Wanasayansi naomba mnisaidie maana Quran inaniambia mtoto anaumbwa baada ya sperm kuingia kwenye damu iliyoganda

Wanasayansi naomba mnisaidie maana Quran inaniambia mtoto anaumbwa baada ya sperm kuingia kwenye damu iliyoganda

Hata hujui unahoji nini. Yesu limetoka kwenye jina Yeshua. Full stop.

Jina lake maana yake ni mwokozi kutoka katika dhambi.
Hivi kwa akili yako unadhani hivi sasa hakuna watu wanaoitwa Yeshua au Jesus?!

Narudia, usijikite kwenye majina bali sifa za icon husika!! Kwa mfano, mtu akiuliza tofauti kati ya Mussa na Yesu, sitaangalia majina yao kwa sababu kuna akina Mussa na Yesu kibao duniani.

In contrary, ni Yesu MMOJA TU ndie uzaliwaji wake ni tofauti na wanadamu wengine including Mussa... kwa maana alizaliwa bila mama yake Maryam kukutana na mwanaume!

Ni YESU MMOJA TU ndie alikuja duniani kuitangaza Injili

Ni Yesu MMOJA TU ambae maandiko yanasema atarejea duniani utakapofika mwisho wa dunia!

Hapo unaweza kuongezea na mengine ambayo ni ya kiroho na kiimani hata kama yanafanywa na wanadamu wengine... kama vile kutenda miujiza!!

Na sifa hizo ndizo za Issa wa kwenye Quran

Anyway, ngoja niachane na wewe manake nimegundua una uelewa mdogo sana wa hata Christian Theology!
 
Rudi kwenye post zote ulizouliza nikajibu.
In short, HUNA MAJIBU kwa sababu hujui!!!

Kwa mfano swali la kwanza nimekuuliza tofauti za Yesu na Issa, ukasema Yesu alikufa na akafufuka siku ya tatu!

Nilipokuuliza ina maana Wayahudi wasioamini Yeshua hakufa na kufufuka inamaanisha Yeshua sio Yesu... UMESHINDWA KUJIBU HILO SWALI
 
Anayeweweseka hap NI wewe Una spend hours kufatilia kitu unachokiita useless kisicho na maana,, useless mind hata hufahamu kitu useless kwako kinaweza kua useful Kwa mwingine

Kwa iyo kinachokuuma NI quran kua na uandishi wenye vina,,,andika na wewe KITABU chenye vina update followers kama rahisi,,wakati wewe unaumia na vina kina wakristo Kwa wivu wao wanajaribu kusoma biblia Kwa mahadhi kama waislam huenda ikawa rahisi kwenu kuhifadhi bibilia yote kichwani lkn wapi wamedondokea pua,,,
Hakuna point hata moja hapo ninachokiona NI muendelezo WA muweweseko WA MTU mwenye chuki kubwa na ufahamu WA kuungaunga,,wewe hutaki kujifunza Bali unatafuta kejeli na mtu kama Mimi nakupeleka hivohvi utakavyo.
Unaweweseka Sana , Koran ni rap song Yani shetani unakuta wanaishia kina kimoja na Allah

Wakristo ndio waanzilishi wa kuimba biblia ,ingia u tube uwakute wanaimba na tena Kuna vichwa wamekariri balaa

Na pia ka kitabu kama korani kako kama ka kipeperushi ni siku mbili tu unakakariri chote
 
Kisha tukaiumba tone kuwa damu iliyoganda, na tukaiumba damu kuwa pande la nyama, kisha tukaliumba pande la nyama kuwa mifupa, na mifupa tukaivika nyama.
Sina elimu ila hapa mboni panaeleweka!?, tone(sperm) inakuwa damu, then damu inakuwa nyama na nyama inakuwa mifupa, mifupa inavikwa nyama, si uumbaji tayari au mm ndo sijaelewa?
 
Uzi huu unemdhalilisha vibaya Championship kila akigusa anakutana na spana mpaka hana majibu ya maswali anyoulizwa na kubadilisha mada.

