Leech kwa kiswahili ni rubaUmeshapewa maana na umeshaikataa hivyo uone kua hatuna muda wa kuendelea na mpumbavu
Muhammad ameelezeaje ? Nipe maelezo ya hadithHakuna alie mpinga Mohamed kwanza ila wewe upo kibishani tu kabla mada haijaendelea uliulizwa unajua maana ya neno Alaqa
Na hukujibu na screen shot umepewa
Alafu ikatae hii maana au muweke mtaalamu wako wa lugha anae ipinga hii maana ili nimpopoe hapa
Na kama ujamleta mtetezi wa kuikataa hii maana basi fahamu kua wewe ni kafiri usio na elimu alafu naja kukujibu kwenye hadithi
Nahii ndio itakuwa nafasi yako ya mwisho kusoma.View attachment 2380012
Kijibu kwenyewe mliingiza habari za asubuhi, mchana na jioni. Wewe ulipata wapiHizi zimeshajibiwa kule. Leta mpya.
Hahaha! Ndio mnakimbiliaga hio kauli Mkishaona hali ni ngumu.[emoji23][emoji23][emoji23]Wewe itakuwa unahatarisha usalama ndio maana hujawekwa jukwaa la dini. Acha siasa kali za kujitoa mhanga.
[emoji106]Modereta wa humu sio waislamu
Hao wazeee wa Ban.Mpuuzi wewe mmempiga ban ili mujenge hoja zenu hayo majibu ni ya kwenu hatu yatambui
Usijizime Data soma qoute nambari 1556Leech kwa kiswahili ni ruba
Sema Leo hii tuondoe neno damu iliyoganda tuweke ruba
Moderator hawataki utoto wa kurudia mchoro na maneno yaleyale.Mmeifuta tena post no 1743 endeleeni kufuta
Haya unayosema kuhusu yai hayapo. Pale sperm inakuwa damu iliyoganda hivyo jipange upya kabla hujaendelea kurusha matusi.Duh kweli nimeani kuwa nyiyi thinking capacity yenu ni ziro ndio maana mnadondokea kwenye masanamu. Kipi cha ajabu hapo wakati yai (ovary) la mwana mke huwa nidamu ambayo iko ktk form ya liquid inapokutana na mbegu ya mwanaume nayo iko ktk form ya liquid kinacho zalishwa hapo kinahitajika kiwe ktk form ya solid sasa bila hilo yai lilochanganyika na mbegu kuganda yaani kuwa solid huyo kiumbe ataumbika vipi ? wewe yaani unashindwa hata kuona mfano mdogo wa utengenezaji wa ice cream.?
Tutajie hatua zilizotajwa.wewe usitoe akili mwako aya haikusema hivo hujui.
mwanzo mwa aya hiyo kwanza Allah alimuumba binaadam kwa udongo kisha akaja muumba binaadam kwa manii na akanza kupanga hatua zake,
Unapenda sana mapambano weweHao wazeee wa Ban.
Nakuja kivingine sasa hivi nitakuja na uzi mpya,
Waufungie na huo na wanipige Ban tena, lakini ujumbe utafika tu.
Ulishajibiwa post # 1714,Quran ilianza kuandikwa kabla ya Muhammad kupata maono ya jibril kule mapangoni.
The birmingham quran manuscript is currently believed to be the oldest Quran in the world.
This manuscript consists of two leaves of parchment that are a fragment of an early Quranic manuscript dated between 568 AD – 645 AD
The new testament of the bible was first written in Greek,Quran inazo tafsiri nyingi sana. Hamtaki tuziite version lakini translations za biblia mnapenda kuziita version.
Yaah, ni kweli kabisa huyu jamaa Mokiti na mwenzake championship hawapo kwaajili ya kujifunza ama kutaka kuijua kweli.Huyu Motiki hana logic yoyote isipokua ni kuikashifu dini ya uislam, mtu aliyekua timamuangejenga hoja kwann Ktk Qur-an kuna mazungumzo hadi ya wanyama lakini si kwa anachokifanya huyo kafiri mwenye kujiuna anajua na mwenye akili kuliko yeyote, hivyo ningekushauri tu uachane nae maana dini yetu imeshatuambia kua hakuna kulazimishana ktk dini, na kama anaona Qur'an imekosewa basi aandike ya kwake ambayo anaona ipo sahihi na mwisho yeye ana dini yake na sisi tuna dini yetu haijalishi anaifaham vipi hiyo Qur'an ila ameshaamua kufanya kufuru basi haina haja ya kuendelea kujibizana nae huyo kafiri.
Wewe alie kwambia kua othman ndio wakwanza kuiandika quran ni nani yeye ilikuwa kazi yake ni kuikusanya na sio ndio wa kwanza kuiandikaUthman ameandika quran 650AD lakini hizo manuscripts zinaonesha kuandikwa kati ya 568 na 645AD na muhammad kapata maono 610 mpaka 632AD.
Mpaka hapo huoni kwamba hizo document zilikuwepo kabla ya hizo za uthman? Hasa ukizingatia kwamba kipindi muhammad yupo quran ilikuwa ipo kwa kukariri tu.
Mpaka sasa Hujaleta translation ya kiswahili iliyo andika ruba badala ya damu iliyogandaUmeshapewa maana na umeshaikataa hivyo uone kua hatuna muda wa kuendelea na mpumbavu
Wee si unapambana hapa kubishana na hoja unazopewa? Nenda kwenye uzi kule ukajibu MaswaliUnapenda sana mapambano wewe
Reference ipi unataka wakati nimeshakuambia nazungumzia manuscripts zilizopo birmingham?Ulishajibiwa post # 1714,
Nami pia nishakujibu huko nyuma, unapenda kurudiarudia utumbo tu.
Halaf ungekua mtu anayejielewa, ungeleta reference yako ya kile ulichoandika.
Na sio kujiandikia utumbo tu bila reference.
Ungeleta reference ya kile unachodai tukifanyie operation…
Yesu alizungumza aramaic kama lugha mtaani kama kilivyo kiswahili hapa Tanzania ingawa wayahudi walitumia hebrew kama lugha yao ya asili (kama wachaga au wapare au wanyakyusa wanavyotumia lugha zao) na pia greek language ilikuwepo kama lugha ya kimataifa (pamoja na hiyo aramaic). Kwahiyo biblia ingeweza kuandikwa kwa lugha yoyote kati ya hizo kwasababu zilikuwa zinafahamika.The new testament of the bible was first written in Greek,
wakat yesu mwenyewe alikua anazungumza Aramaic, na iliandikwa miaka mingi baada ya yesu kuondoka.
Ishu ya bible kuwa na versions nyingi, sio ss ndio tumeandika na kuziita hivyo, usitusingizie sisi 😀.
Nyie wenyewe ndio mmeandika na kuziita versions.
Mfano:
King James Version
Bible union version
English standard version
New international version
New revised standard version
Zipo nyingi mno, kuna mpaka African bible 😀