Thanks ❤️Iko poa Kikubwa uzima ❤️,,,uwe na cku njema
Haya Maswali ni ya muhimu sana ndugu mleta madaKatika soma yangu nimekutana na hii aya. Naona inapishana na baiolojia niliyosoma miaka ile ya sekondari.
Quran 23:14
Kisha tukaiumba tone kuwa damu iliyoganda, na tukaiumba damu kuwa pande la nyama, kisha tukaliumba pande la nyama kuwa mifupa, na mifupa tukaivika nyama. Kisha tukamfanya kiumbe mwengine. Basi ametukuka Mwenyezi Mungu mbora wa waumbaji
English translation:
Then We made the sperm drop into a clinging clot, and We made the clot into a lump [of flesh], and We made [from] the lump, bones, and We covered the bones with flesh; then We developed him into another creation. So blessed is Allah, the best of creators.
Ukisoma tafsiri ya kiingereza na kiswahili unaelewa kwamba sperm inaingia kwenye damu iliyoganda. Nikatafuta wataalamu wa tafsiri kuhusu hiyo clot.
Prof Haanein Muhammad Makhloof, on page 508 of his Dictionary of the meanings of words of the Quran says that the Arabic word alaq translated into English as "clot" means frozen blood.
Maswali yangu
1. Sperm inaingia kwenye damu iliyoganda?
2. Damu iliyoganda inaishi ndani ya tumbo la mwanamke?
3. Quran haifahamu kuhusu yai la mwanamke?
4. Sperm peke yake inaweza kuumbwa ikawa mtu?
5. Kauli kwamba tukamfanya kiumbe mwingine inamaanisha nini?
battawi FaizaFoxy Mokiti adriz Kisai
Kwahiyo Mtume wetu Muhammad anasema uongo?achana na mambo ya kuigiza ya vitabu hiyo. Just google. Mudi hakujua science yoyote, achana na vitu kama hivyo
najua unajua what happens ila unataka reaction ya wale watu
Sijaelewa point yako ni nini hapa.Sanyansi na dini haviingiliani.
Usizichanganye
Allah aliyafanya haya akiwa na kina nani?Kwanza kosa kubwa umelifanya hapa kwenye kulinganisha Uhalisia (Qur'aan) na Biology.
Anzia hapa Kisha kutokea hapo uulize maswali yako :
Anasema Allah aliye juu :
13. Kisha tukamjaalia awe tone ya mbegu ya uzazi katika kalio madhubuti.
14. Kisha tukaiumba tone kuwa damu iliyo ganda, na tukaiumba damu kuwa pande la nyama, kisha tukaliumba pande la nyama kuwa mifupa, na mifupa tukaivika nyama. Kisha tukamfanya kiumbe mwengine. Basi ametukuka Mwenyezi Mungu Mbora wa waumbaji. (al-Muuminuun : 14)
Kwahiyo Mwamedi (S.A.W) alidanganya?Embryology ya Allah na Muhammad huwa inachekesha Sana
Damu inaganda (dead blood) alafu ipo ndani ya mwanamke
Damu iliyoganda inabadilika kuwa pande la nyama ! , Pande la nyama linabadilika linakuwa mifupa tupu alafu mifupa inakuja tena kuvalishwa nyama dah!
Ila sio makosa yake Muhammad, hakuwa na technology iliyokuwepo kipindi icho aweze kujua ukweli wa embriology kwa kuangalia stages
Sperm inaingia kwenye yai au damu iliyoganda?Umemaliza mkuu,,,,,Uislamu umejitosheleza na huwa na majibu siku zote licha ya wapuuzi Kama hawa kutaka kuuchafua
Yai la mwanamke ndio damu iliyoganda? Hili umelitoa wapi?Kwaupande wangu naona yupo sahihi during fertilization yai la kike ( damu iliyoganda) au ova itakuja mpaka kwenye fallopian tube ambapo fertilization ( urutubishaji) hufanyika, sperm itaingia kwenye ova na kurutubisha then itasafiri mpaka kwenye uterus body na kujiattach aside.
