Magdalene_joseph
JF-Expert Member
- Jun 26, 2023
- 231
- 617
- Thread starter
-
- #321
Uwezo wa kujenga anao ndo maana nikalalama hata hivyo nimepata ushauri mzuri humu nitajaribuBaadhi ya wanawake hamna shukrani na mnapenda kuishi maisha ya watu wengine , Unatakiwa kushukuru Mungu hata kwa maisha mnayoyaishi, kuna wanaume wametelekeza familia zao na hawajawahi kurudi nyuma kujua familia inaendeleaje , unachopaswa ni kumshauri mumeo kwa hekima, mpe ushauri kwa utulivu! Kama hatafanya wala usilazimishe, anza wewe kumuonesha hiyo njia na yeye ataona aibu kisha ataungana na wewe ! Mwisho wanawake muache tamaa ya kutamani mambo yaliyo nje ya uwezo wenu au nje ya uwezo wa mume wako ! Mtafanya wenza wenu wafanye mambo yasiyompendeza Mungu wala jamii kisa tu kuwaridhisha nyie.
AsantePole sana dada naona umeongea kwa uchungu but kwa ushaur jaribu kuangalia kitu ambacho na ww unawza fanya kikakuongezea kipato
AsanteMmeo ameridhika na maisha mwambie ajitahidi japo ajenge nyumba asomeshe watoto na inayobaki akachome nyama
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Nadhani kama ulimsoma mleta mada mambo haya yeye ndiye anaonekana hayapendi na hayataki.Atajua mwenyewe na serikali ya kichwa chake....Kwani kuna mtu aliemshikia akili hapa....Acha aendelee kuringishia majirani ana flat screen kubwa ila hata account bank yoyote hana shenzi type kabisa huyoooo na wadizaini hii ndio wale wakushindana kwa miziki mikubwa nyumba za kupanga pambafuuuu🤣🤣🤣🤣
Kwani mbunge wako yote aliyokuahidi ametekeleza? Kwani rais wako wa awamu ya 5, yote aliyokuahidi ametekeleza?Wakati mnatongoza ahadi kedekede kumbe umafia tu
Pole Asante Kwa ushauriDada usitujumlishe sisi wengine hatuko hivyo tunajua nini tunakifanya nakushauri bado mnao muda hamhachelewa sana sema na mmeo aanze kujipanga.Nawe nakushauri uwe na mradi hata wa duka baada ya miaka mitano baadaye mtakuwa mmeenda mbali.
Sasa unakubalije kuzalishwa ovyo dada? Hamkai kupanga mzaeje au hamuwek mipango yenu vzuri🤣🤣🤣🤣relax hasira haisaidiiiHivi unajua what does it sound like kukaa na watoto wadogo watatu au unabwabwaja tu! Afu nimsaidie matako Kila miaka miwili anaonizalisha hebu tulia tu usiniguse sehemu mbaya
Upo sahihi ndani tuna kila kitu lakini naona inatosha sasa angalau tuwe na kibanda chetuNadhani kama ulimsoma mleta mada mambo haya yeye ndiye anaonekana hayapendi na hayataki.
Sina hakika labda uzi wake ameufanyia editing ila nachoona kwenye original post ndiyo hicho.
Anajijua mwenyeweMumeo amefanikiwa kuvuka stage ya Unyumbu au bado nyumbu mchanga
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
PoleYes mama wa nyumbani. Aliniahidi kuniendeleza ila ndo Kila leo majanga!
Anataka watoto watano. Hao wawili atazalia kwake la sivyo menopause itanikuta kwenye nyumba ya kupanga, swainSasa unakubalije kuzalishwa ovyo dada? Hamkai kupanga mzaeje au hamuwek mipango yenu vzuri🤣🤣🤣🤣relax hasira haisaidiii
Hahaha! Na mniambie namna ya kufuta huu uzi maana kutwa kukaa na simu yanguKwani mbunge wako yote aliyokuahidi ametekeleza? Kwani rais wako wa awamu ya 5, yote aliyokuahidi ametekeleza?
BTW, kweni wewe wakati unatongozwa, hukuahidi kuwa vya ndani hutakuja kuvisema nje? Mbona umetumwagia hadharani?
Mshauri mapema usije kulalamika hapaAnajijua mwenyewe
Usitulalamikie sisi sasa ! Kwani wakati mnakutana na mumeo ulitushirikisha sisi ?Yes mama wa nyumbani. Aliniahidi kuniendeleza ila ndo Kila leo majanga!
Wakati huo hata jf naijua basi, kushinda home na watoto kumenifanya niijue jf huwa nasoma tu Jana nimeona nifungue AC Cha ajabu mnanishambulia kama mwiziUsitulalamikie sisi sasa ! Kwani wakati mnakutana na mumeo ulitushirikisha sisi ?
Sure!Upo sahihi ndani tuna kila kitu lakini naona inatosha sasa angalau tuwe na kibanda chetu
Mashemeji tunaelewana ila ndo hivyo Kila weekend wanafuatana kwenye starehe na hao mashemeji wote Wana nyumba zao! Yeye yupo yupo tu japo anasema mambo mazuri hayataki haraka sasa sijajua labda ana plan ya maana ngoja nijaribu kumdadisi nataka anishirikishe ikiwezekana nisikae roho juu juuSure!
Kama anao ndugu (mashemeji zako/mawifi uncles etc) ambao wana maendeleo unayoona unataka na ninyi kama familia muwe nayo washirikishe,wapo baadhi ya wanaume huwa active zaidi kichwani wakiambiwa vitu na ndugu zao wake zao wakiwepo.
Waambie wao watafute kiwanja halafu wakufahamishe kikipatikana unamwambia mtoke kama safari ya kwenda kuwasalimia mkifika ktk hoja za salamu na za maisha hilo linaingizwa anaambiwa kabisa na kiwanja kuna sehemu kipo anapelekwa kama cent ipo analipia na huo ndiyo mwanzo wa kuanza ujenzi maana wewe unakuwa umeshiriki bila yeye kujua so itakuwa rahisi kwako kumsisitiza issue ya ujenzi maana chanzo (uwanja) kipo.
Tumekusikia mpendwa, umeandika kwa hasira sana. Ni kweli inaumiza na kuudhi. Vipi lakini unajaribu kuonyesha njia pia bado hakupi sapoti au nawewe unalalama tu kumbe hufanyi chochote pia...Nimeolewa mwaka wa Saba mwanaume hakuna maendeleo na pesa anapata zinapoenda anajua mwenyewe. Akinunua vitu vya ndani anajiona kafika.
Kazi kulalamika apelekewe maji bafuni kwenye ndoo badali ajenge maji yatiririke kutoka juu au aoge amelala!
Kutwa pombe na mahawara. Hawa watoto anaonizalisha wataenda wapi akifa. Vitambi na kulipa kodi sio maendeleo.
N.b: Nimedit. Ila wenye hivyo vitabia acheni mpo humo humo msinitolee mapovu! Unaoa mwembamba kama fimbo halafu mnakuja kurelax na kusahau ahadi zote!
Comment ya hovyo kutoka kwa kijana wa hovyo.Na akimaliza kupeleka maji avue chupi mpuuzi huyu anataka kulala na chupi hajui yuko utumwan kwa mahari aliyopokea babake
Asipoongeza anamkomoa nani,au anamzalia nani?Hakikisha huongezi mtoto mwingine mpaka uone mweleleo wa mabadiliko unayoyataka[emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42]