Wanasayansi naomba mnisaidie maana Quran inaniambia mtoto anaumbwa baada ya sperm kuingia kwenye damu iliyoganda

Wanasayansi naomba mnisaidie maana Quran inaniambia mtoto anaumbwa baada ya sperm kuingia kwenye damu iliyoganda

Usiweke ma copy tu

hii link ingia kaisome uje na nondo za kueleweka
maswali nakupa
1. Je ni web sahih ya waislam?
2. Kama jibu ni ndio , Je tafsri iliyowekwa ni sahih ya skola husika
3. Kama jibu ni ndio je skola husika yupo sahih au kakosea

Shida yako uitaki quran unataka scholers sio
 
Shida yako uitaki quran unataka scholers sio
Unaona sasa , hii game hauiwezi kijana
maswali bado yapo
1. Je ni web sahih ya waislam?
2. Kama jibu ni ndio , Je tafsri iliyowekwa ni sahih ya skola husika
3. Kama jibu ni ndio je skola husika yupo sahih au kakosea
 
Kumbe sperm zinatokea kati ya mbavu na uti wa mgongo?
Kwanza hujajitaidi kumtetea njiti wako nataka jibu kisayansi

Turudi kwenye majibu QURAN haija sema sperm zina tengenezwa kwenye ribs na spinal

The ayah talks about where the fluid is formed ready for ejaculation, not where sperms are produced. Look at the human anatomy, the prostate where semen is fully formed and collected before ejaculation is exactly between backbone and ribs.

Even though ribs and backbone are higher above, but it is used as a reference to find a center.

This is similar to when we normally say that our head is between our shoulders, when head is actually above shoulders.
 
Usiweke ma copy tu

hii link ingia kaisome uje na nondo za kueleweka
maswali nakupa
1. Je ni web sahih ya waislam?
2. Kama jibu ni ndio , Je tafsri iliyowekwa ni sahih ya skola husika
3. Kama jibu ni ndio je skola husika yupo sahih au kakosea

Ndio ujinga wenu unapo anzia hapo wewe na sisi wepi wenye DINI
 
Even though ribs and backbone are higher above, but it is used as a reference to find a center.

This is similar to when we normally say that our head is between our shoulders, when head is actually above shoulders
Yaani ni vichekesho..🤣🤣🤣 mnahangaika sana kutetea uongo wa allah.
 
Yaani ni vichekesho..[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mnahangaika sana kutetea uongo wa allah.
Wakati unaendelea kujitekenya uridi utwambie kisayansi

Njiti Alizaliwaje bila ya Baba na mlima naona unakushindwa kuutaja Au unataka nikucheke tu maana hata juhudi ufanyi
 
Ndio ujinga wenu unapo anzia hapo wewe na sisi wepi wenye DINI
Ndio unijibu maswali yangu sasa

maswali nakupa
1. Je ni web sahih ya waislam?
2. Kama jibu ni ndio , Je tafsri iliyowekwa ni sahih ya skola husika
3. Kama jibu ni ndio je skola husika yupo sahih au kakosea
 
Ndio unijibu maswali yangu sasa

maswali nakupa
1. Je ni web sahih ya waislam?
2. Kama jibu ni ndio , Je tafsri iliyowekwa ni sahih ya skola husika
3. Kama jibu ni ndio je skola husika yupo sahih au kakosea
Unako taka Wewe ni kukubalika kwa maana yako umepewa maana ya neno kwa neno hutaki

Naona unashindwa mjadala kistaarabu

Aya nitajie mlima mrefu ninao weza kuziona falme zote za Dunia

Na Yule Njiti alipatikanaje bila Baba
 
Unako taka Wewe ni kukubalika kwa maana yako umepewa maana ya neno kwa neno hutaki

Naona unashindwa mjadala kistaarabu

Aya nitajie mlima mrefu ninao weza kuziona falme zote za Dunia

Na Yule Njiti alipatikanaje bila Baba
maswali bado yapo
1. Je ni web sahih ya waislam?
2. Kama jibu ni ndio , Je tafsri iliyowekwa ni sahih ya skola husika
3. Kama jibu ni ndio je skola husika yupo sahih au kakosea
 
maswali bado yapo
1. Je ni web sahih ya waislam?
2. Kama jibu ni ndio , Je tafsri iliyowekwa ni sahih ya skola husika
3. Kama jibu ni ndio je skola husika yupo sahih au kakosea
Hahahahaha ona unavyo hangaika usiseme ni web ya waislamu we una uhakika gani kama waislamu wote walikaa waka iandaa iyo web

Wakati unafunguka kiakili rudi uniambie vipi yule njiti kapatikanaje ki sayansi
 
Mimi nakupa link unaweza kwenda kusoma wewe unaweka ma screen shot haijulikani ata ulipo yatoa
kuwa makini kwenye mjadala
Unapo sema link sio tatizo hapa tunacho angalia ni maana ya maneno husika

Unacho kitaja wewe ni maelezo sio tafsiri

Na tafsiri ulio pewa wewe ndio tafsiri inayo faamika na wanazuoni wote

Sasa sijui unalazimisha maelezo kua ndio tafsiri husika au vipi.
 
Hahahahaha ona unavyo hangaika usiseme ni web ya waislamu we una uhakika gani kama waislamu wote walikaa waka iandaa iyo web

Wakati unafunguka kiakili rudi uniambie vipi yule njiti kapatikanaje ki sayansi
Nimekupa maswali rahisi sana
maswali bado yapo
1. Je ni web sahih ya waislam?
2. Kama jibu ni ndio , Je tafsri iliyowekwa ni sahih ya skola husika
3. Kama jibu ni ndio je skola husika yupo sahih au kakosea
 
Unacho kitaja wewe ni maelezo sio tafsiri

Na tafsiri ulio pewa wewe ndio tafsiri inayo faamika na wanazuoni wote

Sasa sijui unalazimisha maelezo kua ndio tafsiri husika au vipi.
Nimekupa maswali marahisi Sana unayakwepa kuyajibu kwa makusudi
Nimeweka mwanazuoni mpaka nukuu, wewe unasema tu wanazuoni na hutaji jina wala link ya hao wanazuoni, Nita debate na wewe kama utajibu maswali niliyokupa na kuacha janja janja
 
Nimekupa maswali marahisi Sana unayakwepa kuyajibu kwa makusudi
Nimeweka mwanazuoni mpaka nukuu, wewe unasema tu wanazuoni na hutaji jina wala link ya hao wanazuoni, Nita debate na wewe kama utajibu maswali niliyokupa na kuacha janja janja
Acha ubabaishaji hiyo sio translation hayo ni maelezo
 
Back
Top Bottom