Wanaopinga ndoa wana matatizo au wamekulia kwenye familia zenye mgogoro

Umemaliza yote mkuu...uzi ufungwe
 
Watu wamezaliwa na kulelewa kwenye ndoa zilizofungwa kwenye kanisa takatifu la mitume katoliki,msikitini na ndoa zinavunjika mapema tu,yaani miaka mitano mingi
 
Ndoa ni baraka
Ukioa au kuolewa tu utapata
1. BMW X7 brand new
2.Audi A8 brand new
3. Billion 10 bureeee
4.Luxury mansions Kama 5 hv
 
Kukataa ndoa tafsiri yake NI kukataa kushinda mahaka Mani,kukataa kuumia,kuuwa,au kuu Wawa,

Na kchagua kuishi kwa hakili na PESA badara ya mwanamke


Mwanaume unapo andika kataa ndoa una maanisha unataka kuolewa amaπŸ€·πŸΌβ€β™€οΈ
 
Wengi wamepandikizwa sumu na wazazi wao yaani wamelelewa na mzazi mmoja,

Ogopa sana mwanaume aliuelelewa na mama peke yake huyo ni zaidi ya koboko[emoji23],
 
Umeongea point na nimeielewa sana. Huko kote umeeleweka ila bado haisababishi watu kushawishi wenzao kukataa ndoa.

Hiyo point ya uvivu sasa ndo tunarudi kule kule kwangu. Wanaoshawishi wenzao wasioe wao ni wavivu wa kila kitu ndo maana wanataka wawekwe wao ndani
 
Vijana wana matatizo hata hivyo inachangiwa na ugumu wa maisha ndio maana unaona vitu vya msingi vinapotezewa na kukwepa majukumu haya yote sio familia tu ni pamoja na Serikali hawana maandalizi mazuri kwa vijana wao wao wanandaa Viongozi tuu..
 

Unazungumzia kuhusu kataa ndoa?

Kuhusu hili siungi mkono
Na kuhusu wavivu kuwekwa ndani hili pia siungi mkono

Ila ushauri wangu ili kuubadili huu upepo wa wimbi la WATU kukataa kuowa ndiyo huo hapo mkuu
 
Ujue Mwanamke ukimkataa bhana anaanzaga kukukejeli anadhani ni yeye tu anakataaga watu. Tumekataa kuwaoa wanaanza ooh Upindee ooh nyeto ooh. Sa hao walowapa Mimba mpaka mkawa Masingo Maza nao ni Upinde au? Tulizeni Komwe Birthday mnazosheherekea kila Mwezi zinawatosha ndoa Waachieni Bibi zenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…