professional Driver
JF-Expert Member
- Sep 23, 2022
- 2,959
- 3,510
Alafu nipe faida ukija Saiz usiku muda umeenda sana nyinyi hamfanyi ngono kwa sababu ni roho kwenye mwili sijui ndio umesemaje hapa maana hata mimi roho kwenye mwili roho ikitoka mwili au fanyi kaziNyie waislamu kwenu mtu ni mwili wake ndio maana hata ahera yenu mtakuwa mnafanya ngono.
Sisi wakristo ni roho tunaoishi kwenye mwili. Nikitoka kwenye mwili haimaanishi nime cease to exist.
Mungu kuuvaa mwili hakumbadilishi asili yake kwasababu yeye ni roho. Kilichoona njaa ni mwili wake.
Yesu ni Mwana wa Mungu tangu milele na sio kwasababu alipata mwili kwa Mariamu.
Pia unataka kuwaambia wakristo wenzio kua akhera yenu hamtakua mkifanya ngono wala tendo la ndoa yani huko peponi kwenu
Sisi waislamu ni mwili hakika na umethibitisha hilo nashukuru lkn usisahau roho pia tunazo
Alafu unaposema Mungu ni roho ukaeka na neno la kiingereza la spirit hapo umemaanisha maana hii
( a highly refined substance or fluid thought to govern vital phenomena)
au hii kuhusu uyo Mungu (the non-physical part of a person which is the seat of emotions and character; the soul.)
Asante mkuu usiku mwema yale mengine usisahau tu.