Sikujua mkuu Chige kama una madini kiasi hizi yaani una uliza maswali yenye mantiki taratibu bila kupaniki mpaka mtu anachanganyikiwa na kukimbia maswali kongole sana umeiheshisha Jf na hivyo ndivyo Great thinker wa kweli Anatakiwa awe yaani unauliza kwa mpangilio ,hekima na kujibu kea ufasaha kila swali unaloulizwa.
 
Mkuu umepewa mbususu chakata uwezavyo achana kujadili yanayoendelea ndani yake badala yakuchakata ipo siku utarud kuhoji pia kwanin tunalipishwa mahali wakati mungu kaumba burebure tujibwedee.
 
Hivi kwa akili yako unadhani hivi sasa hakuna watu wanaoitwa Yeshua au Jesus?!

Narudia, usijikite kwenye majina bali sifa za icon husika!! Kwa mfano, mtu akiuliza tofauti kati ya Mussa na Yesu, sitaangalia majina yao kwa sababu kuna akina Mussa na Yesu kibao duniani.

In contrary, ni Yesu MMOJA TU ndie uzaliwaji wake ni tofauti na wanadamu wengine including Mussa... kwa maana alizaliwa bila mama yake Maryam kukutana na mwanaume!

Ni YESU MMOJA TU ndie alikuja duniani kuitangaza Injili

Ni Yesu MMOJA TU ambae maandiko yanasema atarejea duniani utakapofika mwisho wa dunia!

Hapo unaweza kuongezea na mengine ambayo ni ya kiroho na kiimani hata kama yanafanywa na wanadamu wengine... kama vile kutenda miujiza!!

Na sifa hizo ndizo za Issa wa kwenye Quran

Anyway, ngoja niachane na wewe manake nimegundua una uelewa mdogo sana wa hata Christian Theology!
Issa wa kwenye quran mtulie naye hukohuko msijaribu kumtafutia umaarufu kupitia Yesu Kristo.

Yesu ni Mwana wa Mungu, alikuwepo milele kabla hajapitia tumboni mwa Mariamu na kuchukua mwili, alihubiri wokovu wa ulimwengu wote, alihukumiwa kipindi cha pontio pilato, akasulubiwa, akafa, akazikwa, akafufuka, akapaa mbinguni na atarudi tena kuuhukumu ulimwengu.

Haya yote yameandikwa na mitume pamoja na waandishi wa historia kule Israel.

Sasa issa hajulikani huko Israel.
 
Ndugu zangu waisilamu wenye I'lmu, mwelewesheni huyu mleta mada, ila kuna member hapo juu ameshaingia kuvuruga kama kawaida yake. Tafadhali mkuu Mokiti huna cha maana kaa pending waachie wanaotaka kufahamu kuhusu uisilamu,
Aeleze vizuri na vile jua linazama kwenye tope.
 
In short, HUNA MAJIBU kwa sababu hujui!!!

Kwa mfano swali la kwanza nimekuuliza tofauti za Yesu na Issa, ukasema Yesu alikufa na akafufuka siku ya tatu!

Nilipokuuliza ina maana Wayahudi wasioamini Yeshua hakufa na kufufuka inamaanisha Yeshua sio Yesu... UMESHINDWA KUJIBU HILO SWALI
Wayahudi hawana mashaka na kusulubiwa, kufa, kuzikwa na kufufuka kwa Yesu Kristo. Mambo yote tunayosoma kuhusu yeye yaliandikwa na wayahudi wenyewe kuanzia kwenye biblia na hata kwenye historia.
 
Sina elimu ila hapa mboni panaeleweka!?, tone(sperm) inakuwa damu, then damu inakuwa nyama na nyama inakuwa mifupa, mifupa inavikwa nyama, si uumbaji tayari au mm ndo sijaelewa?
Kwahiyo kuna wakati nyama inakuwa mifupa? Sperm inakuwa damu?
 
Na aya kama hizi au mambo kama haya ndio huwafanya wenye akili kujiuliza huyu Muhammad hakusoma wala kuandika hajui,je elimu kubwa kama hii kaitoa wapi kama si Maneno ya Mola wake Malezi?

