Wangekuwa wamefanya kitu Cha maana sana Tena Liwe azimio nchi nzima kuwa wasiogengeane wake zao kilamtu apambane na haliyake wanahamasisha vijana wakaate ndoa wakiwa wameoa wanatka mabaharia wajipoozee wapi kama sio Kwa wakezao na uzuri wa mke wamtu huwa hawawahudumii ni mseleleko atahudumiwa na mumeweWanagongewa wake zao na wanaume wenzao halafu wanatusema sisi.
Kwanini kama wanaume wasiungane wakubaliane hamna kugonge mke wa mtu?[emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe mdada una pointKwanini kama wanaume wasiungane wakubaliane hamna kugonge mke wa mtu?[emoji23][emoji23][emoji23]
Ahaaa nimelewaSi umesikia wakitoka kwa michepuko wakija nyumbani wana kamia gemu vizuri tu? Mikito ya kutosha hadi mke hagundui.
😀😀DahYap Mara kibao nikienda Dom kikazi,huwa ananiandalia lodge kabisa kwa siku nitakazokuwepo 🏃
Na Huyo mwanamke Alikuwa na Mwanaume. Yaani hakuna Mwanamke bila mwanaume, yaani hakuna Kosa la Mwanamke Mwanaume Hajahusika!
Hila nitatizo la wote sio kutwa mwanamke mwanamke
Mwanaume yeye Ruksa.
Iweke mkuu tujifunzeYaani mke wa mtu anaweza kuwa anagongwa na mme akampgia simu na akaipokea huku anafiniyia ndani na akachukuwa maelekezo yote alafu mchezo ukaendelea pasipo shaka yoyote. Kuna kisa huwa natamani kukiweka hadharani lakini mara kadhaa ninasita kwani madhara yanaweza kuwa makubwa kuliko funzo.
Ahhh hofu yako tu 😅 we gawa huduma bana,si mnasema wanawake tuko wengi kuliko wanaume?Wanasuburi huduma. Najitafakari
Ukimwi
UTI
Nuksi na visirani
Nk
Wewe mama bulubendi kwanini unapenda kubadili id mama bulubendi jamaniHere is wanawake once agaaaaaain!! Uzi mwanana kabisa kutoka kwa malaika wetu watukufu.
Dj walete wazee wa "kataa ndoa" kwa wimbo wowote matata wa amapiano🎹🎤🎤🎤🎤
Ewaaaaaaahhhh, wameoa halafu wanaambia vijana "kataa ndoa". Na vijana bila hiyana wanaenda kuponea kwa wake zao. Wanawajaza na mimba kabisa.Wangekuwa wamefanya kitu Cha maana sana Tena Liwe azimio nchi nzima kuwa wasiogengeane wake zao kilamtu apambane na haliyake wanahamasisha vijana wakaate ndoa wakiwa wameoa wanatka mabaharia wajipoozee wapi kama sio Kwa wakezao na uzuri wa mke wamtu huwa hawawahudumii ni mseleleko atahudumiwa na mumewe
Huyu vipi, yaani umeumwa kiasi cha kulazwa. Halafu ugonjwa uwe siri kiasi cha hata ndugu wanakuuguza au mume asijue! Unaishi kijiji ganiUgonjwa ni siri ya Daktari na Mgonjwa labda mgonjwa aamue yeye mwenyewe kusema hasa akiwa na fahamu zake anajitambua. Ni kosa kama Daktari alimsema, kumzodoa , au kumshutumu ameitoa makusudi hata kama amegundua ni hivyo. Labda yeye mwenyewe mgonjwa aseme wazi kuwa ameitoa na awaambie ndugu na jamaa na marafiki
Weka wazi Mkuu!Acha uoga!Yaani mke wa mtu anaweza kuwa anagongwa na mme akampgia simu na akaipokea huku anafiniyia ndani na akachukuwa maelekezo yote alafu mchezo ukaendelea pasipo shaka yoyote. Kuna kisa huwa natamani kukiweka hadharani lakini mara kadhaa ninasita kwani madhara yanaweza kuwa makubwa kuliko funzo.
