Hii point sana,Ila wanaume tunakazi sana,.. yaani mwanamke anakwambia amekuzalia watoto lakini mda huohuo anayefaida matunda ya watoto ni mama na muda mwngn watoto na mama wanaweza wakamuisolate baba.
Mmeo ameridhika na maisha mwambie ajitahidi japo ajenge nyumba asomeshe watoto na inayobaki akachome nyamaYaani ukiacha furniture za ndani na corola yake ya zanani hatuna kitu, ila bia na nyama hakosi
Dada hawawote wanao ponda ndio wenzake wamefanana tabia wanamacho lakini hawaoniHuyu wangu ni sikio la kufa labda mnafanana ndo maana unantetea
Uko vizuri sanaUsaidizi unaozungumziwa siyo wa mkeo kukusaidia kununua tofali na kusomeshea watoto,usaidizi ni kama hivi kukukumbusha kwamba kuna umuhimu wa kujenga nyumba kwa ajili ya familia yako na mengineyo ya msingi.
Wanaume sisi siyo wepesi wa kuweka akiba ukiwa na mke mwenye akili (naamini hata mleta mada yupo ktk position hiyo) mkapanga kudunduliza kwa ajili ya ujenzi wa nyumba yenu au chochote chenye manufaa kwenu ndani ya muda mfupi mnafanikiwa,shida ni ubishi kuamini mafanikio ya leo pia kesho yapo.
NB;hapo juu kwenye bold usije ukaowa ukategemea mkeo atakusaidia hela kujenga,msaada huo hakuna ulipoainishwa ktk sheria za ndoa take care utaangukia pua.
Nyumba,Tutajie hayo maendeleo mnayotaka
Asante sanaDada hawawote wanao ponda ndio wenzake wamefanana tabia wanamacho lakini hawaoni
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Pole narekebisha baadhi ya wanaumekasoro za mume wako unakuja kutulaumu sisi, kwa uzi huu we na mume wako mmeoana akili zinafanana
Sasa mpka leo unaongea maji ya ndoo?wewe ndio tatizo huna uwezo wa kuongoza familia yako kma bibi hangayaNimeolewa mwaka wa Saba mwanaume hakuna maendeleo na pesa anapata zinapoenda anajua mwenyewe. Akinunua vitu vya ndani anajiona kafika.
Kazi kulalamika mpelekewe maji bafuni kwenye ndoo hebu jengeni maji yatiririke kutoka juu au muoge mmelala!
Kutwa pombe na mahawara. Hawa watoto mnaotuzalisha wataenda wapi mkifa. Hebu badilikeni vitambi na kulipa Kodi sio maendeleo.
Yakienda vibaya...ya kwako pekeakoKabisa hatuwezi kubali kuchafuliwa kirahisi. Tumechoka aisee tumechokaaaaaa. Kila kitu kikiharibika ni mwanaume mambo yakienda vizuri oooh nyuma ya mwanaume mwenye mafanikio kuna mwanamke, hizo story hatuzitaki tena.
Unayezalishwa ndiyo hujielewi. Mtoto wa kwanza hadi wa tatu bado unapanua paja tu.Hawajielewi kazi kuzalisha kama majogoo
Mumeo amefanikiwa kuvuka stage ya Unyumbu au bado nyumbu mchangaNyumbu ni ambao hawajajenga na uwezo wa kujenga wanao na wapo hapa kubisha. [emoji28][emoji28][emoji28]
Inawezekana haupo kwenye category hiyo rafiki.
Wewe ndio tatizo inawezekanaje ukawa huna maendeleo na mko pamoja kwenye kulea familia yenuHawajielewi kazi kuzalisha kama majogoo
Pole sana mkuu naona mafua yamekukaba balaa[emoji85][emoji85][emoji85]Huyu dada hajakosea kabisa, kunamwanaume wajinga? kunajamaa angu alikua rafki yangu kipindi hicho, akamuoba mke, wake hela ya boga, sh 2000, akasema hana, lakini tukaenda senta, akaenda kuonga, hawala sh 10000.
Shidaaa nawewe umeamua kumtegemea yeye tuu,😂😂Nimeolewa mwaka wa Saba mwanaume hakuna maendeleo na pesa anapata zinapoenda anajua mwenyewe. Akinunua vitu vya ndani anajiona kafika.
Kazi kulalamika apelekewe maji bafuni kwenye ndoo badali ajenge maji yatiririke kutoka juu au aoge amelala!
Kutwa pombe na mahawara. Hawa watoto anaonilisha wataenda wapi akifa. Vitambi na kulipa kodi sio maendeleo.
N.b: Nimedit. Ila wenye hivyo vitabia acheni mpo humo humo msinitolee mapovu! Unaoa mwembamba kama fimbo halafu mnakuja kurelax na kusahau ahadi zote mnasahau
Chukua maua yako mapema⚘⚘🌷⚘🌷⚘🌷⚘🌷⚘🌷🌹⚘🌹🌼🥀🏵⚘🌼🥀🌹🌷🌹🌼⚘🌹
Kwa hiyo unaweza kulala kibarazani😀Vitambi na kulipa Kodi sio maendeleo !!
Vayolensi
Nimejitahidi mno kila siku mambo mazuri hayataki harakaHuyo mwanamama anataka kuharibu hali ya hewa...Akili zake ni za hovyo yani ameshindwa kumuongoza mmeo vyema anakuja kutoa povu huku aargh!
Anashindwa kijitambua kosa lake kuwa alikubali kuwa mather house lkn sio mama mpambanaji mpuuzi sana huyoo 🤣🤣🤣
Nyumba za kupanga nimependa Mimi siku ananioa ahadi kedekede kuingia ndani karelax na kulipa kodiAtajua mwenyewe na serikali ya kichwa chake....Kwani kuna mtu aliemshikia akili hapa....Acha aendelee kuringishia majirani ana flat screen kubwa ila hata account bank yoyote hana shenzi type kabisa huyoooo na wadizaini hii ndio wale wakushindana kwa miziki mikubwa nyumba za kupanga pambafuuuu🤣🤣🤣🤣