Na scientifically hizo stages za ukuaji zipo exsactly kama Qur'an ilivyo eleza,,,Allahu Akbar!
Plagiarism haijaanza leo.
 
Issa wa kwenye quran mtulie naye hukohuko msijaribu kumtafutia umaarufu kupitia Yesu Kristo.

Yesu ni Mwana wa Mungu, alikuwepo milele kabla hajapitia tumboni mwa Mariamu na kuchukua mwili, alihubiri wokovu wa ulimwengu wote, alihukumiwa kipindi cha pontio pilato, akasulubiwa, akafa, akazikwa, akafufuka, akapaa mbinguni na atarudi tena kuuhukumu ulimwengu.

Haya yote yameandikwa na mitume pamoja na waandishi wa historia kule Israel.

Sasa issa hajulikani huko Israel.
Yesu ni mwana wa Mungu na Aliye mzaa Yesu ni nani
Alafu Mungu amesema kwake hakuna kubadilika je huyo alie amua kubadilika ni Mungu yupi
Pili Mungu ahis njaa lkn Yesu mpaka ibilisi alimjaribu alivyo ona njaa .
Siku tatu alizo kufa Mungu wenu Dunia ilimilikiwa na nani?
 
Wayahudi hawana mashaka na kusulubiwa, kufa, kuzikwa na kufufuka kwa Yesu Kristo. Mambo yote tunayosoma kuhusu yeye yaliandikwa na wayahudi wenyewe kuanzia kwenye biblia na hata kwenye historia.
We maya hudi wana mashaka mbona tena kwenye bibilia hiyo hiyo inaweka wazi
 
Katika soma yangu nimekutana na hii aya. Naona inapishana na baiolojia niliyosoma miaka ile ya sekondari.

Quran 23:14

Kisha tukaiumba tone kuwa damu iliyoganda, na tukaiumba damu kuwa pande la nyama, kisha tukaliumba pande la nyama kuwa mifupa, na mifupa tukaivika nyama. Kisha tukamfanya kiumbe mwengine. Basi ametukuka Mwenyezi Mungu mbora wa waumbaji

English translation:

Then We made the sperm drop into a clinging clot, and We made the clot into a lump [of flesh], and We made [from] the lump, bones, and We covered the bones with flesh; then We developed him into another creation. So blessed is Allah, the best of creators.

Ukisoma tafsiri ya kiingereza na kiswahili unaelewa kwamba sperm inaingia kwenye damu iliyoganda. Nikatafuta wataalamu wa tafsiri kuhusu hiyo clot.

Prof Haanein Muhammad Makhloof, on page 508 of his Dictionary of the meanings of words of the Quran says that the Arabic word alaq translated into English as "clot" means frozen blood.

Maswali yangu

1. Sperm inaingia kwenye damu iliyoganda?
2. Damu iliyoganda inaishi ndani ya tumbo la mwanamke?
3. Quran haifahamu kuhusu yai la mwanamke?
4. Sperm peke yake inaweza kuumbwa ikawa mtu?
5. Kauli kwamba tukamfanya kiumbe mwingine inamaanisha nini?

battawi FaizaFoxy Mokiti adriz Kisai
Mnajua nyie kila siku tunawaambia Quran huwezi kutafsiri hivyo kama zile tafsiri za bongo movie. Kutafsiri Quran kunahitaji ujuzi wa hali ya juu sio tu uende google halafu utafsiri
 
Uzi huu unemdhalilisha vibaya Championship kila akigusa anakutana na spana mpaka hana majibu ya maswali anyoulizwa na kubadilisha mada.

Sikujua mkuu Chige kama una madini kiasi hizi yaani una uliza maswali yenye mantiki taratibu bila kupaniki mpaka mtu anachanganyikiwa na kukimbia maswali kongole sana umeiheshisha Jf na hivyo ndivyo Great thinker wa kweli Anatakiwa awe yaani unauliza kwa mpangilio ,hekima na kujibu kea ufasaha kila swali unaloulizwa.
Wewe jikite kukariri quran hapo madrasa. Hiyo ndio level yako.
 
Back
Top Bottom