Wanasayansi naomba mnisaidie maana Quran inaniambia mtoto anaumbwa baada ya sperm kuingia kwenye damu iliyoganda

Chukua hii maana ya leech Chizi wewe
 
Unapo ng'ang'ania Google tutazidi kunyoosha maana nisha kupa na chanzo ushapewa utafute
 
Hapo ndipo mnapo yumba sana na kuwaona wapuuzi tu, kuanzisha mada ndani ya mada.
Mada inazungumzia, “Creation of man in the Quran” wewe tena unaanza kuleta habari sijui Yesu kristo mara Quran manuscript. Hii inafanya ku divert the centre of our topic na kubishania mambo mengine nje ya topic na kupelekea uzi kuwa mrefu na vurugu nyingi.
Unaonekana hata hujui mtume kazaliwa lini, lini kaanza kupewa ufunuo.
Hiyo age hapo ni ya makadirio na sio exactly ndio maana wanatoa btn this and this, carbon 14 technology sio kwamba na yenyewe iko exactly correct 100%.
NAOMBA MADA ISIELEKEE HUKU COZ HIZI HOJA ZAKO ZIPO NJE YA MADA.
 
Wewe hakuna muislamu alie ikataa tafsiri ya pande la nyama maana iko sahihi ila kichwa chako kilivyo kigumu wanakupa maana halisi ya neno Alaqa ili ukichaa wako ukutoke
Kama tafsiri ya pande la damu na nyama ni sahihi basi hiyo inatosha. Pande la damu/nyama linaishi miezi minne bila uhai.
 
Shida yenu ni kujifanya wajuaji,
Kiarabu ni lugha pana, neno moja la kiarabu linaweza kua na maana nyingi.
Shida yenu ni kung’ang’ania maana moja tu na kukataa zingine ndio hapo sasa unapoonekana zuzu..
Kwahiyo hilo neno hapo linetumika kwa tafsiri mbalimbali? Ndio maana kila muislamu anayo tafsiri yake na version yake ya quran.
 
Unalazimisha tafasir zako hii inaonesha namna gani huna elimu
Kwanini hili hamtaki kulitolea ufafanuzi?

Quran ilianza kuandikwa kabla ya Muhammad kupata maono ya jibril kule mapangoni.

The birmingham quran manuscript is currently believed to be the oldest Quran in the world.

This manuscript consists of two leaves of parchment that are a fragment of an early Quranic manuscript dated between 568 AD – 645 AD
 
Shida yenu ni kujifanya wajuaji,
Kiarabu ni lugha pana, neno moja la kiarabu linaweza kua na maana nyingi.
Shida yenu ni kung’ang’ania maana moja tu na kukataa zingine ndio hapo sasa unapoonekana zuzu..
Leteni ufafanuzi wa hili jambo acheni kurukaruka:

Quran ilianza kuandikwa kabla ya Muhammad kupata maono ya jibril kule mapangoni.

The birmingham quran manuscript is currently believed to be the oldest Quran in the world.

This manuscript consists of two leaves of parchment that are a fragment of an early Quranic manuscript dated between 568 AD – 645 AD
 
Umeamua kubadili mkao nakuja hukohuko pia
Leo nakujibu Short cut alaf Mungu akipenda kesho naku malizia
Manuscript haitutishi hata kama ingekuwa imeandikwa kabla ya dunia kuumbwa
 
Kwahiyo hilo neno hapo linetumika kwa tafsiri mbalimbali? Ndio maana kila muislamu anayo tafsiri yake na version yake ya quran.
Bahati nzuri wanao kujibu wanakuekea na screen shot ili usiseme kua limetungwa yani iko hivi ili uijadili quran tukufu unapaswa usome haswa na sio Google
Bro.
Kila mtu ana andika anacho ona yeye yuko sahihi mmefeli pakubwa baada ya kuyatumia maneno ya quran kwa tafsiri sisisi
 
Kwahiyo mwakani tutegemee tafsiri nyingine maana mtakuwa mmefanya editing ya quran?
Wewe huelewi ni hivi neno lenyewe lina maana zaidi ya moja na zote ni sahihi hapo sio mwakani hata sasa ukileta mada inayohusu kitu cha msingi unajibiwa
Quran haisubir mwakani bro kwani wewe uliyatarajia majibu si ulikuwa na majibu yako kichwani
Hiyo ndiyo quran tukufu
 
Kama tafsiri ya pande la damu na nyama ni sahihi basi hiyo inatosha. Pande la damu/nyama linaishi miezi minne bila uhai.
Hiyo ya miezi minne ni ya kwako hadithi nime kufafanulia kwa hadithi mwenzie kama utaendelea kubisha shauri yako mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…