Championship
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,500
- 10,616
- Thread starter
-
- #1,461
Does a sperm becomes frozen blood?into means next/after
HATUA NI NYINGI NDUGU KATIKA IZO NI HAYO MAPITOKwahiyo sperm inakuwa damu iliyoganda?
Nimekuelewa sana Mtaalamu1. Sperm inaingia kwenye damu iliyoganda?
Hapo ni lugha tu imekuchanganya ama umejitia uziwi....... neno KUWA inamaanisha mabadiliko mfano barafu kuwa maji haimaanishi maji yanaingia kwenye barafu.
2. Damu iliyoganda inaishi ndani ya tumbo la mwanamke?
katika ukuaji wa binadamu lazima apitie hatua iyo......kaulizie mimba changa zinapotoka au kutolewa utajuzwa ni madongedonge ya damu (yaani ili kukuelewesha ni mfano wa damu iliyoganda inakuwa teketeke mfano wa kiini cha njano cha yai)
3. Quran haifahamu kuhusu yai la mwanamke?
Ndugu yai ni hatua ya uchavushaji ila aya inazungumzia ukuaji...zaidi aya ime fupisha kufikisha kile alichotaka kufikisha ila hatua zaidi zipo mana kuizungumzia miezi 9 ni hatua nyingi za ukuaji na mabadiliko hutokea hivyo zingetajwa zote ni makurasa yangetumika...
4. Sperm peke yake inaweza kuumbwa ikawa mtu?
jibu ni hapana na hakuna paliposemwa ivyo katika aya iyo zaidi ni aya imegusia ukuaji wa mwanadamu kwaufupi nakwaufupi huo ni ukweli mtupu.
5. Kauli kwamba tukamfanya kiumbe mwingine inamaanisha nini?
imeongezeka namba katika viumbe wa mwenyezi mungu na hii ni pale inapofikia hatua anapopuliziwa/wekewa roho.Ukienda katika tafsiri ya kiumbe basi ni kitu kilicho na uhai haijalishi ni kitu gani.
Na Allah Anajua Zaidi
HATUA ZILIZOFUATA BAADA YA HATUA ZA NYUMA KUPITADoes a sperm becomes frozen blood?
Majibu ya aina hii wenzako wameyaleta na tulipohoji zaidi wakaingia mitini.1. Sperm inaingia kwenye damu iliyoganda?
Hapo ni lugha tu imekuchanganya ama umejitia uziwi....... neno KUWA inamaanisha mabadiliko mfano barafu kuwa maji haimaanishi maji yanaingia kwenye barafu.
2. Damu iliyoganda inaishi ndani ya tumbo la mwanamke?
katika ukuaji wa binadamu lazima apitie hatua iyo......kaulizie mimba changa zinapotoka au kutolewa utajuzwa ni madongedonge ya damu (yaani ili kukuelewesha ni mfano wa damu iliyoganda inakuwa teketeke mfano wa kiini cha njano cha yai)
3. Quran haifahamu kuhusu yai la mwanamke?
Ndugu yai ni hatua ya uchavushaji ila aya inazungumzia ukuaji...zaidi aya ime fupisha kufikisha kile alichotaka kufikisha ila hatua zaidi zipo mana kuizungumzia miezi 9 ni hatua nyingi za ukuaji na mabadiliko hutokea hivyo zingetajwa zote ni makurasa yangetumika...
4. Sperm peke yake inaweza kuumbwa ikawa mtu?
jibu ni hapana na hakuna paliposemwa ivyo katika aya iyo zaidi ni aya imegusia ukuaji wa mwanadamu kwaufupi nakwaufupi huo ni ukweli mtupu.
5. Kauli kwamba tukamfanya kiumbe mwingine inamaanisha nini?
imeongezeka namba katika viumbe wa mwenyezi mungu na hii ni pale inapofikia hatua anapopuliziwa/wekewa roho.Ukienda katika tafsiri ya kiumbe basi ni kitu kilicho na uhai haijalishi ni kitu gani.
Na Allah Anajua Zaidi
Kumbe umekariri sio umeelewa sheria za kiislam huzijui wewe alafu uje tuletee iyo manuscript yako ya vatikan muongo mkubwa weweHamna kinachobadilika zaidi ya kwamba mnaacha kula mchana halafu mnakula usiku kucha.
Swala tano ni vitu repetitive, hakuna kipya. Mnarudia kitu kilekile mara tano kwa siku.
Sheria za waislam zote zimekopiwa kutoka agano la kale na kuongezea chache za hapa na pale hivyo nyingi nazifahamu.
Basi inaonesha hauelewi chochote kuhusu maswali yako na ukristo ni nini.
