Tafuta namna nzuri ya kuongea na mume wako si kuanzisha makelele kulalamika, na unaweza ukute kajenga kimyakimya kwa sababu anaogopa kumshikirisha mkandarasi fake.
Wewe uliolewa kwa bahati mbaya maana huna sifa za kuwa mke. Mke gani badala ya kumrekebisha mtu wako unaanika udhaifu wake hadharani? Halafu unasema mume akifa hao watoto wataenda wapi? Unajuaje hutaanza wewe kufa? Ovyoooooo.....Nimeolewa mwaka wa Saba mwanaume hakuna maendeleo na pesa anapata zinapoenda anajua mwenyewe. Akinunua vitu vya ndani anajiona kafika.
Kazi kulalamika apelekewe maji bafuni kwenye ndoo badali ajenge maji yatiririke kutoka juu au aoge amelala!
Kutwa pombe na mahawara. Hawa watoto anaonizalisha wataenda wapi akifa. Vitambi na kulipa kodi sio maendeleo.
N.b: Nimedit. Ila wenye hivyo vitabia acheni mpo humo humo msinitolee mapovu! Unaoa mwembamba kama fimbo halafu mnakuja kurelax na kusahau ahadi zote!
Ndio kama mwanaune kaona mwanamke anapenda mali kumliko yeye kwa nin asijenge kimya kimyaINaweza kua kweli
Sawa ila Nyumbu ndo kichwa cha familia. Tatizo huanzia hapoKabisa, ila tunawakumbusha tu, nyumbu anavutwa na nyumbu mwenzake, sumaku inavuta vitu vyenye asili yake, sumaku hauwezi kuvuta mbao au almasi, wanawake wanaopata wanaume wa hovyo ni kwa Sababu wao ndio wana attract wanaume wa hovyo na kuruhusu kuwa na mahusiano nao. Kwa lugha ya mtaani kimahusiano wanaitwa " bum magnet"
Kama mwanamke Kila siku unapata midude ya hivyo, jifanyie assessment na wewe pia, utakuwa una tatizo katika lifestyle Yako na life perceptions zako na inakuletea bad judgments and choice mbaya pia.
Sio Kila siku kulaumu wanaume tu bila kutake responsibility ktk maamuzi and choice zako. Mwanaume uliye nae uko nae kwa Sababu ulimfungulia mlango mwenyewe na hata baada ya kuona ni kimeo ukaendelea kuwa nae ukitarajia atabadilika au utambadilisha.
Kama hujajenga na uwezo unao utakuwa ni nyumbu tu rafiki yangu.aisee tumekuwa nyumbu tena na sio mbwa
Alikuwa mzee wa totoz au sio. Ngoja nimalize kasevarnt kota kangu na mie nikualike mrembo uje kunibless ka mbususuKama hujajenga na uwezo unao utakuwa ni nyumbu tu rafiki yangu.
Ila wewe uhusiki maana huna familia na huna mpango wa kuwa nayo. Ukiishi kama Lemutuz hatutakushangaa
Mi sili Bata, nimejenga, familia yangu inaishi ndani ya Boma la jasho langu, sinywi pombe, siendi club, Niko nje ya mkoa wangu kikazi, nahonga mwisho elfu 20 mala moja kwa mwezi na Kwa bahati mbayaNimeolewa mwaka wa Saba mwanaume hakuna maendeleo na pesa anapata zinapoenda anajua mwenyewe. Akinunua vitu vya ndani anajiona kafika.
Kazi kulalamika apelekewe maji bafuni kwenye ndoo badali ajenge maji yatiririke kutoka juu au aoge amelala!
Kutwa pombe na mahawara. Hawa watoto anaonizalisha wataenda wapi akifa. Vitambi na kulipa kodi sio maendeleo.
N.b: Nimedit. Ila wenye hivyo vitabia acheni mpo humo humo msinitolee mapovu! Unaoa mwembamba kama fimbo halafu mnakuja kurelax na kusahau ahadi zote!
Hela zangu Hadi matumizi uniapngie.Nimeolewa mwaka wa Saba mwanaume hakuna maendeleo na pesa anapata zinapoenda anajua mwenyewe. Akinunua vitu vya ndani anajiona kafika.
