professional Driver
JF-Expert Member
- Sep 23, 2022
- 2,959
- 3,510
Utetezi wako unaonesha wazi kua hiyo ni dini ya maslahi haina uongozi madhubuti kuzibiti walaghai wa Dini wasije kuiharibu dunia kwa kutoa vitabu tena wanavinasibisha na maneno ya Mungu na wanachwa bila kukemewaTumeshakuambia reference kwenye english translation ni KJV.
Koran 2:73 So We instructed, “Strike the dead body with a piece of the cow.” This is how ˹easily˺ Allah brings the dead to life, showing you His signs so that you may understandAya nioneshe panaposema Allahu anafufua kwa pande la nyama alafu koleza nasubiri hapa wewe si unajifanya kichwa ngumu.
Koran 2:73 So We instructed, “Strike the dead body with a piece of the cow.” This is how ˹easily˺ Allah brings the dead to life,Nipe aya inayosema Allahu kafufua kwa pande la nyama hapa mimi naijua quran bro wewe hata neno na tumewaelekeza unaliandika mwenyewe na hulioni hapo kweli hamna kitu au nikumalizie na mstari huu chochote anachotaka yeye usema kua na kikawa.
Jibril hakuwa anamlazimisha muhammad asome?Umeona ulivyo na kichwa box haya nioneshe hapo kwenye maneno yangu kama nimemtaja hata jibril koleza nasubiri
Damu ni nini?Yai la kike ni tishu na sio damu ilioganda, umesoma biolojia ipi wewe? 6 years sijawahi sikia ovary ni damu iliyoganda.
Hahahah nilikuuliza swali dogo hapo awal unajua maana ya neno recite ambalo limetumika kutasiria neno iqra kama huwezi usiogope we nambie nikufundishe hapaJibril hakuwa anamlazimisha muhammad asome?
Version inayotambulika kama standard ni KJVUnaanza kukataa version za wakubwa wako
Kwahiyo hamfahamu mwandishi ni nani?Prof Thomas says the writer of this manuscript could have heard the Prophet Muhammad preach
Kwahiyo muhammad yeye alikuwa anazisoma na kukariri kutoka kwenye kitabu cha jibril. Halafu akishamaliza anawakaririsha wengine halafu wao badala ya kukariri wakaamua kuziandika?Umeona ulivyo na kichwa box haya nioneshe hapo kwenye maneno yangu kama nimemtaja hata jibril koleza nasubiri
Tumeshakuambia standard kwa kingereza ni KJVUtetezi wako unaonesha wazi kua hiyo ni dini ya maslahi haina uongozi madhubuti kuzibiti walaghai wa Dini wasije kuiharibu dunia kwa kutoa vitabu tena wanavinasibisha na maneno ya Mungu na wanachwa bila kukemewa
Nawapa jibu sasa kwanza mmerudia tena kosa lile lile nilicho taka mimi ni aya inayosema kua Mungu amechukua nyama na kumpiga mtu akafufuka mkaniletea aya hiyo hiyo tena iko wazi inajielezaKoran 2:73 So We instructed, “Strike the dead body with a piece of the cow.” This is how ˹easily˺ Allah brings the dead to life, showing you His signs so that you may understand
Hiyo unaitambua wewe tu wenzio hizo nyingine wanazitumia wewe unasema inatambulika ya JamesVersion inayotambulika kama standard ni KJV
Kwahiyo quran yote inategemea tu kama muhammad alikuwa sahihi?
Majibu rahisi kwanza hujaonesha sehemu mimi nimesema kua jibril ana kitabu anamkaririrsha Mohammad.Kwahiyo muhammad yeye alikuwa anazisoma na kukariri kutoka kwenye kitabu cha jibril. Halafu akishamaliza anawakaririsha wengine halafu wao badala ya kukariri wakaamua kuziandika?
Kwahiyo quran yote inategemea tu kama muhammad alikuwa sahihi?
Oya soma hii yani hizo zote ni bibilia na mnadai ni maneno ya Mungu.Tumeshakuambia standard kwa kingereza ni KJV
Koran 2:73 So This is how ˹easily˺ Allah brings the dead to life,Nawapa jibu sasa kwanza mmerudia tena kosa lile lile nilicho taka mimi ni aya inayosema kua Mungu amechukua nyama na kumpiga mtu akafufuka mkaniletea aya hiyo hiyo tena iko wazi inajieleza
mosi walio piga nyama ili afufuke alie kufa sio Mungu kitendo kilichofanywa hapo kimetafsiriwa na maneno ya chini alipo sema kua showing you his sign so that you may understand.
Fahamu hiko ni kisa cha waisraeli waliokuwa wanamfuata musa kumuomba ili awafufulie mtu wao alie kufa hivyo Allahu aka wapa kazi hiyo ya kufanya hao wenyewe kwa maana hawa kua ni manabii pia hawa kua ni Mungu
So hapo walipewa mfano tu kidogo kua Mungu anaweza kufanya chochote .
Kwanini wachinje ngo'mbe
Jibu walipo enda kwa musa kuhusu kuomba hivyo wakaanza kumwambia kwa kumuamuru mtume wa Mungu na hivyo Mungu nae akawapa adhabu ya kumtafuta ng'ombe kwanza wakishampata ndio majibu yao wayapate kuhusu kufufuliwa wanataka
Na wala hiyo haina maana kua hiyo ndio namna pekee ya kufufua hapajesemwa hivyo kwenye aya natumai mmenielewa wewe na mokit mpe aisome post hii
Naona ukishindwa hoja unatoa mpya nakurudia hivi punde.Kuna mda kama mwaka alikuwa mgonjwa wa schizophrenia
Muhammad aliendelea kwa kipindi kama hicho na vile akidhani amelala (alikuwa na uhusiano wa kimapenzi) na wake zake, na kwa kweli hakufanya........ Sahih al-Bukhari 6063
Alikuwa anadhani kafanya jambo kumbe hajafanya, ndio unakuta story za kupaa na punda mwenye mabawa
Unalazimisha maana unayo taka wewe waislamu wanacho jua ni hiki kuhusu AllahuKoran 2:73 So This is how ˹easily˺ Allah brings the dead to life,
Msingi ndio huo Allah ndio njia yake kufufua wafu , inamaana nyie kina Abdool siku ya mwisho mtakuwa unapigwa na pande la nyama unafufuka unapiga mwingine anafufuka ng'ombe [emoji23][emoji23][emoji23] an heshimika kama Hindu mmempa na surah kabisa
Na kwa bahati nzuri quran inajieleza yenyewe ikiwa vizuri kabisaKoran 2:73 So This is how ˹easily˺ Allah brings the dead to life,
Msingi ndio huo Allah ndio njia yake kufufua wafu , inamaana nyie kina Abdool siku ya mwisho mtakuwa unapigwa na pande la nyama unafufuka unapiga mwingine anafufuka ng'ombe [emoji23][emoji23][emoji23] an heshimika kama Hindu mmempa na surah kabisa
Ni translation, shida Yako mbona aijaijua mpaka SasaOya soma hii yani hizo zote ni bibilia na mnadai ni maneno ya Mungu.View attachment 2380743