Wanaojifanya kumjua sana mwanamke, wanajidanganya

Wanagongewa wake zao na wanaume wenzao halafu wanatusema sisi.

Kwanini kama wanaume wasiungane wakubaliane hamna kugonge mke wa mtu?[emoji23][emoji23][emoji23]
Wangekuwa wamefanya kitu Cha maana sana Tena Liwe azimio nchi nzima kuwa wasiogengeane wake zao kilamtu apambane na haliyake wanahamasisha vijana wakaate ndoa wakiwa wameoa wanatka mabaharia wajipoozee wapi kama sio Kwa wakezao na uzuri wa mke wamtu huwa hawawahudumii ni mseleleko atahudumiwa na mumewe
 
Na Huyo mwanamke Alikuwa na Mwanaume. Yaani hakuna Mwanamke bila mwanaume, yaani hakuna Kosa la Mwanamke Mwanaume Hajahusika!

Hila nitatizo la wote sio kutwa mwanamke mwanamke
Mwanaume yeye Ruksa.

Mwanamke anatongozwa habakwi, mwenye hiari ya kukubali au kukataa ni yeye. sasa anajua ni mke wa mtu na akatongozwa akakubali nakuanza kuliwa mpaka mimba, tunaanzaje hapa kulauma mwanaume?, Inawezekana hata huyo mwanaume hajui kama huyo Ke ni mke wa mtu.
 
Iweke mkuu tujifunze
 
Here is wanawake once agaaaaaain!! Uzi mwanana kabisa kutoka kwa malaika wetu watukufu.

Dj walete wazee wa "kataa ndoa" kwa wimbo wowote matata wa amapiano🎹🎤🎤🎤🎤
Wewe mama bulubendi kwanini unapenda kubadili id mama bulubendi jamani
 
Ewaaaaaaahhhh, wameoa halafu wanaambia vijana "kataa ndoa". Na vijana bila hiyana wanaenda kuponea kwa wake zao. Wanawajaza na mimba kabisa.
 
Huyu vipi, yaani umeumwa kiasi cha kulazwa. Halafu ugonjwa uwe siri kiasi cha hata ndugu wanakuuguza au mume asijue! Unaishi kijiji gani
 
Weka wazi Mkuu!Acha uoga!
 
Sio tu wanaume wanaogopa kuoa sa hivi

Wanaogopa kuingia kwenye Mahusiano kabisa na kuwa committed ni mwendo wa kufanya mapenzi na ku dump, domestication process inayotokea ni ya hatari Sana ni tatizo juu ya tatizo watoto wengi wasio na baba wanaongezeka

Wa kike na wa kiume na wenyewe wanaona poa tu kutokua na Familia

Mambo yatakavyokuja kuwa huko mbele sijui kabsa aisee inatisha
 
Huyo Mr nae ni tatizo, mwanamke siku zote anapima upepo, mali zako mwenyewe utumie kondom why, tumia njia pendekezwa za uzazi WA mpango nje ya ndom!! By the way huyo mwanamume Bado alienselea kuwa zwazwa!?
 
Usikilete🙏sio kila jambo la kuandika humu
 
Dondosha kisa ww
C unatumia code mzee
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…