Kwenye matope tena[emoji849][emoji849][emoji849]Tafsiri mpaka mtu atumwe? Jua linazama kwenye matope??[emoji1787]
Unaweza kutuletea ufafanuzi ndugu msomi?Usisome Quran km unasoma gazeti la nipashe mkuu.....watu wanakaa vyuo vikuu kupata hizo elimu kwa miaka ming sana
Sayansi tayari imeeleza kwamba sperm inaingia kwenye yai na kuumba mtoto. Unaelezeaje hilo kosa la sperm kuingia kwenye damu iliyoganda?Hilo fumbo huenda lisifumbuliwe leo,
Jibu likaja baada ya miaka 1000 ijayo.
Wakati huo wa zamani hata watu waliulizana iweje Mungu aweze kuwafufuwa binaadamu wote wanaokufa,
Je atawajuwaje?wakati wapo wanaokufa na miili yao kuharibika?
Ndy hapo ikaja AYA ya Qurain,,
"NITAWAFUFUENI KILA MMOJA BILA KUPOTEZA ALAMA ZENU ZA VIDOLE."
hakika fumbo hili limevumbuliwa kizazi cha hivi karibuni kwamba kila mwanadamu ana alama za vidole ambazo haziingiliani na mwingine,,
Alama za vidole zipo kwenye Qurain.
Miaka 600 iliyopita.
Huu ni utani au uhalisia?Kwa maelezo yako hayo ndo pale Ile Aya ya 13 inasema kisha inakaa katika kalio madhubuti
Unataka kutuambia alikopi maandiko yaliyokuwepo kama alivyofanya kwenye maandiko ya wayahudi na wakristo?Kipindi Muhammad anaandika Koran elimu ya embryology ilikuwepo na akai copy kama ilvyo, sasa imekuwa advanced ndio unaona koran inaonekana imeandika mashudu
View attachment 2372618
Kwa kipindi chake sayansi ilikuwa hivyo aka copy kama ilivyo ila Kwa sasa sayansi ime advanceKwahiyo Mwamedi (S.A.W) alidanganya?
Hayo maneno haya3ndani na embryology mkuuIyo ndio Qurani imesheeni kila aina ya elimu sasa wewe fikiria miaka 1000 iliyopita elimu ya embryology ilikuwepo? ndio mjue kuwa mtume muahamad ayo maneno aliteremshiwa na mungu.
kwa hiyo mkuu bila alama za vidole Mungu asingetujua ? aya mambo ya dini bhana mna haki kuulizwa mdhibitishe yupo au hayupo kwelHilo fumbo huenda lisifumbuliwe leo,
Jibu likaja baada ya miaka 1000 ijayo.
Wakati huo wa zamani hata watu waliulizana iweje Mungu aweze kuwafufuwa binaadamu wote wanaokufa,
Je atawajuwaje?wakati wapo wanaokufa na miili yao kuharibika?
Ndy hapo ikaja AYA ya Qurain,,
"NITAWAFUFUENI KILA MMOJA BILA KUPOTEZA ALAMA ZENU ZA VIDOLE."
hakika fumbo hili limevumbuliwa kizazi cha hivi karibuni kwamba kila mwanadamu ana alama za vidole ambazo haziingiliani na mwingine,,
Alama za vidole zipo kwenye Qurain.
Miaka 600 iliyopita.
Hahahaha!! wakilala wakiamua wao uislamu tuu karibia kila jukwaa tena sasa hivi wamepumzika sana kuna kipindi unakuta mada za chuki na comments mbaya hadi utadhani mtaani hawaombani chimbo na kuishi pamoja.MIMI SIO MTU WA DINI ILA NAOMBA NIULIZE SWALI?
KWANINI HAWA WAKRISTO WAMEONEKANA NA CHUKI KUBWA SANA NA HAWA WAISLAM SANA SANA UKU JF AU NI MIMI TU NAONA IVO ?
hamna dini ya kweli iman kwa Mungu ipo kabla ya diniTuambie dini ipi niya kweli [emoji16][emoji16]
Kweli nimeamini ndani ya MBEGU kuna msitu na msitu sio kichaka.....mbegu