Championship
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,500
- 10,616
- Thread starter
- #221
Anzisha mada ya udhaifu wa biblia tutakujibu kwasababu wataalamu tunafahamu hakuna weakness wala mistake mule.Si kweli hata kidogo, bibilia ndio kitabu chenye udhaifu mwingi sna, vitu Vingi ni vya kutunga mf
Walio ishi na yesu walimwita mwalimu, sasa wewe unaanzaje ku mwita mungu?, kati ya wao na wewe na ana mjua yesu zaidi?,
Na ukiangalia tukio la kufa yesu duuh hadi aibu hovyo hovyo ni uongo uongo sasa sijui hilo hulijui ila I'm sorry mkuu