Kazi kulalamika apelekewe maji bafuni kwenye ndoo badali ajenge maji yatiririke kutoka juu au aoge amelala!
Kutwa pombe na mahawara. Hawa watoto anaonizalisha wataenda wapi akifa. Vitambi na kulipa kodi sio maendeleo.
N.b: Nimedit. Ila wenye hivyo vitabia acheni mpo humo humo msinitolee mapovu! Unaoa mwembamba kama fimbo halafu mnakuja kurelax na kusahau ahadi zote!
PambanaAlikuwa mzee wa totoz au sio. Ngoja nimalize kasevarnt kota kangu na mie nikualike mrembo uje kunibless ka mbususu
Wanawake bwana vipao mbele vyao vikuuNimeolewa mwaka wa Saba mwanaume hakuna maendeleo na pesa anapata zinapoenda anajua mwenyewe. Akinunua vitu vya ndani anajiona kafika.
Kazi kulalamika apelekewe maji bafuni kwenye ndoo badali ajenge maji yatiririke kutoka juu au aoge amelala!
Kutwa pombe na mahawara. Hawa watoto anaonizalisha wataenda wapi akifa. Vitambi na kulipa kodi sio maendeleo.
N.b: Nimedit. Ila wenye hivyo vitabia acheni mpo humo humo msinitolee mapovu! Unaoa mwembamba kama fimbo halafu mnakuja kurelax na kusahau ahadi zote!
Wamepandksha bei ya cement. Wee kesho njoo unywe bia alafu tugegedane tuu naona wenye nchi hawataki nijengePambana
Wanawake bwana vipao mbele vyao vikuu
1. Aolewe
2. Ajengewe nyumba
Hili la nyumba ukisoma uzi kwa makini ndio linalengwa hapa baada ya la kwanza kufanikishwa
Kumbe mtuoe ili tuzeeke kwenye nyumba ya kupanga tena uswazi Bora mpange nyumba stand alone ya laki nne .Wanawake bwana vipao mbele vyao vikuu
1. Aolewe
2. Ajengewe nyumba
Hili la nyumba ukisoma uzi kwa makini ndio linalengwa hapa baada ya la kwanza kufanikishwa
MnaotaChief naomba niongezee hapo kidogo ,nasakafia kidogo
3.Awe na iphone sio simu anataka iphone pekee
4.Awe na mavazi mengi mazuri ya gharama ili asirudie rudie
5.Uwahudumie na ndugu wa upande wake tu
Kumbe mtuoe mtuweke na watoto nyumbani hatuna mbele Wala nyuma hata nyumba ya vyumba vitatu hamtaki kutujengea?Wanawake bwana vipao mbele vyao vikuu
1. Aolewe
2. Ajengewe nyumba
Hili la nyumba ukisoma uzi kwa makini ndio linalengwa hapa baada ya la kwanza kufanikishwa
Alikuwa na mimi nikiwa na miaka 21. Ulitegemea nipate division one? Mbona form four nilipata division two. Aliniharibia maisha Sasa ajenge nyumba roho yangu itulieKumbe ww ni kilaza i rest my case ๐ฎ๐ฎ๐ฎ.
Bora hata sikuchangia unapataje 0 asee ๐๐๐๐๐.
Na form 4 unajisifu 2.21 ni nxuri hiyo si 3 kabisa ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ.
Acha uendelee kuzalishwa tu.
Naomba Mungu watoto wasiwe majinga kama ww ๐ฎ๐ฎ๐ฎ
Hakika ajenge nyumba Mimi na watoto hata na yeye turelax. Kumbuka huyu jamaa alisababisha dream yangu ya kuwa medical doctor ilipotea.Wanawake bwana vipao mbele vyao vikuu
1. Aolewe
2. Ajengewe nyumba
Hili la nyumba ukisoma uzi kwa makini ndio linalengwa hapa baada ya la kwanza kufanikishwa
FafanuaNdege wafananao huruka pamoja.
Wewe na huyo Mumeo ni pipa na mfuniko..kama sivyo usingali mchagua awe Mum
Bora iwe hivyoTafuta namna nzuri ya kuongea na mume wako si kuanzisha makelele kulalamika, na unaweza ukute kajenga kimyakimya kwa sababu anaogopa kumshikirisha mkandarasi fake.