Ndugu Mtoa mada......Yafaa utambue kwamba iyo ni samari/ufupisho wa hatua za ukuaji wa mwanadamu kama ulivyoziona ni aya nne tu zimesimama kuielezea miezi kadhaa ya ukuaji 6-9 ivi.Ndugu mtoa mada yafaa utambue kwamba samari/ufupisho unamaanisha kuna vitu vinarukwa ili kuifupisha,naamini unakubaliana na ilo.Kama kuna udanganyifu wowote katika ufupisho huo ndio ungesema ni upi ila sio kukosekana kuelezewa hatua fulani (imerukwa) na ungali ushatambua huo ni ufupisho tu.Kama kweli upo kujifunza kwa kuuliza swali basi yafaa ujifunze kwa majibu yenye mashiko pasi chuki wala kushindwa kwa hoja mana hili ni swali jepesi tu na ninaamini umeelewa ama nikusihi usitafute USHINDI juu ya swali lako bali upate kujifunza kwayo.Majibu ya aina hii wenzako wameyaleta na tulipohoji zaidi wakaingia mitini.
1. Sperm inakuwa damu iliyoganda?
2. Damu iliyoganda inaishi ndani ya uterus? Tena Muhammad anasema itapuliziwa pumzi baada ya miezi minne.. kwahiyo damu iliyoganda inakaa humo ndani ikiwa haina uhai kwa miezi minne??
3. Hapo umeweka maelezo yako ambayo quran haijayataja.
4. Umeandika hata sielewi unaongelea kitu gani.
5. Hiki ndio kilele cha udanganyifu wa Allah. Damu iwe nyama halafu mifupa, tena mifupa inavalishwa nyama lakini muda wote huo haina uhai mpaka Allah apulizie.😂 Kwahiyo abortion kabla ya miezi minne ni sahihi?
kila muda anang'ang'ania abortion ni sahihi au sio sahihi. Jamani hata hili swali la kipumbavu nalo unauliza. Wakati jibu lake unalo na unalijua.Majibu ya aina hii wenzako wameyaleta na tulipohoji zaidi wakaingia mitini.
1. Sperm inakuwa damu iliyoganda?
2. Damu iliyoganda inaishi ndani ya uterus? Tena Muhammad anasema itapuliziwa pumzi baada ya miezi minne.. kwahiyo damu iliyoganda inakaa humo ndani ikiwa haina uhai kwa miezi minne??
3. Hapo umeweka maelezo yako ambayo quran haijayataja.
4. Umeandika hata sielewi unaongelea kitu gani.
5. Hiki ndio kilele cha udanganyifu wa Allah. Damu iwe nyama halafu mifupa, tena mifupa inavalishwa nyama lakini muda wote huo haina uhai mpaka Allah apulizie.[emoji23] Kwahiyo abortion kabla ya miezi minne ni sahihi?
Lete aya inayosema ile ni summary.mada......Yafaa utambue kwamba iyo ni samari/ufupisho wa hatua za ukuaji wa mwanadamu kama ulivyoziona ni aya nne tu zimesimama kuielezea miezi kadhaa ya ukuaji 6-9 ivi.
ni nini maana ya samari tunzie hapo mana usikute hata hujuiLete aya inayosema ile ni summary.
samari sio mpaka uambiwe ndugu kama umesoma basi unatambua tu hii ni samari kwani hujui mimba inakuwa kwa muda gani na hapo utajua inapitia hatua ngapi hadi kukamilika.Lete aya inayosema ile ni summary.
Wewe umejuaje kama hiyo ni summary? Ingekuwa summary isingetaja steps.samari sio mpaka uambiwe ndugu kama umesoma basi unatambua tu hii ni samari kwani hujui mimba inakuwa kwa muda gani na hapo utajua inapitia hatua ngapi hadi kukamilika.
Nimefatilia majadiliano yako na baadhi ya wadau humu jukwaani. Ila inaonekana haya maswali umeyauliza si kwa lengo la kutaka kujua ama kujifunza.Katika soma yangu nimekutana na hii aya. Naona inapishana na baiolojia niliyosoma miaka ile ya sekondari.
Quran 23:14
Kisha tukaiumba tone kuwa damu iliyoganda, na tukaiumba damu kuwa pande la nyama, kisha tukaliumba pande la nyama kuwa mifupa, na mifupa tukaivika nyama. Kisha tukamfanya kiumbe mwengine. Basi ametukuka Mwenyezi Mungu mbora wa waumbaji
English translation:
Then We made the sperm drop into a clinging clot, and We made the clot into a lump [of flesh], and We made [from] the lump, bones, and We covered the bones with flesh; then We developed him into another creation. So blessed is Allah, the best of creators.
Ukisoma tafsiri ya kiingereza na kiswahili unaelewa kwamba sperm inaingia kwenye damu iliyoganda. Nikatafuta wataalamu wa tafsiri kuhusu hiyo clot.