Huyo Mr nae ni tatizo, mwanamke siku zote anapima upepo, mali zako mwenyewe utumie kondom why, tumia njia pendekezwa za uzazi WA mpango nje ya ndom!! By the way huyo mwanamume Bado alienselea kuwa zwazwa!?Mwaka mmoja nilienda hospitali kumjulia mke wa jamaa yangu akiwa kalazwa pale siku ya 2. Kulazwa kwake ilitokana na tukio la aibu lililofanywa na mkewe katika hali ya kushangaza sana.
Kabla ya kumuona mkewe jamaa alinipokea kituoni tukapata sehemu ya kujadili maendeleo ya mgonjwa tukiwa tunasubiri muda wa kuwaona wagonjwa.
Jamaa akanisimulia mkewe alipata shida akiwa kwenye harakati za kutoa mimba aliyopewa na mchepuko wake wa mjini. Hayo amekiri mwanamke baada ya madaktari kuweka wazi kuwa alikuwa anatoa mimba. Tukirudi nyuma kidogo huyu mwanamke aliingia kwenye mgogoro na mumewe kwa madai kuchoka kuzalishwa kila mara. Wakakubaliana watumie kondomu kama uzazi wa mpango.
Lakini mwanamke akawa na mchepuko mji wa pili ambapo ni dhahiri hawakuwa wanatumia kondom. Wakati huku nyumbani jamaa analazimika kula kwa kondom mchepuko ulikuwa unakula kavu mpaka ukatia mimba ya kwanza. Kuogopa mgogoro yule shemeji akatoa mimba, akafanikiwa.
Ajabu ni kwamba hakuacha kuchekupa kwa yule jamaa. Tena aliendelea kuliwa kavu baada ya muda tena mimba ikajaa. Akaona isiwe shida akapanga tena kutoa. Akiwa kwenye harakati za kutoa ndo mimba ikagoma na afya ikawa tete. Kukimbilia hospitali ndio yote hayo yakabainika.
Wakuu huyu ndio mwanamke. Wanaojiona wanamjua sana mwanamke wanajidanganya. Mwanamke amekuwa sehemu kubwa ya migigoro ngazi ya familia. Mwanamke ndio mchochezi wa kuni anaweza kuwasha moto anaweza kuuzima na kila kitu.
Ishi kwa akili sana na mwanamke,kuna watu wanawaamini wake zao kwa 100%. Sasa ukipigwa tukio usitusumbue oooh bora nife-kufaaaaaa
Usikilete🙏sio kila jambo la kuandika humuYaani mke wa mtu anaweza kuwa anagongwa na mme akampgia simu na akaipokea huku anafiniyia ndani na akachukuwa maelekezo yote alafu mchezo ukaendelea pasipo shaka yoyote. Kuna kisa huwa natamani kukiweka hadharani lakini mara kadhaa ninasita kwani madhara yanaweza kuwa makubwa kuliko funzo.
Dondosha kisa wwYaani mke wa mtu anaweza kuwa anagongwa na mme akampgia simu na akaipokea huku anafiniyia ndani na akachukuwa maelekezo yote alafu mchezo ukaendelea pasipo shaka yoyote. Kuna kisa huwa natamani kukiweka hadharani lakini mara kadhaa ninasita kwani madhara yanaweza kuwa makubwa kuliko funzo.
🤣🤣🤣🤣Wewe mama bulubendi kwanini unapenda kubadili id mama bulubendi jamani
😀😀Ewaaaaaaahhhh, wameoa halafu wanaambia vijana "kataa ndoa". Na vijana bila hiyana wanaenda kuponea kwa wake zao. Wanawajaza na mimba kabisa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahaha! Mi naona thamani ya mwanamke ni kunizalia watoto tu mengine sioni cha maana. Ni wenzetu lakini ni watu wenye njama za ajabu ajabu sana.
Nb: usitambe mbele ya jamii eti wewe una mke bora ( inawezekana watu wote wanajua mkeo ni malaya kasoro wewe tu ndiyo hujui, utachekwa)
Wewe uongo 😂 Sasa ntakujuaje Unabadili I'd hivi jamani🤣🤣🤣🤣
Baba bulubendi umemissika sana.