The Knowledge Seeker
JF-Expert Member
- Apr 13, 2019
- 3,418
- 5,028
Cheers 🥂Cheers kwa wazee wa kuua winga🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cheers 🥂Cheers kwa wazee wa kuua winga🤣
Unaweza hata kuandika hiki ulichoandika tu umechoma mafutaHivi mwili hauwezi kuchoma mafuta wenyewe tu kwa hali ya kawaida ?
Ni sawa na watumiaji wa mafuta ya wanyama na wale wa mafuta ya mbegu.Kuna watu wanaweza wasikuelewe.
Sasa kuna ulazima wa kukimbia barabarani kama mwehu ilihali mwili unaolishwa kulingana na mahitaji unatosha kuchoma hayo mafuta ?Unaweza hata kuandika hiki ulichoandika tu umechoma mafuta
Wakati mwingine ni kasumba zetu Waafrika, kudhani kila kitu ambacho kimesemwa na Mzungu basi itakuwa ni kitu cha maana.Siku hizi limeibuka vuguvugu la watu kukimbiakimbia mbio mabarabarani.
Unaweza kukuta mmpja mmoja au kikundi.
Miaka ya zamani hii kitu ilikuwa haipo maana maisha ya mtanzania wa kawaida ni jogging na nyongeza.
Leo katika pitapita zangu online nimekutana na mzungu anaponda hiyo kitu. Anasema ni Nike ambao walipromote hizo jogging ili wauze viatu huko US. Hii ilikuwa mwaka 1965.
Haina maana kukimbia klm hadi 10 eti kiafya wakati ungetembea kwa miguu klm hata moja na unakuwa fiti kabisa.
Wengi wanasura za kizee. Wale chronic joggers, Pia hapo baadae watakuwa wanaugua magonjwa ya misuri na kutetemea.
Haijengi afya, inaua afya.
Ni hayo tu.
Kuchoma mafuta si goal pekee, ni moja tu kati goal nyingi za kufanya jogging.Sasa kuna ulazima wa kukimbia barabarani kama mwehu ilihali mwili unaolishwa kulingana na mahitaji unatosha kuchoma hayo mafuta ?
Siku hizi limeibuka vuguvugu la watu kukimbiakimbia mbio mabarabarani.
Unaweza kukuta mmpja mmoja au kikundi.
Miaka ya zamani hii kitu ilikuwa haipo maana maisha ya mtanzania wa kawaida ni jogging na nyongeza.
Leo katika pitapita zangu online nimekutana na mzungu anaponda hiyo kitu. Anasema ni Nike ambao walipromote hizo jogging ili wauze viatu huko US. Hii ilikuwa mwaka 1965.
Haina maana kukimbia klm hadi 10 eti kiafya wakati ungetembea kwa miguu klm hata moja na unakuwa fiti kabisa.
Wengi wanasura za kizee. Wale chronic joggers, Pia hapo baadae watakuwa wanaugua magonjwa ya misuri na kutetemea.
Haijengi afya, inaua afya.
Ni hayo tu.
Huyu jomba awekeze sana kwenye mboga jamii ya bamia.Hahahahahah anapoteza uloto tu dronedrake
Ndo aina hiyo ya mazoezi yanayoua kama ulivyosema, kwa kifupi ume-underline.mazoezi hayaui afya ila aina ya mazoezi ndio yanaua afya
Jitahidi upate supu ya mkia wa kondoo isiyotiwa chumvi wala ndimu kwa wiki mara tatu. Itakusaidia.hahaha, zinarudi namna hii
Hio misupu sio mchezohahaha, zinarudi namna hii
Naongezea tu...haya maisha ya kukaa sana maofisini, na kutumia vyombo vya usafiri hata kwa umbali mfupi!Mazoezi ya jogging ni mazuri kwa afya na uimara wa mwili hasa kwa nyakati hizi za vyakula vya viwandani .. Huyo mzungu ana lake jambo
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukikasikiliza haka kababu hata huduma ile kwa shemeji utasubiri kakuchoree magraph.Kwani Prof. Janabi anasema je?
naishi Mvuti mzee, huyo Kondoo namtoa wapi ?Jitahidi upate supu ya mkia wa kondoo isiyotiwa chumvi wala ndimu kwa wiki mara tatu. Itakusaidia.
Huna uhakika wa msosi mkuu acha kuzunguka sanaHata kuna doctor mmoja kule USA alisema breakfast ni scam iliwekwa na wauza soseji na madaktari lakini anasema kiafya hakuna madhara yoyote ku skip breakfast wazungu wanajua waafrika mazuzu wanaiga kila kitu.