Prof Haanein Muhammad Makhloof, on page 508 of his Dictionary of the meanings of words of the Quran says that the Arabic word alaq translated into English as "clot" means frozen blood.
Maswali yangu
1. Sperm inaingia kwenye damu iliyoganda?
2. Damu iliyoganda inaishi ndani ya tumbo la mwanamke?
3. Quran haifahamu kuhusu yai la mwanamke?
4. Sperm peke yake inaweza kuumbwa ikawa mtu?
5. Kauli kwamba tukamfanya kiumbe mwingine inamaanisha nini?
Hili sio kweli kabisa. Quran haiwezi kuwa ufunuo kwasababu imeandika mambo ambayo tayari yalikuwa yameandikwa kwenye maandiko ya wayahudi na wakristo. Pia iliongeza stori nyingine za mtaani enzi hizo.Quran ni ufunuo uliotoka kwa Mwenyezi mungu mwenye ujuzi wa yote
Haya ni maelezo yenu mmeyaongezea kuisaidia quran lakini bado inakamatwa kirahisi kabisa. Damu na baadae nyama inayoandikwa na quran inakuwa haina uhai ila cha kushangaza inakaa kwa miezi minne ndipo ipate pumzi. Huu ni uongo ambao wote bado hamjaweza kuutafutia ujanja mmebaki kuzunguka hapa na pale.2. Quran, 96:2-''Created man from Aalaqa''
Aalaq has got three meanings, and both of them are correct when applied to the ayah;
i) Something which clings...'few days after fertilization, a blatocyst attachs and clings to the uterine wall'
ii) A leech like substance...'in early stages of development, an embryo looks like a leech'
iii) A clot of congealed blood...''in early stages of embryo development, there is a time when blood does not move and the embryo looks like clot''
Unalazimisha kutafsiri kitu kama kilivyo, kuna Codes mzee. Kuwa makini.Wote mnaruka stage ya mifupa tupu kwa Nini?
Damu kuganda ni damu mfu clot
Ki clot tu kichembe kikiingia kwenye moyo au kwenye ubongo mziki wake sio wa kitoto
Sasa hii clot kwenye mji wa uzazi kwa siku 40 inakuwaje, mwanamke si angeoza kizazi
Shida ni kwamba unaiamini kwamba Sayansi iko sahihi asilimia 100. Kitu ambacho sio kweli.Unalazimisha sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Nani kakwambia kuwa damu ile inatokana na yai. Rudi darasa la sita utaelewa tena damu inatoka wapi. Unajua kitu kinaitwa placenta.
Shida mnalazimisha sana vitabu vya dini kuwa relevant katika ulimwengu wa sasa wa sayansi jinis mnvyolazimisha mnazidi umbuka wafia dini.
Inaonekana hata hujui Quran ni kitu gani.Hili sio kweli kabisa. Quran haiwezi kuwa ufunuo kwasababu imeandika mambo ambayo tayari yalikuwa yameandikwa kwenye maandiko ya wayahudi na wakristo. Pia iliongeza stori nyingine za mtaani enzi hizo.
Nimeonesha ushahidi humu ndani kwamba nakala zilizopo birmingham england zinaonesha kuwa manuscripts za quran zilianza kuandikwa 568AD mpaka 645AD. Kipindi hiki Muhammad alikuwa hajaanza kupata kile kinaitwa kutembelewa na jibril mapangoni.
Haya ni maelezo yenu mmeyaongezea kuisaidia quran lakini bado inakamatwa kirahisi kabisa. Damu na baadae nyama inayoandikwa na quran inakuwa haina uhai ila cha kushangaza inakaa kwa miezi minne ndipo ipate pumzi. Huu ni uongo ambao wote bado hamjaweza kuutafutia ujanja mmebaki kuzunguka hapa na pale.
uzuri wa sayansi imekubali kurekebishwa sayansi kazi yake ni kuprove vitu wrong lakini kushikilia uongo mmoja kuwa ukweli kisa mtu mmoja kaambiwa na kitu kinachoitwa mungu huo ni ujuhaShida ni kwamba unaiamini kwamba Sayansi iko sahihi asilimia 100. Kitu ambacho sio kweli.
Nadhani unafahami kuna gunduzi nyingi za kisayansi tangu kale na zilipingwa wakaweka mambo sawa.
Na huenda hata miaka ya mbele labda karne moja mbele, kuna vitu vipya vikagunduliwa kiasi kwamba hata hii sayansi ya sasa ikawa si kitu
Usishangae hata hiyo Reproduction tunayoizungumzia hapa ikaja kugundulika katika angle ambayo ni modern zaidi
Sayansi inachunguza kila siku, hata haya mambi tunayodiscusd humu bado yanaendelea kuchunguzwa
Zingatia: Usilazimishe kuamini sayansi kwa 100%. Unaweza ukaiamini lakini isifike 100%