu ilihali mwili unaolishwa kulingana na mahitaji unatosha kuchoma hayo mafuta ?
Kuchoma mafuta si goal pekee, ni moja tu kati goal nyingi za kufanya jogging.

Pia, tukizungumzia angle ya mafuta ya mwilini sikweli kuwa mafuta yaliyo mwilini huo mwili ulilishwa kulingana na mahitaji, mwili wenyewe unapokea tu haujali kihasi gani Cha calories umeupa (Am base to body).
 
Siku hizi limeibuka vuguvugu la watu kukimbiakimbia mbio mabarabarani.
Unaweza kukuta mmpja mmoja au kikundi.

Miaka ya zamani hii kitu ilikuwa haipo maana maisha ya mtanzania wa kawaida ni jogging na nyongeza.

Leo katika pitapita zangu online nimekutana na mzungu anaponda hiyo kitu. Anasema ni Nike ambao walipromote hizo jogging ili wauze viatu huko US. Hii ilikuwa mwaka 1965.

Haina maana kukimbia klm hadi 10 eti kiafya wakati ungetembea kwa miguu klm hata moja na unakuwa fiti kabisa.

Wengi wanasura za kizee. Wale chronic joggers, Pia hapo baadae watakuwa wanaugua magonjwa ya misuri na kutetemea.

Haijengi afya, inaua afya.

Ni hayo tu.

Kwani Prof. Janabi anasema je?
 
Back
Top Bottom