Championship
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,500
- 10,616
- Thread starter
-
- #841
Inashangaza wewe kuhoji hilo wakati unawaombea marehemu wapunguziwe adhabu ya kaburi. Wanasikiaje maumivu wakiwa kaburini?Hubu wana sayansi watusaidie hili la yesu kutoka kwenye mwili wake na bado alikua hai.
Alafu hivi mawazo nayo ni kitu cha ajabu basi mbona hakuna haja basi kumbe alikuwa anaota Yesu bwana ayo majaribu yenyewe kumbo mawazo huenda ata uyo ibilisi ajaja wala haja muonaMkuu hapa ndio watoto wa mjini wanasema umedandia treni kwa mbele.
Luka anamtaja Yusuph ambaye alikuwa baba wa Yesu lakini immediately inaanza kutaja ukoo wa Mariamu aliyemzaa Yesu. Mariamu alizaliwa na Eli. Kiufupi luka anaongelea uzao aliotokea Mariamu.
Mathayo anamzungumzia Yusuph ambaye alikuwa baba mlezi wa Yesu Kristo. Kwahiyo Mathayo anazungumzia ukoo wa Yusuph aliyemlea Yesu.
Hapa unarudia kosa lile lile la kukaa mwilini. Biblia iko wazi kabisa kwamba Yesu alikuwa nyikani kwa siku arobaini. Hili ni ile nyika ipo pembezoni mwa barabara itokayo Jerusalem kwenda Jericho karibu na mto yordani.
Hakuna siku ambayo aliondoka pale nyikani kwahiyo majaribu yote yalikuwa katika namna ya imagination na mawazo. Kwa njia hii hata wewe hapo unaweza kusafiri maeneo mengi sana ukiwa hapohapo ulipo.
Umeelewa lakini kwamba Yesu alikuwa nyikani pale eneo kati ya Jerusalem na Jericho katika kipindi chote cha siku 40 za kufunga? Ukishaelewa hapo ni rahisi sana kuelewa kwamba ilikuwa katika mawazo.Mbona mkuu andiko liko wazi hapo wapi amesema alikuwa anawaza
Mungu kwa wakristo nature yake ni Roho ,Hubu wana sayansi watusaidie hili la yesu kutoka kwenye mwili wake na bado alikua hai.
Majaribu yote wewe unayoyapitia huwa unakuwa ndotoni?Alafu hivi mawazo nayo ni kitu cha ajabu basi mbona hakuna haja basi kumbe alikuwa anaota Yesu bwana ayo majaribu yenyewe kumbo mawazo huenda ata uyo ibilisi ajaja wala haja muona
Nakuelewa kua majaribu ya yesu yalikuwa ni mawazo si uhalisiaUmeelewa lakini kwamba Yesu alikuwa nyikani pale eneo kati ya Jerusalem na Jericho katika kipindi chote cha siku 40 za kufunga? Ukishaelewa hapo ni rahisi sana kuelewa kwamba ilikuwa katika mawazo.
Hata wewe leo shetani anapotaka kukujaribu huwa anaanzia kwenye mawazo yako.
Yanakua sio mawazo pia siwezi kusema mawazo tu ni majaribu si nimeweza auMajaribu yote wewe unayoyapitia huwa unakuwa ndotoni?
Nauomba huo ushahidi.Vuta subra, nitakupa ushahidi ukitaka
Quran hii inayosema sperm zinazalishwa kwenye eneo kati ya mbavu na uti wa mgongo au kuna nyingine?QURAN HAINA MAPUNGUFU YOYOTE
Kwani mawazo sio kitu halisia?Nakuelewa kua majaribu ya yesu yalikuwa ni mawazo si uhalisia
Kwa mujibu wako umesema yesu alikuwa anawaza emu rudi tena luka 4:1 mapak 16 Alafu uniambie hayo mawazo hapo yako wapi mbona unawaongopea wenzio weweMajaribu yote wewe unayoyapitia huwa unakuwa ndotoni?
Kama ilivyo hii bibilia inayo sema Ayoub 38 :4 kua mbingu zina misingi kama nyumbaQuran hii inayosema sperm zinazalishwa kwenye eneo kati ya mbavu na uti wa mgongo au kuna nyingine?
Ukiwaza unakula unakua ushashiba acha ubabaishaji weweKwani mawazo sio kitu halisia?
Kuwa mwilini kumekuathiri sana sana. Yesu hakwenda kwa miguu hadi mjini na kupanda juu ya hekalu na wala hakupanda kwa miguu kwenda milimani ili aone fahari ya dunia.Kwa mujibu wako umesema yesu alikuwa anawaza emu rudi tena luka 4:1 mapak 16 Alafu uniambie hayo mawazo hapo yako wapi mbona unawaongopea wenzio wewe
Mimi najua wewe umekwepa kutupa elimu hiyo ya kijiografia kua kuna sehemu huku duniani ukisimama unaona dunia nzima nitaenda jelusalem kutalii namim uenda nitaiona [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwani mawazo sio kitu halisia?
Koran ni kipeperushi huwezi Pinga hilo,Anayeweweseka NI wewe unayefatilia mambo yasiyo na maana kwako na tena basi wala hayakuhusu lkn unapoteza muda wako kufatilia kama sio muweweseko na umbeya NI nini!
Et kuna vichwa wamekariri bibilia in your dreams ikitokea tulale tuamke kipeperushi cha bibilia kimetoweka na ukristo Kwisha habari yake mtabakia kwenda kanisani kuimba kwaya na kuwachangia wachungaji kujaza matumbo Yao,,,
Christianity is a dead religion,,,NI dini iliyokalia kuti Kavu,,mnaweweseka kuona uislam unachanja mbuga licha ya fitna na uhasidi mnaoufanya,,,,
Haya ni mawazo yako bibilia inasema wazi ibilisi kampandisha juu yesu akamwonyesha milki zote wewe unasema mawazo unapingana hata na bibilia ama kweli nita kesha hapaKuwa mwilini kumekuathiri sana sana. Yesu hakwenda kwa miguu hadi mjini na kupanda juu ya hekalu na wala hakupanda kwa miguu kwenda milimani ili aone fahari ya dunia.
Mimi nimewahi kufika nchi nyingi duniani ikiwemo dubai. Sasa hivi hapa nilipo ninaweza kutengeneza image kichwani kwangu nikawa pale burji khalifa ingawa kimwili nipo hapa Dar es salaam.
Ni kwanini haujibu hoja kuhusu hiyo aya ya quran ndio uulizie hiyo ya kwenye ayubu?Kama ilivyo hii bibilia inayo sema Ayoub 38 :4 kua mbingu zina misingi kama nyumba