Wanasayansi naomba mnisaidie maana Quran inaniambia mtoto anaumbwa baada ya sperm kuingia kwenye damu iliyoganda

Eleza kwanini manuscripts za quran wanazo wazungu. Kwanini hazipo mecca na medina? Mnajuaje kama ndio zilizokuwepo zamani?
 
Hyo ndio shida ya kufanya binaadamu kuwa mungu
 
Wewe nenda kajifunze kisha ndio uongee na mimi huna kitu wewe
The Birmingham Quran Manuscript is currently believed to be the oldest Quran in the world. This manuscript consists of two leaves of parchment that are a fragment of an early Quranic manuscript dated between 568 AD – 645 AD
 
Hyo ndio shida ya kufanya binaadamu kuwa mungu
Quran ilianza kuandikwa kabla ya Muhammad kupata maono ya jibril kule mapangoni.

The birmingham quran manuscript is currently believed to be the oldest Quran in the world.

This manuscript consists of two leaves of parchment that are a fragment of an early Quranic manuscript dated between 568 AD – 645 AD
 
Duh hata ushahidi wa uongo wa manuscript ya vatikan huna?
 
Duh hata ushahidi wa uongo wa manuscript ya vatikan huna?
Quran ilianza kuandikwa kabla ya Muhammad kupata maono ya jibril kule mapangoni.

The birmingham quran manuscript is currently believed to be the oldest Quran in the world.

This manuscript consists of two leaves of parchment that are a fragment of an early Quranic manuscript dated between 568 AD – 645 AD
 
Na Quran ndio kitabu pekee hakuna mtu yeyote anaeweza kukigusa na kufanya anavyotaka yeye. Bora usilimu tu maana uko uliko hata ayo maneno ya paulo ya kumtukana Mungu yataondolewa utawekewa kua Mungu ameolewa na ana mimba kua makini zinduka mapema
 
Na Quran ndio kitabu pekee hakuna mtu yeyote anaeweza kukigusa na kufanya anavyotaka yeye. Bora usilimu tu maana uko uliko hata ayo maneno ya paulo ya kumtukana Mungu yataondolewa utawekewa kua Mungu ameolewa na ana mimba kua makini zinduka mapema
Nimeshakupigeni spana za kutosha. Sasa imebakia kwa ninyi kumpokea Yesu ili mpate msamaha wa dhambi na uzima wa milele. Yesu anakupenda.
 
Sheria zote za waislam ni juu ya mambo ya mwilini. Kutawadha, kunawa, kusali mara tano, kutoa zaka, kwenda maka nk yote ni maagizo ya mwilini.
Ukisema “zote” unazijua sheria zote za Uislamu?

Vipi kuhusu swala na Funga nazo ni za mwilini tu?

Uislamu ni dini ya inayoendana na mailumbile, hiwapori watu misingi ya kuishi vyema Duniani kwa ahadi za akhera bali inawapa vyote..
Shughuli zake ndizo zifikie kupinga agano la Mungu na Ibrahimu?
Kwahiyo Paulo alharamisha tohara kwa kusema anaefanyiwa hana chake kwa Yesu.
Wakati huohuo akapinga agano la Mungu na Ibrahimu.

Tumfate nani, baba wa Imani Ibrahimu (AS) au paulo,?
Ukiwa ndani ya Kristo Yesu unakuwa tayari umeitimiza torati yote. Kwasababu ndani ya Yesu unahesabiwa haki bure kwa neema kwa njia ya imani. Kwahiyo tohara ya mwilini si kitu tena bali Kristo ni yote katika yote.
Hizi ni fikra zako au za biblia?
Kama za biblia weka nukuu ya ulikoitoa.
Tohara inabakia kama suala la kiafya lakini sio kama namna ya kutaka kumpendeza Mungu maana ndani ya Kristo Yesu tayari unakuwa umeshampendeza Mungu.
Kwa hivyo unapingana na andiko la Mungu ?
Genesis 17:10-11
“10 This is my acovenant, which ye shall keep, between me and you and thy seed after thee; Every man child among you shall be bcircumcised.
11 And ye shall acircumcise the flesh of your foreskin; and it shall be a btoken of the ccovenant betwixt me and you”

Yani Mungu aliamuru watu watahiriwe wewe unasema kumuamini yesu inatosha kwahiyo tohara si lazima.

Samahani ila unaelewa unachokisema?
Unaelewa ‘Position’ unayojiweka?
 
Mbona comment yangu siioni humu vipi mmeona inawachoma mmeifuta ngoja niiweke tena maana niliikopi sehemu bado ninayo
Labda mfute kabisa huu uzi
 
Mbona comment yangu siioni humu vipi mmeona inawachoma mmeifuta ngoja niiweke tena maana niliikopi sehemu bado ninayo
Labda mfute kabisa huu uzi
Usipate tabu kaka hiyo apo


Wanasayansi wako wanasema sperm zinarushwa kutoka katika Seminal vesicle na sio korodani
Korodani ikisha tengeneza sperm cell inazipeleka katika Seminal vesicle kwa ajili ya kuwekewa virutubisho vingine muhimu na kurushwa kuenda ukeni kutungisha mimba

FACTION OF SEMINAL VESICLE
The main function of the seminal vesicles is to produce a fluid that is high in fructose, a sugar that provides nutrients for sperm cells, as well as other proteins, enzymes, and mucus. This fluid is a major component of semen, and it accounts for about 50%–80% of semen volume.2

Muscles in your seminal vesicles contract to move seminal fluid and sperm into your urethra and the out through your penis.

JE NA QURAN INASEMAJE?

Quran 86:6
Ameumbwa kwa maji yatokayo kwa kuchupa,
7.
Yatokayo baina ya mifupa ya mgongo na mbavu.

JE SEMINAL VESICLE IPO WAPI
michoro ya wanasayansi wako inaonyesha hapo chini ilipo hiyo SEMINAL VESICLE ukienda ju unakutana mfupa wa mbavu na ukienda pembeni unakutana na uti wa mgongo

Na kama unabisha sema hapo katika Seminal vesicle ukienda ju unakutana na mfupa gani na ukienda pembeni unakutana na mfupa gani

Sio wewe Championship hakuna kafiri yoyote katika Dunia hii anayeweza kuthibitisha kuwa Quran imeandika uongo
 
Skola wakongwe wameweka wazi kabisa muhammad alichomaanisha kwenye verse husika

UTI wa mgongo wa mwanaume na mbavu za mwanamke
 
Bado sijaela kinachoendelea katika hu Uzi
Wazolee ametuma tena post yake baada ya sekunde post haionekani ila ile sehemu ambayo post inatakiwa ionekana pameandikwa

Ignored post

Nani anafanya hivi moderator wa jf au mwenye Uzi

Nyinyi wagalatia mlidhani kuikosoa Qur'an ni kaz rahisi sasa ona mzificha post ili watu tusizione
 
Ni kweli kaka post 1430 haionekani kwako?
 
Kweli kaka post yangu ni 1429 ikaja yako 1430 ambayo sasa hivi haipo pameandikwa ignored post ikaja post ya Mokiti 1431 inaonekana

Sijawahi tokea nimeingia jf sijawahi kuona mambo kama haya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…