Ndo uanaume huo😀Kabisa hatuwezi kubali kuchafuliwa kirahisi. Tumechoka aisee tumechokaaaaaa. Kila kitu kikiharibika ni mwanaume mambo yakienda vizuri oooh nyuma ya mwanaume mwenye mafanikio kuna mwanamke, hizo story hatuzitaki tena.
Wanaume tumestukia huu mtego aiseee. Mambo ya kutuambia watoto umetuzalia halafu tukiwataka anagoma hataki kuwaachia ndipo tunashtuka. Hawa mabinti wa kisasa hawa wana ajenda za kishetani sana.Ila wanaume tunakazi sana,.. yaani mwanamke anakwambia amekuzalia watoto lakini mda huohuo anayefaida matunda ya watoto ni mama na muda mwngn watoto na mama wanaweza wakamuisolate baba.
Sawa, nakukubali sana lakini. [emoji23][emoji23][emoji23]Nyumbu ni ambao hawajajenga na uwezo wa kujenga wanao na wapo hapa kubisha. [emoji28][emoji28][emoji28]
Inawezekana haupo kwenye category hiyo rafiki.
😀😀😀😀😀Unanifurahishaga sana pamoja na "ukorofi" wako sometimes 😁😁😁
Complaining is easy...
Kutimiza majukumu na kubeba lawama husika hiyo ni habari nyingine...
Tuzidi kumuombea tu angalau akina Mama J wapungue katika ndoa yake 🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Huyo mmeo amegundua akijenga utamuua utamtanguliza maana hadi hapa ushakiri ww mwenyewe kuwa akifa atawaachaje vipi mkitangulia kufa ww na wanao utamuachaje mmeoNimeolewa mwaka wa Saba mwanaume hakuna maendeleo na pesa anapata zinapoenda anajua mwenyewe. Akinunua vitu vya ndani anajiona kafika.
Kazi kulalamika mpelekewe maji bafuni kwenye ndoo hebu jengeni maji yatiririke kutoka juu au muoge mmelala!
Kutwa pombe na mahawara. Hawa watoto mnaotuzalisha wataenda wapi mkifa. Hebu badilikeni vitambi na kulipa Kodi sio maendeleo.
Source of income😂Wanaume tumestukia huu mtego aiseee. Mambo ya kutuambia watoto umetuzalia halafu tukiwataka anagoma hataki kuwaachia ndipo tunashtuka. Hawa mabinti wa kisasa hawa wana ajenda za kishetani sana.
Usaidizi unaozungumziwa siyo wa mkeo kukusaidia kununua tofali na kukusomeshea watoto,usaidizi ni kama hivi kukukumbusha kwamba kuna umuhimu wa kujenga nyumba kwa ajili ya familia yako na mengineyo ya msingi.Si naskiaga yule anaeolewa ni msaidizi kwa mwanaume ?!
Kwa usaidizi huu acha ile kampeni iendelee tu
😍😍Sawa, nakukubali sana lakini. [emoji23][emoji23][emoji23]
Ni wanawake wachache sana wanaoweza kuongea haya wengine kazi kukaangiza pilau na kujaza nguo kwenye mabegiNimeolewa mwaka wa Saba mwanaume hakuna maendeleo na pesa anapata zinapoenda anajua mwenyewe. Akinunua vitu vya ndani anajiona kafika.
Kazi kulalamika mpelekewe maji bafuni kwenye ndoo hebu jengeni maji yatiririke kutoka juu au muoge mmelala!
Kutwa pombe na mahawara. Hawa watoto mnaotuzalisha wataenda wapi mkifa. Hebu badilikeni vitambi na kulipa Kodi sio maendeleo.
Maana yake mwanamke kama chake n chake c cha familia haina maana kufanya kaz yan atoke asbh arud usku kama mimi halafu mshahara akpata n wake bnafsi over my dead body atachagua moja kaz au ndoa kwsha.Usaidizi unaozungumziwa siyo wa mkeo kukusaidia kununua tofali na kusomeshea watoto,usaidizi ni kama hivi kukukumbusha kwamba kuna umuhimu wa kujenga nyumba kwa ajili ya familia yako na mengineyo ya msingi.
Wanaume sisi siyo wepesi wa kuweka akiba ukiwa na mke mwenye akili (naamini hata mleta mada yupo ktk position hiyo) mkapanga kudunduliza kwa ajili ya ujenzi wa nyumba yenu au chochote chenye manufaa kwenu ndani ya muda mfupi mnafanikiwa,shida ni ubishi kuamini mafanikio ya leo pia kesho yapo.
NB;hapo juu kwenye bold usije ukaowa ukategemea mkeo atakusaidia hela kujenga,msaada huo hakuna ulipoainishwa ktk sheria za ndoa take care utaangukia pua.
Haha haha blah blah kibao[emoji1787][emoji1787][emoji1787]umeolewa na mzee lomolomo[emoji23]
wangapi mmewaua ksa vijihela vya mboga tu ili mrithi na ndugu mume waspate chochote cha kuwasaidia toka kwa ndugu yao.Mmenishambulia sana ngoja nitulie nitawajibu wote, ila jengeni tunataka security ya maisha. Hakuna Cha kuuliwa. Yaani uuliwe Kwa nyumba ya vyumba vitatu