Wanasayansi naomba mnisaidie maana Quran inaniambia mtoto anaumbwa baada ya sperm kuingia kwenye damu iliyoganda

Yesu akisema Mama yake kapata mimba bila ngono, inabaki kwenye imani hakuna kutafuta ushahidi wa kisayansi. Upumbavu tupu.
Kwanini usingeanza kuihoji quran inayosema kuna jamaa anaitwa issa ambaye ni mtu wa kufikirika (kwasababu mpaka leo haujawahi kutokea ushahidi wa kuwepo mtu huyo katika Israel) kwamba alizaliwa bila baba?
 
Wewe Umeanzisha hii kwa nia ipi, kama siyo kuubeza Uislamu.
Hapa nimeanzisha kuchambua kisayansi udanganyifu wa allah, muhammad na quran. Jambo hilo lililosemwa na quran ni uongo kisayansi.
 
Najua jamaa atarudi sahizi usiku

Ila pia tunahitaji utupe ushahidi wa kisayansi kua mtoto anaweza kuzaliwa bila baba
Kama alivyo zaliwa Yesu?
 
Hapa nimeanzisha kuchambua kisayansi udanganyifu wa allah, muhammad na quran. Jambo hilo lililosemwa na quran ni uongo kisayansi.
sina haja ya kuhoji kuhusu issa kwangu mimi ya ufanyaji ni wa Mungu na sio wanasayansi njoo na wanasayansi wako hapa watwambie kuhusu huu danganyifu umefanywa kwenye biblia kuhusu kuzaliwa kwa yesu.
 
Kwanini usingeanza kuihoji quran inayosema kuna jamaa anaitwa issa ambaye ni mtu wa kufikirika (kwasababu mpaka leo haujawahi kutokea ushahidi wa kuwepo mtu huyo katika Israel) kwamba alizaliwa bila baba?
Usilazimishe unavyo taka wewe hakuna Yesu wanao mjua wa Israel
 
Champion njoo na jibu kuhusu mtoto kuzaliwa bila ya baba kwa mujibu wa wanasayansi

Sisi waislamu hatushangai issa kuzaliwa bila baba kwa sababu hatuna aja tena ya kutafuta ushahidi kwa watu wakati alie tenda ni Mungu

Wewe unae wategemea wanasayansi
Nataka uje na majibu ya kisayansi hapa na sio porojo!!!

Na kama ukikosa hata mwanasayansi mmoja naanza tena kukuonesha vituko vya sayansi ya bibilia yako
Sisi tumekujibu tena na bahati nzuri mpaka baadhi ya video tuka kuonesha kuhusu maswali yako yote ila ukajifanya hamnazo ukazipinga maana yake ukawapinga wanasayansi ulio waita wakusaidie
Sasa ilituone tuna taka na sisi wanasayansi wanao twambia kua mtoto anaweza patikana bila BABA


NB MAJIBU YA WANASAYANSI
 
Mama yako hatoki Damu kila mwezi..?
Kamuulize kwanini anavaa always.
Unaleta ukhayawani hali ya kuwa unalifahamu jambo hili
Na huyo Chizi kaiongopea aya aya haija sema hivyo alivyo sema yeye anatafuta makosa kwa tafsiri ya kupanga
Aje atwambie kuhusu yesu vipi Mary alionjwa na Yusuf Nini? Ndiyo akapatikana
 
Unataka wenzako wakalibusu jiwe jeusi pala walipo mvua nguo yesu wakamvisha nepi ya sanda, tena baada ya kumfirimba, mnaenda lini kupazuru.
Ahaa lini Issa alivishwa Sanda ?

Kumbe ile wama kataluhu wama sulubuhu ni ya mchongo sio ?

Inatumika kwenye Taqiya tu.
 
Ahaa lini Issa alivishwa Sanda ?

Kumbe ile wama kataluhu wama sulubuhu ni ya mchongo sio ?

Inatumika kwenye Taqiya tu.
Nyie rukeni rukeni alafu mje mtwambie hapa je wanasayansi wenu mnao wakubali

Wanasema kua mtoto anaweza kuzaliwa bila baba?

Alafu Msiingilie upande issa kuvishwa sanda maana issa hakufa wala hakusulubiwa
Hawezi vishwa sanda asie kufa.
 
Kwanini usingeanza kuihoji quran inayosema kuna jamaa anaitwa issa ambaye ni mtu wa kufikirika (kwasababu mpaka leo haujawahi kutokea ushahidi wa kuwepo mtu huyo katika Israel) kwamba alizaliwa bila baba?
Acha porojo jibu swali kwanini uzalio wa Yesu unapingana na science
 
Kwanza Adam na Hawa baba yao alikuwa nani ?
Na wanasayansi wanasemaje ?
Acha ubabaishaji jibu swali kwanini uzalio wa Yesu unapingana na wanasayansi
Na tulisha waambia sisi ufanyaji kazi wa Allahu hatuna mashaka nao
Ila mkaja wataalamu mkatwambia quran ina makosa ina pingana na science
Sasa nataka nione hii bibilia ambayo haijapingana na science ina nipa majibu
 
Najua jamaa atarudi sahizi usiku

Ila pia tunahitaji utupe ushahidi wa kisayansi kua mtoto anaweza kuzaliwa bila baba
Kama alivyo zaliwa Yesu?
Hakuna sehemu biblia imeandika kuhusu kuzaliwa kwa Yesu Kristo kisayansi. Biblia ilizungumza kinabii kwamba bikira atabeba mimba.

Isaya 7:14 SRUV​

Kwa hiyo Bwana mwenyewe atawapa ishara. Tazama, bikira atachukua mimba, atazaa mtoto wa kiume, naye atamwita jina lake Imanueli.
 
Sisi tumekujibu tena na bahati nzuri mpaka baadhi ya video tuka kuonesha kuhusu maswali yako yote ila ukajifanya hamnazo ukazipinga maana yake ukawapinga wanasayansi ulio waita wakusaidie
Hakuna swali hata moja mmeweza kujibu zaidi ya porojo.
 
Mama yako hatoki Damu kila mwezi..?
Kamuulize kwanini anavaa always.
Unaleta ukhayawani hali ya kuwa unalifahamu jambo hili
Acha kutetea ujinga. Soma kwanza kabla ya kuleta siasa za hapo madrasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…